< Zaburi 36 >

1 Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
A prevaricação do ímpio diz no intimo do seu coração: Não há temor de Deus perante os seus olhos.
2 Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
Porque em seus olhos se lisongeia, até que a sua iniquidade se descubra ser detestável.
3 Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
As palavras da sua boca são malícia e engano: deixou de entender e de fazer o bem.
4 Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
Projeta a malícia na sua cama; põe-se no caminho que não é bom: não aborrece o mal
5 Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
A tua misericórdia, Senhor, está nos céus, e a tua fidelidade chega até às mais excelsas nuvens.
6 Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
A tua justiça é como as grandes montanhas; os teus juízos são um grande abismo; Senhor, tu conservas os homens e os animais.
7 Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
Quão preciosa é, ó Deus, a tua benignidade, pelo que os filhos dos homens se abrigam à sombra das tuas asas.
8 Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
Eles se fartarão da gordura da tua casa, e os farás beber da corrente das tuas delícias;
9 Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
Porque em ti está o manancial da vida; na tua luz veremos a luz.
10 Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
Estende a tua benignidade sobre os que te conhecem, e a tua justiça sobre os retos de coração.
11 Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
Não venha sobre mim o pé dos soberbos, e não me mova a mão dos ímpios.
12 Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.
Ali caem os que obram a iniquidade; cairão, e não se poderão levantar.

< Zaburi 36 >