< Zekaria 12 >

1 Hili ni tamko la neno la Yahwe kwa Israeli - Bwana asema, azitandaye mbingu na kuweka msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mtu ndani yake,
Carga da palavra do Senhor sobre Israel: fala o Senhor, o que estende o céu, e que funda a terra, e que forma o espírito do homem dentro nele.
2 “Tazama, nitaifanya Yerusalemu kuwa kikombe kiwafadhaishacho watu wote wamzungukao. Itakuwa hivyo hivyo pia kwa Yuda wakati wa kuhusuriwa kwa Yerusalemu.
Eis que eu porei a Jerusalém como um copo de tremor para todos os povos em redor, e também para Judá, o qual será no cerco contra Jerusalém.
3 Katika siku hiyo, nitaifanya Yerusalemu kuwa jiwe zito kwa watu wa jamaa zote. Kila atakayejaribu kuliinua jiwe hilo atajihumiza sana, na mataifa yote ya dunia yatakusanyika kinyume cha mji huo.
E será naquele dia que porei a Jerusalém por pedra pesada a todos os povos; todos os que carregarem com ela certamente serão despedaçados, e ajuntar-se-ão contra ele todas as nações da terra
4 Katika siku hiyo asema Yahwe - nitampiga kila farasi kwa ushangao na kila mpanda farasi kwa wendawazimu. Nitaiangalia nyumba ya Yuda kwa upendeleo na nami nitawapiga kwa upofu farasi wa majeshi.
Naquele dia, diz o Senhor, ferirei de espanto a todos os cavalos, e de loucura os que montam neles; mas sobre a casa de Judá abrirei os meus olhos, e ferirei de cegueira a todos os cavalos dos povos.
5 Ndipo watawala wa Yuda watakapojisemea mioyoni mwao, 'Wakaao Yerusalemu ndio nguvu yetu kwa sababu ya Yahwe wa majeshi, Mungu wao.'
Então os chefes de Judá dirão no seu coração: A minha força são os habitantes de Jerusalém e o Senhor dos exércitos, seu Deus.
6 Katika siku hiyo nitawafanya watawala wa Yuda kuwa kama mitungi ya moto katika miti na kama miali ya moto kati ya nafaka isimamayo, kwani utateketeza watu wote walio karibu upande wao wa kulia na kushoto. Yerusalemu atakaa mahali pake tena.
Naquele dia porei os chefes de Judá como um brazeiro de fogo debaixo da lenha, e como um tição de fogo entre gavelas; e à banda direita e esquerda consumirão a todos os povos em redor, e Jerusalém será habitada outra vez no seu lugar, em Jerusalém.
7 Yahwe ataziokoa hema za Yuda kwanza, ili kwamba utukufu ya nyumba ya Daudi na utukufu wa wale waishio Yerusalemu hautazidi sehemu iliyosalia ya Yuda.
E o Senhor primeiramente salvará as tendas de Judá, para que a glória da casa de David e a glória dos habitantes de Jerusalém não se engrandeça sobre Judá.
8 Katika siku hiyo Yahwe atakuwa mtetezi wa wakao Yerusalemu, na siku hiyo waliodhaifu miongoni mwao watakuwa kama Daudi, wakati nyumba ya Daudi watakuwa kama Mungu, kama malaika wa Yahwe mbele yao.
Naquele dia o Senhor amparará os habitantes de Jerusalém; e o que tropeçar entre eles naquele dia será como David, e a casa de David será como Deus, como o anjo do Senhor diante deles.
9 “Itakuwa kwamba katika siku hiyo nitaanza kuyaharibu mataifa yote yajayo kinyume cha Yerusalemu.
E será, naquele dia, que procurarei destruir todas as nações que vierem contra Jerusalém;
10 Lakini nitamwaga roho ya huruma na kuiombea nyumba ya Daudi na wakao Yerusalemu, hivyo wataniangalia mimi, waliomchoma kwa mkuki. Wataniombolezea, kama amwombolezeaye mwana wa pekee; watamwombolezea kwa uchungu sana kama aombolezaye kifo cha mzaliwa wa kwanza.
Porém sobre a casa de David, e sobre os habitantes de Jerusalém, derramarei o espírito de graça e de suplicações; e olharão para mim, a quem traspassaram: e farão pranto sobre ele, como o pranto sobre o unigênito; e chorarão amargosamente sobre ele, como se chora amargosamente sobre o primogênito.
11 Katika siku hiyo maombolezo huko Yerusalemu yatakuwa kama maombolezo ya Hadadi Rimoni katika tambarare za Megido.
Naquele dia será grande o pranto em Jerusalém, como o pranto de Hadadrimmon no vale de Meggiddon.
12 Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi utakuwa peke yake na wake zao watakuwa peke yao mbali na wanaume. Ukoo wa nyumba ya Nathani utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
E a terra pranteará, cada linhagem à parte: a linhagem da casa de David, à parte, e suas mulheres, à parte, e a linhagem da casa de Nathan, à parte, e suas mulheres, à parte
13 Ukoo wa nyumba ya Lawi utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume. Ukoo wa Washimei utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
A linhagem da casa de Levi, a parte, e suas mulheres, à parte; a linhagem de Simei, à parte, e suas mulheres à parte.
14 Kila ukoo uliosalia - kila mmoja utakuwa peke yake na wake watakuwa pekee mbali na waume.
Todas as mais linhagens, cada linhagem à parte, e suas mulheres à parte.

< Zekaria 12 >