< Zaburi 113 >

1 Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
यहोवा की स्तुति करो! हे यहोवा के दासों, स्तुति करो, यहोवा के नाम की स्तुति करो!
2 Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
यहोवा का नाम अब से लेकर सर्वदा तक धन्य कहा जाएँ!
3 Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
उदयाचल से लेकर अस्ताचल तक, यहोवा का नाम स्तुति के योग्य है।
4 Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
यहोवा सारी जातियों के ऊपर महान है, और उसकी महिमा आकाश से भी ऊँची है।
5 Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
हमारे परमेश्वर यहोवा के तुल्य कौन है? वह तो ऊँचे पर विराजमान है,
6 atazamaye chini angani na duniani?
और आकाश और पृथ्वी पर, दृष्टि करने के लिये झुकता है।
7 Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
वह कंगाल को मिट्टी पर से, और दरिद्र को घूरे पर से उठाकर ऊँचा करता है,
8 ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
कि उसको प्रधानों के संग, अर्थात् अपनी प्रजा के प्रधानों के संग बैठाए।
9 Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!
वह बाँझ को घर में बाल-बच्चों की आनन्द करनेवाली माता बनाता है। यहोवा की स्तुति करो!

< Zaburi 113 >