< Mithali 20 >

1 Divai ni dhihaka na kinywaji kikali ni mgomvi; anayepotea kwa kunywa hana busara.
Вино - глумливо, сикера - буйна; и всякий, увлекающийся ими, неразумен.
2 Kumwogopa mfalme ni kama kumwogopa simba kijana aungurumaye, yeyote anayemkasirisha hutoa fidia ya maish yake.
Гроза царя - как бы рев льва: кто раздражает его, тот грешит против самого себя.
3 Ni heshima kwa mtu yeyote kujiepusha na mafarakano, bali kila mpumbavu hurukia kwenye mabishano.
Честь для человека - отстать от ссоры; а всякий глупец задорен.
4 Mtu mvivu halimi majira ya kipupwe; hutafuta mazao wakati wa mavuno lakini hapati kitu.
Ленивец зимою не пашет: поищет летом - и нет ничего.
5 Makusudi ndani ya moyo wa mtu ni kama maji yenye kina, bali mtu mwenye ufahamu huyateka.
Помыслы в сердце человека - глубокие воды, но человек разумный вычерпывает их.
6 Mara nyingi mtu husema yeye ni mwaminifu, lakini ni nani awezaye kumpata yule mwaminifu?
Многие хвалят человека за милосердие, но правдивого человека кто находит?
7 Mtu atendaye haki hutembea katika uaminifu wake na wana wake wanaofuata baada yake wanafuraha.
Праведник ходит в своей непорочности: блаженны дети его после него!
8 Mfalme anayeketi kwenye kiti cha hukumu akifanya kazi za kuhukumu hupembua kwa macho yake mabaya yote yaliyoko mbele yake.
Царь, сидящий на престоле суда, разгоняет очами своими все злое.
9 Nani anayeweza kusema, “Nimeuweka safi moyo wangu; nipo huru na dhambi zangu”?
Кто может сказать: “Я очистил мое сердце, я чист от греха моего?”
10 Mizani tofauti na vipimo visivyosawa - Yehova huvichukia vyote.
Неодинаковые весы, неодинаковая мера, то и другое мерзость пред Господом.
11 Hata kijana hujulikana kwa matendo yake, kwa mwenendo wake kama ni safi na uadilifu.
Можно узнать даже отрока по занятиям его, чисто ли и правильно ли будет поведение его.
12 Masikio yanayosikia na macho yanayoona- Yehova aliyafanya yote.
Ухо слышащее и глаз видящий - и то и другое создал Господь.
13 Usipende usingizi au utakuwa masikini; fumbua macho yako na utakuwa na vyakula tele.
Не люби спать, чтобы тебе не обеднеть; держи открытыми глаза твои, и будешь досыта есть хлеб.
14 “Mbaya! Mbaya!” anasema mnunuzi, lakini akiondoka anajisifu.
“Дурно, дурно”, говорит покупатель, а когда отойдет, хвалится.
15 Ipo dhahabu na mawe ya thamani, lakini midomo yenye maarifa ni kito cha thamani.
Есть золото и много жемчуга, но драгоценная утварь - уста разумные.
16 Chukua vazi kama mmiliki wake ataweka fedha kama dhamana kwa deni la mgeni, na lichukue kama anaweka dhamana kwa uzinifu.
Возьми платье его, так как он поручился за чужого; и за стороннего возьми от него залог.
17 Mkate uliopatikana kwa ulaghai unaladha tamu, lakini baadaye kinywa chake kitajaa kokoto.
Сладок для человека хлеб, приобретенный неправдою; но после рот его наполнится дресвою.
18 Mipango huimarishwa kwa ushauri na kwa mwongozo wa busara utapigana vita.
Предприятия получают твердость чрез совещание, и по совещании веди войну.
19 Mmbea hufunua siri na kwa hiyo hupaswi kushirikiana na watu ambao huongea sana.
Кто ходит переносчиком, тот открывает тайну; и кто широко раскрывает рот, с тем не сообщайся.
20 Kama mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itapulizwa katikati ya giza.
Кто злословит отца своего и свою мать, того светильник погаснет среди глубокой тьмы.
21 Urithi uliopatikana mwanzoni kwa haraka utakuwa na mema kidogo mwishoni.
Наследство, поспешно захваченное вначале, не благословится впоследствии.
22 Usiseme “Mimi nitakulipiza kwa kosa hili” Msubiri Yehova na yeye atakuokoa.
Не говори: “Я отплачу за зло”; предоставь Господу, и Он сохранит тебя.
23 Yehova huchukia mizani isiyo sawa na vipimo vya udanganyifu si vizuri.
Мерзость пред Господом неодинаковые гири, и неверные весы - не добро.
24 Hatua za mtu huongozwa na Yehova; namna gani basi ataifahamu njia yake?
От Господа направляются шаги человека; человеку же как узнать путь свой?
25 Ni mtego kwa mtu kusema kwa pupa, “Kitu hiki ni kitakatifu” na kuanza kufikiri juu yake kwamba kina maana gani baada ya kufanya kiapo.
Сеть для человека - поспешно давать обет, и после обета обдумывать.
26 Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu na huligeuza juu yao gurudumu la kupuria.
Мудрый царь вывеет нечестивых и обратит на них колесо.
27 Roho ya mtu ni taa ya Yehova, hutafiti sehemu zake zote za ndani kabisa.
Светильник Господень - дух человека, испытывающий все глубины сердца.
28 Agano la uaminifu na udhamini humhifadhi mfalme; kiti chake cha enzi hufanywa thabiti kwa upendo.
Милость и истина охраняют царя, и милостью он поддерживает престол свой.
29 Utukufu wa watu vijana ni nguvu zao na fahari ya watu wazee ni mvi zao.
Слава юношей - сила их, а украшение стариков - седина.
30 Mapigo yanayoleta kidonda huusafisha ubaya na vichapo hufanya sehemu za ndani kabisa kuwa safi.
Раны от побоев врачевство против зла, и удары, проникающие во внутренности чрева.

< Mithali 20 >