< Zaburi 148 >

1 Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
Alleluja. Chwalcie PANA z niebios, chwalcie go na wysokościach.
2 Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
Chwalcie go, wszyscy jego aniołowie; chwalcie go, wszystkie jego zastępy.
3 Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
Chwalcie go, słońce i księżycu; chwalcie go, wszystkie gwiazdy świecące.
4 Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
Chwalcie go, niebiosa nad niebiosami i wody, które są nad niebiosami.
5 Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
Niech chwalą imię PANA, on bowiem rozkazał i zostały stworzone.
6 Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
I ustanowił je na wieki wieków; dał prawo, które nie przeminie.
7 Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
Chwalcie PANA z ziemi, smoki i wszystkie głębiny.
8 moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
Ogniu i gradzie, śniegu i paro, wietrze gwałtowny, wykonujący jego rozkaz;
9 Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
Góry i wszystkie pagórki, drzewa owocowe i wszystkie cedry;
10 wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
Zwierzęta i wszelkie bydło, istoty pełzające i ptactwo skrzydlate.
11 Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
Królowie ziemscy i wszystkie narody; władcy i wszyscy sędziowie ziemi;
12 wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
Młodzieńcy, a także dziewice, starzy i dzieci;
13 Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
Niech chwalą imię PANA, bo tylko jego imię jest wzniosłe, [a] jego chwała nad ziemią i niebem.
14 Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.
I wywyższył róg swego ludu, chwałę wszystkich jego świętych, [zwłaszcza] synów Izraela, ludu mu bliskiego. Alleluja.

< Zaburi 148 >