< Mithali 22 >

1 Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
De más estima es la buena fama que las muchas riquezas; y la buena gracia, que la plata y que el oro.
2 Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
El rico y el pobre se encontraron: a todos ellos hizo Jehová.
3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
El avisado ve el mal, y escóndese: mas los simples pasan, y reciben el daño.
4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
El salario de la humildad y del temor de Jehová, son riquezas, y honra, y vida.
5 Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
Espinas y lazos hay en el camino del perverso: el que guarda su alma se alejará de ellos.
6 Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
Instruye al niño en su carrera: aun cuando fuere viejo no se apartará de ella.
7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
El rico se enseñoreará de los pobres; y el que toma emprestado es siervo del que empresta.
8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
El que sembrare iniquidad, iniquidad segará; y la vara de su ira se acabará.
9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
El ojo misericordioso será bendito; porque dio de su pan al menesteroso.
10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
Echa al burlador, y saldrá la contienda; y cesará el pleito, y la vergüenza.
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
El que ama la limpieza de corazón, y la gracia de sus labios, su compañero será el rey.
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
Los ojos de Jehová miran por la ciencia; y las cosas del prevaricador pervierte.
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
Dice el perezoso: El león está fuera: en mitad de las calles seré muerto.
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
Sima profunda es la boca de las mujeres extrañas: aquel contra el cual Jehová tuviere ira, caerá en ella.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
La insensatez está ligada en el corazón del muchacho: mas la vara de la corrección la hará alejar de él.
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
El que oprime al pobre para aumentarse él, y el que da al rico, ciertamente será pobre.
17 Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
Inclina tu oído, y oye las palabras de los sabios, y pon tu corazón a mi sabiduría:
18 maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
Porque es cosa deleitable, si las guardares en tus entrañas; y que juntamente sean ordenadas en tus labios.
19 Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
Para que tu confianza esté en Jehová, te las he hecho saber hoy a ti también.
20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
¿No te he escrito tres veces en consejos y ciencia;
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
Para hacerte saber la certidumbre de las razones verdaderas; para que respondas razones de verdad a los que enviaren a ti?
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
No robes al pobre, porque es pobre: ni quebrantes en la puerta al afligido:
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
Porque Jehová juzgará la causa de ellos; y robará su alma a los que los robaren.
24 Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
No te entremetas con el iracundo: ni te acompañes con el hombre enojoso.
25 au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
Porque no aprendas sus veredas, y tomes lazo para tu alma.
26 Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
No estés entre los que tocan la mano: entre los que fian por deudas.
27 Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
Si no tuvieres para pagar: ¿por qué quitarán tu cama de debajo de ti?
28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
No traspases el término antiguo que hicieron tus padres.
29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.
¿Has visto hombre solícito en su obra? delante de los reyes estará: no estará delante de los de baja suerte.

< Mithali 22 >