< Mithali 19 >

1 Bora mtu masikini ambaye huenenda katika uadilifu wake kuliko mwenye ukaidi katika maneno yake na ni mpumbavu.
Bolji je siromah koji živi u nedužnosti nego čovjek opakih usana i k tomu bezuman.
2 Tena, si vizuri kuwa na hamu bila maarifa na mwenye kukimbia haraka sana hukosea njia.
Revnost bez razboritosti nije dobra, i tko brzo hoda, spotiče se.
3 Upuuzi wa mtu unaharibu maisha yake na moyo wake hughadhabika dhidi ya Yehova.
Ludost čovjeku kvari život, a srce mu se ljuti na Jahvu!
4 Utajiri huongeza marafiki wengi, bali mtu masikini hutengwa na rafiki zake.
Bogatstvo pribavlja mnoge prijatelje, a siromaha i njegov prijatelj ostavlja.
5 Shahidi wa uongo hatakosa adhabu na mwenye kupumua uongo hataokoka.
Lažljiv svjekok ne ostaje bez kazne, i tko širi laži, neće uteći.
6 Wengi wataomba fadhila kutoka kwa mtu mkarimu na kila mtu ni rafiki wa yule anayetoa zawadi.
Mnogi laskaju licu odličnikovu i svatko je prijatelj čovjeku darežljivu.
7 Mtu masikini huchukiwa na ndugu zake wote; je marafiki wengi kiasi gani hujitenga kutoka kwake! Anawaita, lakini wameondoka.
Na siromaha mrze sva braća njegova, još više se udaljuju od njega prijatelji njegovi: on hlepi za dobrim riječima, ali ih ne nalazi!
8 Anayepata hekima huyapenda maisha yake mwenyewe; yeye atunzaye ufahamu atapata kilicho chema.
Tko stječe razboritost, ljubi sebe, a tko čuva razum, nalazi sreću.
9 Shahidi wa uongo hatakosa kuadhibiwa, bali mwenye kupumua uongo ataangamia.
Lažljiv svjedok ne ostaje bez kazne, i tko širi laži, propada.
10 Haifai kwa mpumbavu kuishi kwa anasa- wala kwa mtumwa kutawala juu ya wafalme.
Ne dolikuje bezumnomu živjeti raskošno, a još manje sluzi vlast nad knezovima.
11 Busara humfanya mtu achelewe kukasirika na utukufu wake ni kusamehe kosa.
Um čovjeka usteže od srdžbe, a čast mu je oprostiti krivicu.
12 Ghadhabu ya mfalme ni kama muungurumo wa simba kijana, bali fadhila yake ni kama umande kwenye majani.
Kraljev je gnjev kao rika lavlja, a njegova milost kao rosa bilju.
13 Mwana mpumbavu ni uharibifu kwa baba yake na mke mgomvi ni maji yanayochuruzika daima.
Nesreća je ocu svojemu bezuman sin, i neprestano prokišnjavanje svađe su ženine.
14 Nyumba na utajiri ni urithi kutoka kwa wazazi, bali mke mwenye busara hutoka kwa Yehova.
Kuća se i bogatstvo baštine od otaca, a od Jahve je žena razumna.
15 Uvivu unamtupa mtu kwenye usingizi mzito, bali asiyetamani kufanya kazi atakwenda njaa.
Lijenost navlači čovjeku dubok san i nemarna duša gladuje.
16 Yeye anayetii amri huyaongoza maisha yake, bali mtu asiyefikiri juu ya njia zake atakufa.
Tko se drži zapovijedi, čuva život svoj, a tko ne pazi putove svoje, umire.
17 Mwenye ukarimu kwa masikini humkopesha Yehova na atalipwa kwa kile alichofanya.
Jahvi pozaima tko je siromahu milostiv, i on će mu platiti dobročinstvo.
18 Mrudi mwanao wakati kuna matumaini na usiwe na shauku ya kumweka katika mauti.
Kažnjavaj sina svoga dok ima nade, ali ne idi za tim da ga ubiješ.
19 Mtu mwenye hasira kali lazima alipe adhabu; kama ukimwokoa, utafanya hivyo mara mbili.
Tko je jarostan, plaća globu, i kad ga štediš, samo uvećavaš njegov gnjev.
20 Sikiliza ushauri na ukubali maelekezo, ili uweze kuwa na hekima mwishoni mwa maisha yako.
Slušaj savjet i primaj pouku, kako bi naposljetku postao mudar.
21 Moyoni mwa mtu kuna mipango mingi, bali kusudi la Yehova ndilo litakalo simama.
Mnogo je namisli u srcu čovječjem, ali što Jahve naumi, to i bude.
22 Shauku ya mtu ni uaminifu na mtu masikini ni bora kuliko muongo.
Dražest je čovjekova u dobroti njegovoj, i bolji je siromah od lažljivca.
23 Kumheshimu Yehova huwaelekeza watu kwenye uzima; mwenye nayo atashibishwa na hatadhurika kwa madhara.
Strah Gospodnji daje život, i tko se njime ispuni, zlo ga ne pohodi.
24 Mtu goigoi huuzika mkono wake ndani ya dishi; hataurudisha juu ya kinywa chake.
Lijenčina umače ruku u zdjelu, ali je ustima svojim ne prinosi.
25 Kama utampiga mwenye mzaha, wajinga watakuwa na hekima; mwelekeze mwenye ufahamu, naye atapata maarifa.
Udari podsmjehivača, i lud se opameti; ukori razumnog, i shvatit će znanje.
26 Anayempora baba yake na kumfukuza mama yake ni mwana anayeleta aibu na shutuma.
Sin je sramotan i pokvaren tko zlostavlja oca i odgoni majku.
27 Mwanangu, kama utaacha kusikiliza maelekezo, utapotea kutoka kwenye maneno ya maarifa.
Prestani, sine moj, slušati naputke koji odvode od riječi spoznaje!
28 Shahidi mpotofu huidhihaki haki na kinywa cha waovu humeza uovu.
Nevaljao se svjedok podruguje pravdi i usta opakih gutaju nepravdu.
29 Hukumu ipo tayari kwa wenye dhihaka na mjeledi kwa migongo ya wapumbavu.
Pripravljene su kazne podsmjevačima i udarci za leđa bezumnika.

< Mithali 19 >