< Zaburi 50 >

1 Mungu, Mwenye nguvu, Yahwe, amenena naye aliita nchi toka mawio ya jua mpaka machweo yake.
(En salme af Asaf.) Gud, Gud HERREN talede og stævnede Jorden hid fra Sol i Opgang til Sol i Bjærge;
2 Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
fra Zion, Skønhedens Krone, viste Gud sig i Stråleglans
3 Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
vor Gud komme og tie ikke! - Foran ham gik fortærende Ild, omkring ham rasede Storm;
4 Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
han stævnede Himlen deroppe hid og Jorden for at dømme sit Folk:
5 Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
"Saml mig mine fromme, der sluttede Pagt med mig ved Ofre!"
6 Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
Og Himlen forkyndte hans Retfærd, at Gud er den, der dømmer. (Sela)
7 Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
Hør, mit Folk, jeg vil tale, Israel, jeg vil vidne imod dig, Gud, din Gud er jeg!
8 Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
Jeg laster dig ikke for dine Slagtofre, dine Brændofre har jeg jo stadig for Øje;
9 Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
jeg tager ej Tyre fra dit Hus eller Bukke fra dine Stalde;
10 Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
thi mig tilhører alt Skovens Vildt, Dyrene på de tusinde Bjerge;
11 Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
jeg kender alle Bjergenes Fugle, har rede på Markens Vrimmel.
12 Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
Om jeg hungred, jeg sagde det ikke til dig, thi mit er Jorderig og dets Fylde!
13 Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
Mon jeg æder Tyres Kød eller drikker Bukkes Blod?
14 Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
Lovsang skal du ofre til Gud og holde den Højeste dine Løfter.
15 Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
Og kald på mig på Nødens Dag; jeg vil udfri dig, og du skal ære mig,
16 Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
Men til Den gudløse siger Gud: Hvi regner du op mine Bud og fører min Pagt i Munden,
17 wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
når du dog hader Tugt og kaster mine Ord bag din Ryg?
18 Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
Ser du en Tyv, slår du Følge med ham, med Horkarle bolder du til,
19 Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
slipper Munden løs med ondt, din Tunge bærer på Svig.
20 Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
Du sidder og skænder din Broder, bagtaler din Moders Søn;
21 Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
det gør du, og jeg skulde tie, og du skulde tænke, jeg er som du! Revse dig vil jeg og gøre dig det klart.
22 Mlitilie maanani hili, ninyi mnao msahau Mungu, vinginevyo nitawakata ninyi vipande vipande, na hatakuwepo yeyote wakuja kuwasaidia!
Mærk jer det, I, som glemmer Gud, at jeg ikke skal rive jer redningsløst sønder.
23 Yule atoaye sadaka ya shukurani hunitukuza, na yeyote apangaye njia zake katika namna iliyo sahihi nitamuonesha wokovu wa Mungu.”
Den, der ofrer Taksigelse, ærer mig; den, der agter på Vejen, lader jeg se Guds Frelse.

< Zaburi 50 >