< Mithali 26 >

1 Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno, ndivyo mpumbavu asivyostahili heshima.
Som snø um sumaren og regn i skurden, so høver ikkje æra for ein dåre.
2 Kama shorowanda hurukaruka na kumeza wadudu wakati wa kuruka, ndivyo ilivyo laana isiyostahili haishuki.
Som sporven flaksar burt og svala flyg, so råkar ikkje grunnlaus forbanning.
3 Mjeledi ni kwa ajili ya farasi, hatamu kwa ajili ya punda na fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu.
Svipa til hesten, taum til asnet, og ris til ryggen på dårar.
4 Usimjibu mpumbavu na kujiunga katika upumbavu wake, au utakuwa kama yeye.
Svar ikkje dåren etter hans dårskap, so du ei skal verta lik han, du og!
5 Mjibu mpumbavu na jiunge katika upumbavu wake, ili asiweze kuwa na busara katika macho yake mwenyewe.
Svara dåren etter hans dårskap, so han ei skal tykkja han sjølv er vis!
6 Anayetuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu huikata miguu yake mwenyewe na kunywa vurugu.
Føterne høgg han av seg, og vald fær han drikka, han som sender bod med ein dåre.
7 Miguu ya kiwete inayoning'ia chini ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Visne heng vanfør manns føter, so og ordtak i munnen på dårar
8 Kujaribisha jiwe kwenye kombeo ni sawa na kumpa heshima mpumbavu.
som å binda ein stein i slyngja, soleis er det å gjeva ein dåre æra.
9 Mwiba unaochoma kwenye mkono wa mlevi ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Som klungergrein i handi på drukken mann, so er ordtak i munnen på dårar.
10 Mpiga mishale anayejeruhi kila mtu ni kama mtu anayemwajiri mpumbavu au kila mtu anayepita karibu yake.
Som ein skyttar som sårar alle, so er den som leiger dåren og kvar som fer framum.
11 Kama mbwa anavyorudia matapishi yake, ndivyo alivyo mpumbavu anayerudia upuuzi wake.
Som hund som snur seg til si eigi spya, so er ein dåre som kjem att til narreskapen sin.
12 Je unamwona mtu mwenye busara katika macho yake mwenyewe? Mpumbavu anamatumaini zaidi kuliko yeye.
Ser du ein mann som tykkjer sjølv at han er vis, då er det større von for dåren enn for honom.
13 Mtu mvivu husema “Kuna simba kwenye barabara! Kuna simba katikati ya njia kuu!”
Letingen segjer: «D’er villdyr på vegen, ei løva i gatorne.»
14 Kama mlango unavyogeuka kwenye bawaba zake, ndivyo alivyo mtu mvivu kwenye kitanda chake.
Døri snur seg på gjengi, og letingen snur seg i sengi.
15 Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.
Stikk den late si hand i fatet, han evast med å ta ho upp til munnen att.
16 Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
Letingen tykkjest visare vera enn sju som gjev vituge svar.
17 Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
Han triv i øyro på framumfarande hund, han som ryk upp i sinne for trætta som ikkje kjem han ved.
18 Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
Som ein galen som skyt med brennende pilar - drepande skot -
19 ndivyo alivyo ambaye humdanganya jirani yake na kusema, “Je sikuwa naongea utani?”
so er ein mann som svik sin næste og segjer: «Eg gjorde det berre på gaman.»
20 Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
Når veden tryt, so sloknar elden, er baktalar burte, stoggar striden.
21 Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.
Som kol vert til gløder og ved til eld, so kveikjer kranglaren kiv.
22 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu; nazo zinashuka chini kwenye sehemu za ndani ya mwili.
Baktalar-ord er som lostemat, dei glid so godt ned i livet.
23 Kioo kinachofunika chombo cha udongo ni kama midomo inayoungua na moyo mbaya.
Som sylv-glasering på skålbrot er brennande lippor når hjarta er vondt.
24 Yule ambaye huwachukia wengine huficha hisia zake kwa midomo na hufunika uongo ndani yake mwenyewe.
Med lipporne skaper ein uven seg til, men inni seg gøymer han svik.
25 Ataongea kwa huruma, lakini usimwamini, maana kuna machukizo saba kwenye moyo wake.
Gjer han seg blidmælt, tru honom ei, for sju slag styggedom bur i hans hjarta.
26 Ingawa chuki zake zimefunikwa kwa udanganyifu, uovu wake utakuwa wazi katika kusanyiko.
Hatet dyl seg i svik, men lyt syna sin vondskap i folkemugen.
27 Anayechimba shimo atatumbukia ndani yake na jiwe litamsaga yule anayelisukuma.
Den som grev ei grav, skal stupa nedi, den som velter ein stein, skal få han yver seg att.
28 Ulimi wa uongo huchukia watu unaowajeruhi na kinywa cha uongo husogeza karibu uharibifu.
Den falske tunga hatar deim som ho hev krasa, og den sleipe munnen fører til fall.

< Mithali 26 >