< Zaburi 45 >

1 Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
For the end, for alternate [strains] by the sons of Core; for instruction, a Song concerning the beloved. My heart has uttered a good matter: I declare my works to the king: my tongue is the pen of a quick writer.
2 Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
Thou art more beautiful than the sons of men: grace has been shed forth on thy lips: therefore God has blessed thee for ever.
3 Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
Gird thy sword upon thy thigh, O Mighty One, in thy comeliness, and in thy beauty;
4 Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
and bend [thy bow], and prosper, and reign, because of truth and meekness and righteousness; and thy right hand shall guide thee wonderfully.
5 Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
Thy weapons are sharpened, Mighty One, (the nations shall fall under thee) [they are] in the heart of the king's enemies.
6 Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
Thy throne, O God, is for ever and ever: the sceptre of thy kingdom is a sceptre of righteousness.
7 Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Thou hast loved righteousness, and hated iniquity: therefore God, thy God, has anointed thee with the oil of gladness beyond thy fellows.
8 Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
Myrrh, and stacte, and cassia [are exhaled] from thy garments, [and] out of the ivory palaces,
9 Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
with which kings' daughters have gladdened thee for thine honour: the queen stood by on thy right hand, clothed in vesture wrought with gold, [and] arrayed in divers colours.
10 Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
Hear, O daughter, and see, and incline thine ear; forget also thy people, and thy father's house.
11 Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
Because the king has desired thy beauty; for he is thy Lord.
12 Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
And the daughter of Tyre shall adore him with gifts; the rich of the people of the land shall supplicate thy favour.
13 Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
All her glory [is that] of the daughter of the king of Esebon, robed [as she is] in golden fringed garments,
14 Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
in embroidered [clothing]: virgins shall be brought to the king after her: her fellows shall be brought to thee.
15 Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
They shall be brought with gladness and exultation: they shall be led into the king's temple.
16 Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
Instead of thy fathers children are born to thee: thou shalt make them princes over all the earth.
17 Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.
They shall make mention of thy name from generation to generation: therefore shall the nations give thanks to thee for ever, even for ever and ever.

< Zaburi 45 >