< Zaburi 68 >

1 Mungu ainuke, maadui zake watawanyike; pia wale wamchukiao wakimbie mbele zake.
Přednímu z kantorů, Davidův žalm k zpívání. Povstane Bůh, a rozprchnou se nepřátelé jeho, a utekou od tváři jeho ti, kteříž ho mají v nenávisti.
2 Kama moshi uondoshwavyo, hivyo uwaondoshe wao; kama nta iyeyukavo mbele ya moto, hivyo waovu waangamizwe uweponi mwa Mungu.
Jakož rozehnán bývá dým, tak je rozženeš; jakož se rozplývá vosk před ohněm, tak bezbožní zahynou před tváří Boží.
3 Bali wenye haki wafurahi; washangilie mbele za Mungu; washangilie na kufurahi.
Spravedliví pak veselíce se, poskakovati budou před Bohem, a plésati budou radostí.
4 Mwimbieni Mungu! Lisifuni jina lake! Msifuni yule aendeshaye farasi kwenye tambarare ya bonde la Mto Yordani! Yahwe ni jina lake! Shangilieni mbele zake!
Prozpěvujte Bohu, žalmy zpívejte jménu jeho, vyrovnejte cestu tomu, kterýž se vznáší na oblacích. Hospodin jest jméno jeho, plésejtež před ním.
5 Baba wa yatima, na mwamuzi wa wajane, ni Mungu anayeishi mahali patakatifu.
Otec jest sirotků a ochránce vdov, Bůh v příbytku svatém svém.
6 Mungu huwaweka wakiwa katika familia; yeye huwafungua wafungwa kwa kuimba bali waasi huishi katika ardhi kavu.
Bůh samotné rozmnožuje v domy, vyvodí vězně z okovů, zpurní pak bydliti musejí v zemi vyprahlé.
7 Mungu, wewe ulipoenda mbele ya watu wako, ulipotembea kupitia jangwani, (Selah)
Bože, když jsi předcházel lid svůj, když jsi kráčel po poušti, (Sélah)
8 nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
Země se třásla, též i nebesa rozplývala se před tváří Boží, i ta hora Sinai před přítomností Boží, Boha Izraelského.
9 Wewe, Mungu, ulituma mvua nyingi; uliuimarisha urithi wako wakati ulipokuwa umechoka.
Deštěm štědrosti hojné skropoval jsi, Bože, dědictví své, a když zemdlívalo, ty jsi je zase očerstvoval.
10 Watu wako waliishi humo; Wewe, Mungu, uliutoa kwa wema wako kwa maskini.
Zástupové tvoji přebývají v něm, kteréžs ty nastrojil dobrotivostí svou pro chudého, ó Bože.
11 Bwana alitoa amri, na wale walio zitangaza walikuwa ni jeshi kuu.
Pán dal slovo své, i těch, kteréž potěšeně zvěstovaly, zástup veliký, řkoucích:
12 Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia, na wanawake wakisubiri nyumbani kuvigawana wao na familia zao vilivyotekwa nyara.
Králové s vojsky utíkali, utíkali, a doma hlídající dělily kořisti.
13 Njiwa walio vikwa fedha wakiwa na mabawa ya njano ya dhahabu. Wakati baadhi ya watu wakikaa kati ya mifugo ya kondoo, kwa nini umefanya haya?
Ačkoli jste mezi kotly ležeti musili, však jste jako holubice, mající křídla postříbřená, a brky z ryzího zlata.
14 Mwenyezi Mungu aliwatawanya Wafalme huko, ilikuwa kama vile wakati wa theluji juu ya Mlima Salmoni.
Když Všemohoucí rozptýlí krále v této zemi, zbělíš jako sníh na hoře Salmon.
15 Mlima mkubwa ni milima wa mji wa Bashani; mlima mrefu ni mlima wa mji wa Bashani.
Hoře veliké, hoře v Bázan, hoře pahrbkovaté, hoře v Bázan.
16 Ewe mlima mrefu wa nchi, kwa nini unatazama kwa jicho la husuda, kwenye mlima ambao Mungu ameutaka kwa ajili ya mahali ambapo yeye ataishi? Hakika, Yahwe ataishi humo milele.
Pročež vyskakujete, hory pahrbkovaté? Na tétoť hoře zalíbilo se Bohu přebývati, jistě žeť na ní Hospodin na věky přebývati bude.
17 Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu juu ya maelfu; Bwana yu kati yao katika mahari patakatifu, kama katika Sinai.
Vozů Božích jest dvadceti tisíců, mnoho tisíců andělů, Pán pak mezi nimi jako na Sinai v svatyni přebývá.
18 Wewe umepaa juu; uliwaongoza mateka; umepokea zawadi kutoka kati ya watu, hata kutoka kwa wale waliopigana dhidi yako, ili kwamba wewe, Yahwe Mungu, uweze kuishi huko.
