< Hesabu 7 >

1 Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
И бысть в день в оньже сконча Моисей, якоже поставити скинию, и помаза ю, и освяти ю и вся сосуды ея, и олтарь и вся сосуды его, и помаза я.
2 Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
И приведоша князи Израилтестии дванадесять, князи домов отечеств своих, сии князи коегождо племене, сии предстоящии над согляданием:
3 Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
и приведоша дары своя пред Господа шесть колесниц покрытых и дванадесять волов: колесницу едину от двоих князей, и телца от коегождо и приведоша пред скинию.
4 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
И рече Господь к Моисею, глаголя:
5 “Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
возми от них, и да будут на дела служебная скинии свидения: и даси я левитом, коемуждо по его служению.
6 Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
И взем Моисей колесницы и волы, даде я левитом:
7 Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
две колесницы и четыри волы даде сыном Гирсоним по службам ихже,
8 Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
и четыри колесницы и осмь волов даде сыном Мерариным по службам их, чрез Ифамара, сына Аарона жерца:
9 Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
и сыном Каафовым не даде, яко службы святаго имеют: на раменах да воздвизают я.
10 Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
И принесоша князи на обновление олтаря в день, в оньже помаза его, и принесоша князи дары своя пред олтарь.
11 BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
И рече Господь к Моисею: князь един на день, князь на день да принесут дары своя на обновление олтаря.
12 Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
И бяше приносяй дар свой в первый день Наассон сын Аминадавль, князь племене Иудина:
13 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
и принесе дар свой, блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
14 Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
15 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
16 Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
и козла от коз единаго греха ради:
17 Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Наассона сына Аминадавля.
18 Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
Во вторый день принесе Нафанаил сын Согаров, князь племене Иссахаря:
19 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
и принесе дар свой, блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
20 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
21 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
22 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
23 Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Нафанаила сына Согарова.
24 Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
В третий день князь сынов Завулоних, Елиав сын Хелонов:
25 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
дар его блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
26 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
27 Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
28 Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
29 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Елиава сына Хелонова.
30 Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
В четвертый день князь сынов Рувимлих, Елисур сын Седиуров:
31 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
дар его блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
32 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
33 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
34 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
35 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Елисура сына Седиурова.
36 Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
В пятый день князь сынов Симеоних, Саламиил сын Сурисадаиль:
37 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
дар его блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
38 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
39 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
40 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
41 Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Саламиила сына Сурисадаиля.
42 Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
В шестый день князь сынов Гадовых, Елисаф сын Рагуилев:
43 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
дар его блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
44 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
45 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
46 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
47 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Елисафа сына Рагуилева.
48 Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
В седмый день князь сынов Ефремлих, Елисама сын Емиудов:
49 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
дар его блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
50 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
51 Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
52 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
53 Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Елисамы сына Емиудова.
54 Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
В осмый день князь сынов Манассииных, Гамалиил сын Фадассуров:
55 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
дар его блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
56 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
57 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
58 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
59 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Гамалиила сына Фадассурова.
60 Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
В девятый день князь сынов Вениаминих, Авидан сын Гадеонин:
61 Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
дар его блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
62 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
63 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
64 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
65 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Авидана, сына Гадеонина.
66 Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
В десятый день князь сынов Дановых, Ахиезер сын Амисадаин:
67 Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
дар его блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
68 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
69 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
70 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
71 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Ахиезера сына Амисадаина.
72 Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
В первыйнадесять день князь сынов Асировых, Фагаиил сын Ехрань:
73 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
дар его блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
74 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
75 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
76 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
77 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Фагаиила сына Ехраня.
78 Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
Во вторыйнадесять день князь сынов Неффалимлих, Ахирей сын Енань:
79 Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
дар его блюдо сребряно едино, вес его сто и тридесять сикль: чашу едину сребряну седмьдесят сикль, по сиклю святому: обоя полны муки пшеничны спряжены с елеем на жертву:
80 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
фимиамник един десяти златник, полн фимиама:
81 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
телца единаго от волов, овна единаго, агнца единаго единолетна во всесожжение:
82 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
и козла от коз единаго греха ради:
83 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
и на жертву спасения юницы две, овнов пять, козлов пять, агниц единолетных пять: сей дар Ахиреа сына Енаня.
84 Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
Сие обновление олтаря, в оньже день помаза его, от князей сынов Израилевых, блюд сребряных дванадесять, чаш сребряных дванадесять, фимиамников златых дванадесять:
85 Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
по святу и тридесяти сикль в коемждо блюде, и по седмидесяти сикль чаша едина: всего сребра в сосудех две тысящы четыреста сиклев, по сиклю святому:
86 Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
фимиамников златых дванадесять полных фимиама, по десяти златник в коемждо фимиамнике, по сиклю святому: всего злата в фимиамницех сто и двадесять златник.
87 Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
Всех говяд во всесожжение, телцов дванадесять, овнов дванадесять, агнцев единолетных дванадесять, и жертвы их и возлияния их: и козлов от коз дванадесять, греха ради:
88 Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
всех говяд на жертву спасения, юниц двадесять четыре, овнов шестьдесят, козлов единолетных шестьдесят, агниц единолетных непорочных шестьдесят. Сие обновление олтаря, по исполненнии рук его и по помазании его.
89 Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.
Егда вхождаше Моисей в скинию свидения глаголати ему, и услыша глас Господа, глаголюща к нему свыше очистилища, еже есть над ковчегом свидения между двема херувимы: и глаголаше к нему.

< Hesabu 7 >