< Zaburi 22 >

1 Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
Til sangmesteren; efter "Morgenrødens hind"; en salme av David. Min Gud! Min Gud! Hvorfor har du forlatt mig? Langt borte fra min frelse er min klages ord.
2 Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
Min Gud! Jeg roper om dagen, og du svarer ikke, og om natten, og jeg får ikke tie.
3 Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
Og du er dog hellig, du som troner over Israels lovsanger.
4 Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
Til dig satte våre fedre sin lit; de satte sin lit til dig, og du utfridde dem.
5 Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
Til dig ropte de, og de blev reddet; til dig satte de sin lit, og de blev ikke til skamme.
6 Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
Men jeg er en orm og ikke en mann, menneskers spott og folks forakt.
7 Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.
Alle de som ser mig, spotter mig, vrenger munnen, ryster på hodet og sier:
8 Wao husema, “Yeye anamwamini Yahwe; mwache Yahwe amuokoe. Mwache amuokoe yeye, kwa kuwa yeye anampendeza sana Yeye.”
Sett din vei i Herrens hånd! Han skal redde ham, han skal utfri ham, siden han har behag i ham.
9 Kwa kuwa wewe ulinileta kutoka tumboni; wewe ulinifanya nikuamini wewe wakati nikiwa nanyonya matiti ya mama yangu.
Ja, du er den som drog mig frem av mors liv, som lot mig hvile trygt ved min mors bryst.
10 Nimekwisha tupwa kwako wewe tokea tumboni; wewe ni Mungu wangu tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu!
På dig er jeg kastet fra mors liv; fra min mors skjød er du min Gud.
11 Usiwe mbali na mimi, kwa kuwa shida ikaribu; hayupo hata mmoja wa kusaidia.
Vær ikke langt borte fra mig! for trengselen er nær, og det er ingen hjelper.
12 Maksai wengi wananizunguka mimi; maksai wenye nguvu ya Bashan wananizunguka mimi.
Sterke okser omringer mig, Basans okser kringsetter mig.
13 Wao wanafungua midomo yao kwangu kama simba aungurumaye akirarua windo lake.
De spiler op sin munn imot mig som en sønderrivende og brølende løve.
14 Ninamwagwa nje kama maji, na mifupa yangu yote imeteguka. Moyo wangu ni kama nta; nao unayeyuka ndani ya sehemu zangu za ndani.
Jeg er utøst som vann, og alle mine ben skiller sig at; mitt hjerte er som voks, smeltet midt i mitt liv.
15 Nguvu zangu zimekaushwa kama kipande cha ufinyanzi; ulimi wangu unanata juu ya mdomo wangu. Wewe umenilaza mimi katika vumbi la mauti.
Min kraft er optørket som et potteskår, og min tunge henger fast ved mine gommer, og i dødens støv legger du mig.
16 Kwa maana mbwa wamenizunguka; kundi la watu waovu limenizunguka; wamenitoboa mikono yangu na miguu yangu.
For hunder omringer mig, de ondes hop kringsetter mig; de har gjennemboret mine hender og mine føtter.
17 Nami ninaweza kuihesabu mifupa yangu. Wao wananitazama na kunishangaa.
Jeg kan telle alle mine ben; de ser til, de ser på mig med lyst.
18 Wao wanagawa mavazi yangu kati yao wenyewe, wanapiga kura kwa ajili ya mavazi yangu.
De deler mine klær mellem sig og kaster lodd om min kjortel.
19 Usiwe mbali, Yahwe; tafadhali harakisha kunisaidia mimi, nguvu yangu!
Men du? Herre, vær ikke langt borte, du min styrke, skynd dig å hjelpe mig!
20 Uiokoe roho yangu na upanga, maisha yangu mwenyewe na makucha ya mbwa mwitu.
Redd min sjel fra sverdet, mitt eneste fra hunders vold!
21 Uniokoe na mdomo wa simba; uniokoe na mapembe ya ng'ombe wa porini.
Frels mig fra løvens gap, og fra villoksenes horn - du bønnhører mig!
22 Nami nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kusanyiko la watu nitakusifu wewe.
Jeg vil kunngjøre ditt navn for mine brødre, midt i menigheten vil jeg love dig.
23 Ninyi mnao mwogopa Yahwe, msifuni yeye! Ninyi nyote kizazi cha Yakobo, muheshimuni yeye! Simameni katika hofu yake, ninyi nyote kizazi cha Israeli!
I som frykter Herren, lov ham, all Jakobs ætt, ær ham, og frykt for ham, all Israels ætt!
24 Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
For han har ikke foraktet og ikke avskydd den elendiges elendighet og ikke skjult sitt åsyn for ham; men da han ropte til ham, hørte han.
25 Yahwe, katika kusanyiko la watu wako nitakusifu kwa yale uliyo tenda; nami nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanao muhofu yeye.
Fra dig utgår min pris i en stor forsamling; mine løfter vil jeg holde for deres øine som frykter ham.
26 Walio onewa watakula na kutosheka; wale ambao humtafuta Yahwe watamsifu yeye. Mioyo yenu iishi milele.
De saktmodige skal ete og bli mette; de som søker Herren, skal love ham; eders hjerte leve til evig tid!
27 Watu wote wa duniani watakumbuka na kumrudia Yahwe; familia zote za mataifa watapiga magoti chini mbele yako.
Alle jordens ender skal komme det i hu og vende om til Herren, og alle folkenes slekter skal tilbede for ditt åsyn.
28 Kwa kuwa utawala ni wa Yahwe; yeye ni mtawala wa mataifa.
For riket hører Herren til, og han hersker over folkene.
29 Watu wote wa duniani waliofanikiwa wata sherekea na wata abudu; wale wote washukao katika mavumbi watapiga magoti mbele zake, wale ambao hawawezi kulinda maisha yao wenyewe.
Alle jordens rikmenn skal ete og tilbede; for hans åsyn skal alle de bøie sig som stiger ned i støvet, og den som ikke kan holde sin sjel i live.
30 Kizazi kijacho kitamtumikia yeye; wao watakiambia kizazi kinachofuatia kuhusu Bwana.
Efterkommerne skal tjene ham, der skal fortelles om Herren til efterslekten.
31 Wao watakuja na kuzungumza kuhusu haki yake; wao watawaambia watu ambao bado hawaja zaliwa yale ambayo Yahwe ameyafanya!
De skal komme og kunngjøre hans rettferdighet for det folk som blir født, at han har gjort det.

< Zaburi 22 >