< Mithali 22 >

1 Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
Dobro ime je bolje izbrati kakor velika bogastva in ljubečo naklonjenost raje kakor srebro in zlato.
2 Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
Bogati in revni se srečajo skupaj; Gospod je stvarnik njih vseh.
3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
Razsoden človek sluti zlo in se skrije, toda naivneži gredo dalje in so kaznovani.
4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
S ponižnostjo in strahom Gospodovim so bogastva, čast in življenje.
5 Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
Trnje in zanke so na poti kljubovalnega; kdor varuje svojo dušo, bo daleč od njih.
6 Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
Vzgajaj otroka na poti, po kateri bi moral iti, in ko je star, z nje ne bo zašel.
7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
Bogati vlada nad revnim in dolžnik je služabnik upniku.
8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
Kdor seje krivičnost, bo žel prazne reči in šiba njegove jeze bo prenehala.
9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
Kdor ima radodarno oko, bo blagoslovljen, kajti od svojega kruha daje revnim.
10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
Spôdi posmehljivca in spor bo šel ven, da, spor in graja se bosta končala.
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
Kdor ljubi neoporečnost srca, bo zaradi milosti njegovih ustnic kralj njegov prijatelj.
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
Gospodove oči varujejo spoznanje in on ruši besede prestopnika.
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
Len človek pravi: »Zunaj je lev, umorjen bom na ulicah.«
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
Usta tujih žensk so globoka jama, kdor je preziran od Gospoda, bo padel vanjo.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
Nespametnost je vezana na otrokovo srce, toda svarilna šiba jo bo odgnala daleč od njega.
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
Kdor stiska ubogega, da narastejo njegova bogastva in kdor daje bogatim, bosta zagotovo prišla v potrebo.
17 Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
Nagni svoje uho in prisluhni besedam modrega in svoje srce usmeri k mojemu spoznanju.
18 maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
Kajti to je prijetna stvar, če jih varuješ znotraj sebe, poleg tega bodo pristojale na tvoje ustnice.
19 Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
Da bo tvoje trdno upanje lahko v Gospodu, sem ti to dal spoznati ta dan, celo tebi.
20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
Mar ti nisem napisal odličnih stvari v nasvetih in spoznanju,
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
da ti lahko dam spoznati zagotovost besed resnice, da boš lahko odgovoril besede resnice tistim, ki so poslani k tebi?
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
Ne ropaj revnega, ker je reven, niti ne stiskaj prizadetega v velikih vratih.
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
Kajti Gospod bo zagovarjal njihovo pravdo in oplenil duše tistih, ki jih plenijo.
24 Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
Ne sklepaj prijateljstva z jeznim človekom in z besnim človekom naj ne bi šel,
25 au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
da se ne bi naučil njegovih poti in svoji duši pridobil zanko.
26 Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
Ne bodi nekdo izmed tistih, ki udarijo v roko ali izmed tistih, ki so pôroki za dolgove.
27 Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
Če nimaš ničesar za plačati, zakaj bi izpod tebe vzel tvojo posteljo?
28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
Ne odstranjuj starodavnega mejnika, ki so ga postavili tvoji očetje.
29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.
Vidiš marljivega človeka v svojem poklicu? Stal bo pred kralji, ne bo stal pred navadnimi ljudmi.

< Mithali 22 >