< Ruth 1 >

1 Ilitokea katika siku za utawala wa majaji kuwa kulikuwa na njaa katika nchi, na mtu mmoja wa Bethelehemu ya Yuda alikwenda katika nchi ya Moabu pamoja na mke wake na watoto wake walili wa kiume.
Stalo se pak za času soudců, že byl hlad v zemi. I odšel člověk z Betléma Judova, a bydlil pohostinu v krajině Moábské s manželkou svou a se dvěma syny svými.
2 Jina la mtu huyo lilikuwa Elimeleki, na jina la mke wake lilikuwa Naomi. Majina ya watoto wake wawili wa kiume waliitwa Mahiloni na Kileoni, ambao walikuwa Waefraimu wa Betherehemu ya Yuda. Waliwasili katika nchi ya Moabu na kuishi hapo.
Jméno pak muže toho Elimelech, a jméno ženy jeho Noémi, jméno také dvou synů jeho Mahalon a Chelion, Efratejští z Betléma Judova; a přišedše do krajiny Moábské, bydlili tam.
3 Ndipo Elimeleki, mume wa Naomi, alikufa, na Naomi aliachwa na watoto wake wa kiume wawili.
Umřel pak Elimelech, muž Noémi; i pozůstala ona s oběma syny svými.
4 Watoto hawa walioa wanawake wa Moabu; jina la mmoja lilikuwa Oripa, na jina la mwingine lilikuwa Ruth. waliishi huko kwa takribani miaka kumi.
Kteříž pojali sobě ženy Moábské; jméno jedné bylo Orfa a jméno druhé Rut. I bydlili tam téměř deset let.
5 Kisha wote Mahiloni na Kileoni walikufa, na kumuacha Naomi bila mme wake na bila watoto wake wawili.
Umřeli také oni oba dva, Mahalon i Chelion, a zůstala žena ta po dvou synech svých a manželu svém.
6 Ndipo Naomi aliamua kuondoka Moabu pamoja na wake wa watoto wake na kurudi Yuda kwa sababu alikuwa amesikia katika mkoa wa Moabu kuwa Yahweh amewasaidia watu wake katika uhitaji na amewapa chakula.
Tedy vstavši ona s nevěstami svými, navracela se z krajiny Moábské; nebo slyšela v krajině Moábské, že Hospodin navštívil lid svůj, dav jemu chléb.
7 Hivyo aliondoka sehemu aliyokuwa pamoja na wake wa watoto wake wawili, walitelemka njia kurudi kwenye nchi ya Yuda.
Vyšedši tedy z místa, na němž bydlila, a obě nevěsty její s ní, daly se na cestu, aby se navrátily do země Judské.
8 Naomi aliwaambia wake wa watoto wake, “Nendeni, mrudi, kila mmoja wenu, kwenye nyumba ya mama yake. na Mungu aonyeshe wema juu yenu, kama mlivyo onyesha wema kwao waliokufa na kwangu.
Řekla pak Noémi oběma nevěstám svým: Jděte, navraťte se jedna každá do domu matky své. Učiniž Hospodin s vámi milosrdenství, jakož jste i vy činili s mrtvými syny mými i se mnou.
9 Mungu awajalie ninyi kupata pumziko, kila mmoja wenu katika nyumba ya mme mwingine.” Kisha akawabusu, na wakapaza sauti zao na kulia.
Dejž vám Hospodin, abyste nalezly odpočinutí, jedna každá v domě muže svého. I políbila jich, ony pak pozdvihše hlasu svého, plakaly.
10 Wakamwambia, “Hapana! tutarudi pamoja na wewe kwa watu wako.”
A řekly jí: Obrátíme se raději s tebou k lidu tvému.
11 Lakini Naomi alisema, “Rudini, wanangu! Kwa nini mtakwenda na mimi? Kwani bado nina watoto katika tumbo langu kwa ajili yenu, ili kwamba waje wawe waume zenu?
I řekla Noémi: Navraťte se, dcerky mé. Proč chcete jíti se mnou? Zdaliž ještě budu míti syny, aby byli vaši muži?
