< Zaburi 89 >

1 Nitimba sifa za matendo ya uaminifu wa agano milele. Nitatangaza kweli yako kwa vizazi vijavyo.
以斯拉人以探的訓誨詩。 我要歌唱耶和華的慈愛,直到永遠; 我要用口將你的信實傳與萬代。
2 Maana nimesema, “Uaminifu wa agano umeimarishwa milele; na kweli yako umeiimarisha mbinguni.”
因我曾說:你的慈悲必建立到永遠; 你的信實必堅立在天上。
3 “Nimefanya agano na wateule wangu, nimeapa kiapo kwa Daudi mtumishi wangu.
我與我所揀選的人立了約, 向我的僕人大衛起了誓:
4 Nitauimarisha uzao wako milele, na nitauimarisha utawala wako vizazi vyote.” (Selah)
我要建立你的後裔,直到永遠; 要建立你的寶座,直到萬代。 (細拉)
5 Mbingu husifu maajabu yako, Yahwe; kweli yako inasifiwa katika kusanyiko la watakatifu.
耶和華啊,諸天要稱讚你的奇事; 在聖者的會中,要稱讚你的信實。
6 Maana ni nani katika mbingu aweza kulinganishwa na Yahwe? Ambaye kati ya wana wa miungu ni kama Yahwe?
在天空誰能比耶和華呢? 神的眾子中,誰能像耶和華呢?
7 Ni Mungu anaye heshimiwa sana katika baraza la watakatifu naye ni wakutisha kati ya wote wanao mzunguka.
他在聖者的會中,是大有威嚴的上帝, 比一切在他四圍的更可畏懼。
8 Yahwe, Mungu wa majeshi, ni nani aliye na nguvu kama wewe, Yahwe? Kweli yako inakuzunguka.
耶和華-萬軍之上帝啊, 哪一個大能者像你耶和華? 你的信實是在你的四圍。
9 Wewe huitawala bahari yenye nguvu; mawimbi yainukapo, wewe huyatuliza.
你管轄海的狂傲; 波浪翻騰,你就使它平靜了。
10 Ulimwangamiza Rahabu kama mmoja aliye uliwa. Uliwatawanya adui zako kwa mkono wako wenye nguvu.
你打碎了拉哈伯,似乎是已殺的人; 你用有能的膀臂打散了你的仇敵。
11 Mbingu ni zako wewe, na nchi pia. Uliiumba dunia na vyote vilivyomo.
天屬你,地也屬你; 世界和其中所充滿的都為你所建立。
12 Uliumba kaskazini na kusini. Tabori na Hermoni hulifurahia jina lako.
南北為你所創造; 他泊和黑門都因你的名歡呼。
13 una mkono wa uweza na mkono wenye nguvu, na mkono wako wa kuume uko juu.
你有大能的膀臂; 你的手有力,你的右手也高舉。
14 Haki na hukumu ni msingi wa kiti chako. Uaminifu wa agano lako na uaminifu huja mbele zako.
公義和公平是你寶座的根基; 慈愛和誠實行在你前面。
15 Wamebarikiwa watu wakuabuduo wewe! Yahwe, wanatembea katika nuru ya uso wako.
知道向你歡呼的,那民是有福的! 耶和華啊,他們在你臉上的光裏行走。
16 Siku zote wanafurahia katika jina lako, na katika haki yako wanakutukuza wewe.
他們因你的名終日歡樂, 因你的公義得以高舉。
17 Wewe ni fahari ya nguvu zao, na kwa nguvu zako tu washindi.
你是他們力量的榮耀; 因為你喜悅我們,我們的角必被高舉。
18 Maana ngao zetu ni za kwako Yahwe; mfalme wetu ni wa Mtakatifu wa Israeli.
我們的盾牌屬耶和華; 我們的王屬以色列的聖者。
19 Muda mrefu uliopita ulizungumza na waaminfu wako katika maono; ulisema, “Nimeweka taji juu ya mwenye nguvu; nimemuinua aliyechaguliwa kutoka kati ya watu.
