< Obadia 1 >

1 Maono ya Obadia. Bwana MUNGU asema hivi juu ya Edomu Tumesikia habari kutoka kwa Bwana, na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, akisema, Inukeni! Tuinuke dhidi yake kwa vita!”
Utvara Avdijeva. Ovako veli Gospod Gospod za Edomsku: èusmo glas od Gospoda, i glasnik bi poslan k narodima: ustajte, da ustanemo na nju u boj.
2 Tazama, nitawafanya wadogo kati ya mataifa, mutadharauliwa sana.
Gle, uèiniæu te malijem meðu narodima, biæeš vrlo prezren.
3 Kiburi cha moyo wako kimekudanganya wewe, wewe ambaye unishi katika makaburi ya miamba, katika nyumba yako ya juu; asemaye moyoni mwako, 'Ni nani atakayenishusha mimi chini?'
Ponos srca tvojega prevari te, tebe, koji živiš u rasjelinama kamenijem, u visokom stanu svom, i govoriš u srcu svom: ko æe me oboriti na zemlju?
4 Ingawa unasimama juu kama tai na ingawa kiota chako huwekwa kati ya nyota, nitakushusha chini kutoka huko, asema Yahweh.
Da podigneš visoko kao orao i meðu zvijezde da metneš gnijezdo svoje, odande æu te oboriti, govori Gospod.
5 Kama wezi walikuja kwako, ikiwa wanyang'anyi wangekujilia usiku (jinsi ungekatilwa mbali!), Wasingeweza kuiba vya kuwatosha? Ikiwa wakusanya zabibu wangekujilia, wasingeacha mavuno?
Kako si oplijenjen? da su došli k tebi kradljivci ili lupeži noæu, ne bi li pokrali koliko im je dosta? da su došli k tebi beraèi vinogradski, ne bi li ostavili pabiraka?
6 Jinsi Esau amekwisha kupigwa, na hazina zake zilizofichwa zimewekwa nje!
Kako se pretraži Isav, kako se naðoše potaje njegove!
7 Watu wote wa ushirikiano wako watakupeleka katika njiani ya hadi mpakani. Watu waliokuwa na amani pamoja nawe wamekudanganya, na kukushinda. Wale wanaokula mkate wako wameweka mtego chini yako. Hakuna uelewa ndani yake.
Do granice te odvedoše svi koji bijahu s tobom u vjeri, prevariše te i nadvladaše te koji bijahu u miru s tobom; koji jedu hljeb tvoj podmetnuše ti zamku, da se ne opazi.
8 Je! Sikuweza siku hiyo, asema Bwana, kuwaangamiza watu wenye hekima kutoka Edomu na kuelewa kutoka mlima wa Esau?
U onaj dan, govori Gospod, neæu li pogubiti mudre u zemlji Edomskoj i razumne u gori Isavovoj?
9 Mashujaa wako watafadhaika, Temani, ili kila mtu akatiliwe mbali kutoka mlima wa Esau kwa kuuawa.
I tvoji æe se junaci uplašiti, Temane, da se istrijebe pokoljem svi iz gore Isavove.
10 Kwa sababu ya ukatili uliofanywa kwa ndugu yako Yakobo, utafunikwa na aibu, nawe utakatiliwa mbali milele.
Za nasilje uèinjeno bratu tvojemu Jakovu pokriæe te stid i istrijebiæeš se zasvagda.
11 Siku ile ulikuwa umesimama, siku wageni walichukua mali zake, na waliokuwa wageni katika malango yake, na kupiga kura kwa Yerusalemu, wewe ulikuwa kama mmoja wao.
Onaj dan, kad ti stajaše nasuprot; onaj dan, kad inostranci odvoðahu u ropstvo vojsku njegovu, i tuðinci ulažahu na vrata njegova i bacahu ždrijeb za Jerusalim, bješe i ti kao koji od njih.
12 Lakini usifurahi siku ya ndugu yako, siku ya msiba wake, wala usifurahi juu ya watu wa Yuda siku ya uharibifu wao; msijisifu siku ya dhiki yao.
Ali ti ne trebaše gledati dana brata svojega, dana, kad se odvoðaše u tuðu zemlju, niti se radovati sinovima Judinijem u dan kad propadahu, niti razvaljivati usta u dan nevolje njihove.
13 Usiingie mlango wa watu wangu siku ya msiba wao; usifurahi juu ya taabu yao siku ya msiba wao, wala msipotee utajiri wao siku ya uharibifu wao.
Ne trebaše ti uæi na vrata naroda mojega u dan pogibli njihove, ne trebaše da i ti gledaš zlo njihovo u dan pogibli njihove ni da se mašaš dobra njihova u dan pogibli njihove.
14 Usisimama kwenye njia panda, ili kuwakatilia mbali wakimbizi wake na usiwatoe waathirika wake katika siku ya dhiki.
Niti trebaše da staneš na rasputicu da ubijaš bježan njihovu, niti da izdaješ onijeh koji ostaše u dan nevolje.
15 Kwa maana siku ya Bwana iko karibu na mataifa yote. Kama ulivyofanya, itafanyika kwako; matendo yako yatarudi juu ya kichwa chako mwenyewe.
Jer je dan Gospodnji blizu svijem narodima; kako si èinio, tako æe ti biti, plata æe ti se vratiti na glavu tvoju.
16 Kwa vile mlivyokunywa katika mlima wangu mtakatifu, ndivyo mataifa yote yatakavyo kunywa daima. Watakunywa na kumeza na itakuwa kana kwamba hawakuwepo kabisa.
Jer kao što ste vi pili na svetoj gori mojoj, tako æe piti svi narodi vazda, piæe, i ždrijeæe, i biæe kao da ih nije bilo.
17 Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwa na wale waliookoka na watakuwa watakatifu; na nyumba ya Yakobo watamiliki miliki zao.
A na gori æe Sionu biti spasenje, i biæe sveta, i dom æe Jakovljev naslijediti našljedstvo svoje.
18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na nyumba ya Yusufu ni mwali wa moto, na nyumba ya Esau itakuwa mabua makavu, nao watawaunguza, na kuwateketeza. Hakutakuwa na waathirika kwa nyumba ya Esau, kwa kuwa Bwana amesema.
I dom æe Jakovljev biti oganj i dom Josifov plamen, a dom Isavov strnjika; i razgorjeæe se na njih, i spaliæe ih; i neæe biti ostatka domu Isavovu, jer Gospod reèe.
19 Wote kutoka Negebu watamiliki mlima wa Esau na wale wa Shepela watamiliki nchi ya Wafilisti. Wao wataimiliki nchi ya Efraimu na nchi ya Samaria; na Benyamini atamiliki Gileadi.
I naslijediæe jug, goru Isavovu, i ravnicu, Filisteje; i naslijediæe polje Jefremovo i polje Samarijsko i Venijaminovo i Galad;
20 Wahamiaji wa jeshi hili la watu wa Israeli watamiliki ardhi ya Kanaani mpaka Sarepta. Wahamiaji wa Yerusalemu, waliopo Sefaradi, wataimiliki miji ya Negebu.
I zarobljena vojska sinova Izrailjevijeh naslijediæe što je bilo Hananejsko do Sarepte; a roblje Jerusalimsko, što je u Sefaradu, naslijediæe južne gradove.
21 Waokoaji watakwenda hadi juu ya Mlima Sayuni kutawala nchi ya vilima ya Esau, na ufalme utakuwa wa Bwana.
I izbavitelji æe izaæi na goru Sion da sude gori Isavovoj, i carstvo æe biti Gospodnje.

< Obadia 1 >