< 1 Yohana 3 >

1 Oneni basi, jinsi Baba alivyotupenda mno hata tunaitwa watoto wa Mungu! Na kweli, ndivyo tulivyo. Ndiyo maana ulimwengu haututambui sisi, kwani haumjui Mungu.
Ser, hvor stor en Kærlighed Faderen har givet os, at vi skulle kaldes Guds Børn; og vi ere det. Derfor kender Verden os ikke, fordi den ikke har kendt ham.
2 Wapenzi wangu, sisi ni watoto wa Mungu sasa, lakini bado haijaonekana wazi jinsi tutakavyokuwa. Lakini tunajua kwamba wakati Kristo atakapotokea, tutafanana naye kwani tutamwona vile alivyo.
I elskede! nu ere vi Guds Børn, og det er endnu ikke aabenbaret, hvad vi skulle vorde. Vi vide, at, naar det aabenbares, da skulle vi vorde ham lige; thi vi skulle se ham, som han er.
3 Basi, kila mtu aliye na tumaini hili katika Kristo, hujiweka safi kama vile Kristo alivyo safi kabisa.
Og hver den, som har dette Haab til ham, renser sig selv, ligesom han er ren.
4 Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria.
Hver den, som gør Synden, begaar ogsaa Overtrædelse af Loven, og Synden er Lovens Overtrædelse.
5 Mnajua kwamba Kristo alikuja kuziondoa dhambi zetu, na kwamba kwake hamna dhambi yoyote.
Og I vide, at han blev aabenbaret, for at han skulde borttage Synderne; og der er ikke Synd i ham.
6 Basi, kila aishiye katika muungano na Kristo hatendi dhambi; lakini kila mtu atendaye dhambi hakupata kamwe kumwona, wala kumjua Kristo.
Hver den, som bliver i ham, synder ikke; hver den, som synder, har ikke set ham og kender ham ej heller.
7 Basi, watoto wangu, msikubali kupotoshwa na mtu yeyote. Mtu atendaye matendo maadilifu ni mwadilifu kama vile Kristo alivyo mwadilifu kabisa.
Mine Børn, ingen forføre eder! Den, som gør Retfærdigheden, er retfærdig, ligesom han er retfærdig.
8 Lakini atendaye dhambi ni wa Ibilisi, maana Ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. Lakini Mwana wa Mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya Ibilisi.
Den, som gør Synden, er af Djævelen; thi Djævelen har syndet fra Begyndelsen. Dertil blev Guds Søn aabenbaret, for at han skulde nedbryde Djævelens Gerninger.
9 Kila aliye mtoto wa Mungu hatendi dhambi, maana anayo hali ya kimungu ndani yake; hawezi kutenda dhambi kwa sababu yeye ni mtoto wa Mungu.
Hver den, som er født af Gud, gør ikke Synd, fordi hans Sæd bliver i ham, og han kan ikke synde, fordi han er født af Gud.
10 Lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa Mungu. Hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi.
Derved blive Guds Børn og Djævelens Børn aabenbare. Hver den, som ikke gør Retfærdighed, er ikke af Gud, og ligesaa den, som ikke elsker sin Broder.
11 Na, ujumbe mliousikia tangu mwanzo ndio huu: Tunapaswa kupendana!
Thi dette er det Budskab, som I have hørt fra Begyndelsen, at vi skulle elske hverandre;
12 Tusiwe kama Kaini ambaye, kwa kuongozwa na yule Mwovu, alimuua ndugu yake. Na, kwa nini alimuua? Kwa sababu matendo yake yalikuwa maovu, lakini yale ya ndugu yake yalikuwa mema!
ikke som Kain, der var af den onde og myrdede sin Broder. Og hvorfor myrdede han ham? Fordi hans Gerninger vare onde, men hans Broders retfærdige.
13 Basi, ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu unawachukia ninyi.
Undrer eder ikke, mine Brødre! om Verden hader eder.
14 Sisi tunajua kwamba tumekwisha pita kutoka katika kifo na kuingia katika uzima kwa sababu tunawapenda ndugu zetu. Mtu asiye na upendo hubaki katika kifo.
Vi vide, at vi ere gaaede over fra Døden til Livet, thi vi elske Brødrene. Den, som ikke elsker, bliver i Døden.
15 Kila anayemchukia ndugu yake ni muuaji; nanyi mnajua kwamba muuaji yeyote yule hana uzima wa milele ndani yake. (aiōnios g166)
Hver den, som hader sin Broder, er en Manddraber; og I vide, at ingen Manddraber har evigt Liv blivende i sig. (aiōnios g166)
16 Sisi tumepata kujua upendo ni nini, kwani Kristo aliyatoa maisha yake kwa ajili yetu. Nasi vilevile tunapaswa kuyatoa maisha yetu kwa ajili ya ndugu zetu.
Derpaa kende vi Kærligheden, at han har sat sit Liv til for os; ogsaa vi ere skyldige at sætte Livet til for Brødrene.
17 Basi, mtu akiwa na mali za hapa duniani, halafu akamwona ndugu yake ana shida, lakini akawa na moyo mgumu bila kumwonea huruma, anawezaje kusema kwamba anampenda Mungu?
Men den, som har Verdens Gods og ser sin Broder lide Nød og lukker sit Hjerte for ham, hvorledes bliver Guds Kærlighed i ham?
18 Watoto wangu, upendo wetu usiwe maneno matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa vitendo.
Mine Børn! lader os ikke elske med Ord, ej heller med Tungen, men i Gerning og Sandhed!
19 Hivyo ndivyo tuwezavyo kuwa na hakika kwamba sisi ni watu wa ukweli; na hatutakuwa na wasiwasi mbele ya Mungu.
Og derpaa kunne vi kende, at vi ere af Sandheden, og da kunne vi for hans Aasyn stille vore Hjerter tilfreds,
20 Kwa maana, hata kama dhamiri yetu yatuhukumu, twajua kwamba Mungu ni mkuu zaidi kuliko dhamiri, na kwamba yeye ajua kila kitu.
hvad end vort Hjerte maatte fordømme os for; thi Gud er større end vort Hjerte og kender alle Ting.
21 Wapenzi wangu, kama dhamiri yetu haina lawama juu yetu, basi, twaweza kuwa na uthabiti mbele ya Mungu,
I elskede! dersom vort Hjerte ikke fordømmer os, have vi Frimodighed for Gud,
22 na twaweza kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza.
og hvad vi end bede om, det faa vi af ham, fordi vi holde hans Bud og gøre det, som er velbehageligt for ham.
23 Na, amri yake ndiyo hii: Kumwamini Mwanae Kristo, na kupendana kama alivyotuamuru.
Og dette er hans Bud, at vi skulle tro hans Søns Jesu Kristi Navn og elske hverandre efter det Bud, han gav os.
24 Anayezitii amri za Mungu anaishi katika muungano na Mungu na Mungu anaishi katika muungano naye. Kwa njia ya Roho ambaye Mungu ametujalia, sisi twajua kwamba Mungu anaishi katika muungano nasi.
Og den, som holder hans Bud, han bliver i Gud, og Gud i ham; og derpaa kende vi, at han bliver i os, af den Aand, som han gav os.

< 1 Yohana 3 >