當時,你在異象中曉諭你的聖民,說: 我已把救助之力加在那有能者的身上; 我高舉那從民中所揀選的。
20 Nimemchagua Daudi mtumishi wangu; kwa mafuta yangu matakatifu nimempaka yeye.
我尋得我的僕人大衛, 用我的聖膏膏他。
21 Mkono wangu utamsaidia yeye; mkono wangu utamtia nguvu.
我的手必使他堅立; 我的膀臂也必堅固他。
22 Hakuna adui atakaye mdanganya; hakuna mwana wa uovu atakaye muonea.
仇敵必不勒索他; 凶惡之子也不苦害他。
23 Nitawaangamiza adui zake mbele yake; nitawaua wale wamchukiao.
我要在他面前打碎他的敵人, 擊殺那恨他的人。
24 Kweli yangu na uaminifu wa agano vitakuwa pamoja naye; kupitia jina langu atakuwa mshindi.
只是我的信實和我的慈愛要與他同在; 因我的名,他的角必被高舉。
25 Nitaweka mkono wake juu ya bahari na mkono wake wa kuume juu ya mito.
我要使他的左手伸到海上, 右手伸到河上。
26 Yeye ataniita, 'Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, na mwamba wa wokovu wangu.'
他要稱呼我說:你是我的父, 是我的上帝,是拯救我的磐石。
27 Nitamjalia kuwa kama mzaliwa wangu wa kwanza, aliye inuliwa zaidi juu ya wafalme wa nchi.
我也要立他為長子, 為世上最高的君王。
28 Nitaongeza uaminifu wa agano langu kwake milele; na agano langu pamoja naye litakuwa salama.
我要為他存留我的慈愛,直到永遠; 我與他立的約必要堅定。
29 Nitaufanya uzao wake kudumu milele na kiti chake cha enzi kitadumu kama mbingu zilizo juu.
我也要使他的後裔存到永遠, 使他的寶座如天之久。
30 Ikiwa watoto wake wataziacha sheria zangu na kutokutii amri zangu,
倘若他的子孫離棄我的律法, 不照我的典章行,
31 na kama watazivunja sheria zangu na kutokuzishika amri zangu,
背棄我的律例, 不遵守我的誡命,
32 ndipo nitauadhiu uasi wao kwa fimbo na uovu wao kwa makofi.
我就要用杖責罰他們的過犯, 用鞭責罰他們的罪孽。
33 Lakini sitauondoa kwake upendo wangu thabiti wala kutokuwa mwaminifu kwa ahadi yangu.
只是我必不將我的慈愛全然收回, 也必不叫我的信實廢棄。
34 Sitavunja agano langu wala kubadilisha maneno ya midomoni mwangu.
我必不背棄我的約, 也不改變我口中所出的。
35 Mara moja na kwa yote, nimeapa kwa utakatifu wangu sitamdanganya Daudi:
我一次指着自己的聖潔起誓: 我決不向大衛說謊!
36 uzao wake utaendelea milele na kiti chake cha enzi kama vile jua mbele yangu.
他的後裔要存到永遠; 他的寶座在我面前如日之恆一般,
37 Kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu mawinguni.” (Selah)
又如月亮永遠堅立, 如天上確實的見證。 (細拉)
38 Lakini wewe umemtupa na kumkataa; umemkasirikia mfalme mpakwa mafuta wako.
但你惱怒你的受膏者, 就丟掉棄絕他。
39 Wewe umelikataa agano la mtumishi wako. Umeinajisi taji yake ardhini.
你厭惡了與僕人所立的約, 將他的冠冕踐踏於地。
40 Umevunja kuta zake zote. Umeharibu ngome yake.
你拆毀了他一切的籬笆, 使他的保障變為荒場。
41 Wapita njia wote wamemuibia, amekuwa kitu chenye kinyaa kwa majirani zake.
凡過路的人都搶奪他; 他成為鄰邦的羞辱。
42 Umeinua mkono wa kuume wa adui zake; umewafurahisha adui zake wote.
你高舉了他敵人的右手; 你叫他一切的仇敵歡喜。
43 Umeyageuza makali ya upanga wake. Na hukumfanya asimame awapo vitani.
你叫他的刀劍捲刃, 叫他在爭戰之中站立不住。
44 Umeimaliza fahari yake; umekitupa ardhini kiti chake cha enzi.
你使他的光輝止息, 將他的寶座推倒於地。
45 Umefupisha siku za ujana wake. Umemfunika kwa aibu. (Selah)
你減少他青年的日子, 又使他蒙羞。 (細拉)
46 Mpaka lini, Yahwe? utajificha, milele? Mpaka lini hasira yako itawaka kama moto?
耶和華啊,這要到幾時呢? 你要將自己隱藏到永遠嗎? 你的忿怒如火焚燒要到幾時呢?
47 Oh, fikiria jinsi muda wangu ulivyo mfupi, na ni kwa ajili gani umewaumba wana wote wa wanadamu wasio na manufaa!
求你想念我的時候是何等的短少; 你創造世人,要使他們歸何等的虛空呢?
48 Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? (Selah) (Sheol h7585)
誰能常活免死、 救他的靈魂脫離陰間的權柄呢? (細拉) (Sheol h7585)
49 Bwana, yako wapi matendo yako ya zamani ya uaminifu wa agano ambayo ulimwapia Daudi katika kweli yako?
主啊,你從前憑你的信實 向大衛立誓要施行的慈愛在哪裏呢?
50 Kumbuka, Bwana, watumishi wako walivyodhihakiwa na vile nilivyo vumilia moyoni mwangu matusi mengi dhidi ya mataifa.
主啊,求你記念僕人們所受的羞辱, 記念我怎樣將一切強盛民的羞辱存在我懷裏。
51 Maadui zako wanavurumiza matusi, Yahwe; wanadhihaki nyayo za mpakwa mafuta wako.
耶和華啊,你的仇敵用這羞辱羞辱了你的僕人, 羞辱了你受膏者的腳蹤。
52 Atukuzwe Yahwe milele. Amina na Amina. Kitabu cha Nne
耶和華是應當稱頌的,直到永遠。 阿們!阿們!

< Zaburi 89 >