< Zaburi 3 >

1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
Psalmus David, Cum fugeret a facie Absalom filii sui. Domine quid multiplicati sunt qui tribulant me? multi insurgunt adversum me.
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
Multi dicunt animae meae: Non est salus ipsi in Deo eius.
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
Tu autem Domine susceptor meus es, gloria mea, et exaltans caput meum.
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
Voce mea ad Dominum clamavi: et exaudivit me de monte sancto suo.
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
Ego dormivi, et soporatus sum: et exurrexi, quia Dominus suscepit me.
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
Non timebo millia populi circumdantis me: exurge Domine: salvum me fac Deus meus.
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
Quoniam tu percussisti omnes adversantes mihi sine causa: dentes peccatorum contrivisti.
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
Domini est salus: et super populum tuum benedictio tua.

< Zaburi 3 >