12 Rudini, wanangu, nendeni katika njia zenu wenyewe, kwa kuwa mimi ni mzee sana kuwa na mme. Kama nikisema, 'Natumaini nipate mume usiku huu,' na kisha kuzaa watoto wakiume, kwa hiyo mnaweza kusubiri mpaka wakue?
Navraťte se, dcerky mé, a odejděte, neboť jsem již stará k vdání; nýbrž bych i řekla, že mám naději, bych i noci této se vdala a syny zrodila,
13 Mtasubiri na msiolewe sasa? Hapana, wanangu! Ina nihuzunisha zaidi, kuliko inavyo wahuzunisha ninyi, kwa sababu mkono wa Yahweh umeenda kinyume na mimi.”
Zdaž byste na ně čekaly, až by dorostli? Zdaliž tou příčinou meškati se budete, abyste se neměly vdáti? Ne tak, mé dcerky, nebo mé trápení větší jest nežli vaše, proto že ruka Hospodinova jest proti mně.
14 Ndipo wake wa watoto wake wakapaza sauti zao na kulia tena. Oripa alimuaga kwa kumbusu, lakini Ruth aliendelea kubaki naye.
Ony pak pozdvihše hlasu, opět plakaly. A Orfa políbivši svegruši svou, odešla, Rut pak přídržela se jí.
15 Naomi alisema, “sikiliza, mwenzako amerudi kwa watu wake na miungu yake. Ruri pamoja naye.”
Kteréžto řekla Noémi: Aj, přítelkyně tvá navrátila se k lidu svému a k bohům svým, navratiž se také za ní.
16 lakini Ruth alisema, “Usiniache niondoke mbali nawe, kwa kuwa uendako, nitakwenda, utakapoishi, nitaishi; watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu.
Ale Rut řekla: Nenuť mne, abych tě opustiti a od tebe odjíti měla. Nebo kamž se koli obrátíš, půjdu, a kdekoli bydliti budeš, i já bydliti budu; lid tvůj lid můj, a Bůh tvůj Bůh můj.
17 Mahali utakapofia, nitafia hapo, na hapo nitazikwa. Yahweh aniwezeshe, na hata zaidi, ikiwa kuna chochote isipokuwa kifo kamwe hakiwezi kututenganisha.
Kdekoli umřeš, umru, a tu pochována budu. Toto mi učiň Hospodin, a toto přidej, že toliko smrt rozdělí mne s tebou.
18 Naomi alipoona kuwa Ruth alikuwa ameamua kwenda naye, aliacha kubishana naye.
Tedy viduci, že se na tom ustavila, aby šla s ní, přestala k ní mluviti.
19 Hivyo wote wawili walisafiri mpaka walipofika mjini Bethelehemu. Kwa hiyo walipofika Bethlehemu, mji wote uliwafurahia, wanawake walisema, “Huyu ni Naomi?”
I šly obě dvě spolu, až přišly k Betlému. I stalo se, že když přišly do Betléma, roznesla se pověst o nich po všem městě, a pravili: To-li jest ta Noémi?
20 Lakini aliwaambia, “Msiniite Naomi. Niiteni Mchungu, kwa kuwa Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.
Jimž ona řekla: Nenazývejte mne Noémi, říkejte mi Mara; nebo hořkostí velikou naplnil mne Všemohoucí.
21 Nilikwenda nikiwa nimejaa, lakini Yahweh kanirudisha nyumbani nikiwa sina wote. Hivyo kwa nini mnaniita Naomi, wakati mnaona Yahweh amenihukumu, kuwa Mwenyezi Mungu amenitaabisha?”
Vyšla jsem plná, teď pak prázdnou mne zase Hospodin přivedl. Pročež tedy nazýváte mne Noémi, poněvadž mne Hospodin ssoužil, a Všemohoucí mne znuzil?
22 Kwa hivyo Naomi na Ruth Mmoabu, mke wa mtoto wake, walirudi kutoka nchi ya Moabu. walirudi Bethrehemu mwazo wa mavuno ya shairi.
A navrátila se Noémi s Rut Moábskou, nevěstou svou; navrátila se pak z krajiny Moábské. I přišly do Betléma, když počínali žíti ječmene.

< Ruth 1 >