< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Cantique des degrés. Vers l’Eternel j’ai crié dans ma détresse, et il m’a exaucé.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Seigneur, délivre-moi des lèvres mensongères, de la langue perfide.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Quel profit te donnera-t-elle, quel avantage, cette langue perfide,
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
pareille aux flèches des guerriers, aiguisées aux charbons ardents des genêts?
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Quel malheur pour moi d’avoir séjourné à Méchec, demeuré près des tentes de Kêdar!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Trop longtemps mon âme a vécu dans le voisinage de ceux qui haïssent la paix.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Je suis, moi, tout à la paix, et quand je la proclame, eux ne méditent que guerre.

< Zaburi 120 >