Vstoupil jsi na výsost, jaté jsi vedl vězně, vzal jsi dary pro lidi. I nejzpurnější k přebývání s námi, Hospodine Bože, přivozuješ.
19 Abarikiwe Bwana, atubebeaye mizigo yetu, Mungu ambaye ni wokovu wetu. (Selah)
Požehnaný Pán, každého dne nás osýpá dary svými, Bůh silný spasení našeho. (Sélah)
20 Mungu wetu ni Mungu aokoaye; Yahwe Bwana ni yule awezaye kutuokoa sisi dhidi ya kifo.
Onť jest Bůh silný náš, Bůh silný k hojnému spasení. Hospodin Pán z smrti vyvodí.
21 Lakini Bwana atapiga vichwa vya adui zake, mpaka kwenye ngozi ya kichwa yenye nywele ya wale watembeao katika makosa dhidi yake.
Raní zajisté Bůh hlavu nepřátel svých, a vrch hlavy vlasatý chodícího v hříších svých.
22 Bwana alisema, “Nitawarudisha adui zangu kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka katika kina cha bahari
Řekltě Pán: Zaseť vyvedu své, jako z Bázan, zase vyvedu z hlubokosti mořské.
23 ili kwamba upate kuwaangamiza adui zako, ukichovya mguu wako katika damu, na ili kwamba ndimi za mbwa wako zipate mlo wao kutoka kwa adui zenu.”
A protož noha tvá zbrocena bude ve krvi, i jazyk psů tvých krví nepřátelskou.
24 Mungu, wameona maandamano yako, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kwenye mahali patakatifu.
Spatřili slavné jití tvé, Bože, jití silného Boha mého a krále mého v svatyni.
25 Waimbaji walitangulia, walifuatiwa na wapiga muziki, na katikati walikuwa wanawali wakicheza ngoma.
Napřed šli zpěváci, z zadu hrající na nástroje hudebné, u prostřed pak děvečky bubnující.
26 Mtukuzeni Mungu katika kusanyiko; msifuni Yahwe, ninyi ukoo wa kweli wa Israeli.
V shromážděních dobrořečte Bohu Pánu, kteříž jste z národu Izraelského.
27 Kuna Benjamini kwanza, kabila dogo, kisha viongozi wa Yuda na watu wao, viongozi wa Zabuloni na viongozi wa Naftali.
Tu ať jest Beniamin maličký, kterýž je opanoval, tu knížata z Judy a houfové jejich, knížata z Zabulona, i knížata z Neftalíma.
28 Mungu wenu, Israeli, ameamuru nguvu zenu; uzifunue kwetu nguvu zako, Mungu, kama ulivyo zifunua wakati uliopita.
Obdařil tě Bůh tvůj silou. Potvrdiž, Bože, což jsi mezi námi vzdělal,
29 Uzifunue nguvu zako kwetu toka katika hekalu la Yerusalemu, ambako wafalme huleta zawadi kwako.
Z chrámu svého nad Jeruzalémem, do něhož tobě přinášeti budou králové dary.
30 Pigeni kelele katika vita dhidi ya wanyama wa porini katika mianzi, dhidi ya watu, lile kundi la mafahari na ndama. Wafedhehesheni na kuwalazimisha wawaletee zawadi; watawanyeni watu wapendao kupigana vita.
Zahub zástup kopidlníků, sebrání mocných vůdců i lidu bujného, pyšně vykračující s kusy stříbra; rozptyl lidi žádostivé válek.
31 Wakuu watatoka katika Misri; Ethiopia itafanya haraka kuufikisha mkono wake kwa Mungu.
Přijdouť nejvzácnější z Egypta, Mouřenínská země rychle vztáhne ruku svou k Bohu.
32 Mwimbieni Mungu, enyi falme za nchi; (Selah) mwimbieni sifa Yahwe.
Království země zpívejte Bohu, žalmy zpívejte Pánu, (Sélah)
33 Kwake yeye apitaye juu ya mbingu za mbingu, zilizokuwepo tangu zama za kale; tazama, yeye hupiga kelele kwa nguvu
Tomu, kterýž se vznáší nad nebem nebes starodávních; aj, vydává hlas svůj, hlas přemocný.
34 Tangazeni kuwa Mungu ni mwenye nguvu; enzi yake iko juu ya Israeli, na nguvu zake ziko angani.
Dejte čest síly Bohu, jehož důstojnost nad Izraelem, a velikomocnost jeho na oblacích.
35 Mungu, mahali pako patakatifu panatisha; Mungu wa Israeli, yeye huwapa watu wake nguvu na uweza. Atukuzwe Mungu.
Přehrozný jsi, ó Bože, z svatých příbytků svých. Bůh silný Izraelský, onť dává moc a sílu lidu svému, Bůh požehnaný.

< Zaburi 68 >