< Zaburi 2 >

1 Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
Porque se amotinam as gentes, e os povos imaginam a vaidade?
2 Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
Os reis da terra se levantam, e os príncipes consultam juntamente contra o Senhor e contra o seu ungido, dizendo:
3 “Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
Rompamos as suas ataduras, e sacudamos de nós as suas cordas.
4 Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
Aquele que habita nos céus se rirá: o Senhor zombará deles.
5 Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
Então lhes falará na sua ira, e no seu furor os turbará.
6 “Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Eu porém ungi o meu Rei sobre o meu santo monte de Sião.
7 Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
Recitarei o decreto: o Senhor me disse: Tu és meu Filho, eu hoje te gerei.
8 Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
Pede-me, e eu te darei as nações por herança, e os fins da terra por tua possessão.
9 Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
Tu os esmigalharás com uma vara de ferro; tu os despedaçarás como a um vaso de oleiro.
10 Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
Agora pois, ó reis, sede prudentes; deixai-vos instruir, juízes da terra.
11 Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
Servi ao Senhor com temor, e alegrai-vos com tremor.
12 Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.
Beijai ao Filho, para que se não ire, e pereçais no caminho, quando em breve se acender a sua ira: bem-aventurados todos aqueles que nele confiam.

< Zaburi 2 >