< Zaburi 41 >

1 Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
Untuk pemimpin kor. Mazmur Daud. Berbahagialah orang yang memperhatikan orang yang lemah; TUHAN akan menolong dia di waktu kesesakan.
2 Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
TUHAN akan melindungi dan memelihara dia, Ia akan membahagiakannya di bumi, dan tidak menyerahkan dia ke tangan musuhnya.
3 Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
TUHAN akan menolong dia pada waktu sakit, dan memulihkan kesehatannya.
4 Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
Kataku, "Aku telah berdosa terhadap-Mu, ya TUHAN, kasihanilah aku dan sembuhkanlah aku."
5 Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
Musuhku mengatakan yang jahat tentang aku, mereka ingin agar aku mati dan dilupakan.
6 Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
Orang-orang yang menjenguk aku tidak tulus ikhlas. Mereka mengumpulkan kabar buruk tentang aku, lalu menyiarkannya ke mana-mana.
7 Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
Semua yang membenci aku berbisik-bisik; mereka mengatakan yang paling jelek tentang aku.
8 Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
Kata mereka, "Penyakitnya parah sekali, ia tak mungkin bangun lagi."
9 Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
Bahkan kawan karib yang paling kupercayai, orang yang makan bersamaku, telah menghina aku.
10 Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
Kasihanilah aku ya TUHAN, sembuhkanlah aku, agar aku dapat membalas kejahatan lawan-lawanku.
11 Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
Kalau aku tidak dikalahkan musuhku, tahulah aku bahwa Engkau berkenan kepadaku.
12 Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
Engkau menolong aku karena ketulusanku, dan membuat aku hidup bersama-Mu untuk selamanya.
13 Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili
Pujilah TUHAN, Allah Israel! Pujilah Dia sekarang dan selama-lamanya! Jadilah demikian. Amin!

< Zaburi 41 >