< Hesabu 34 >

1 BWANA akanena na Musa akasema,
Još reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
2 “Waamuru watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani, nchi ambayo itakuwa mali yenu, nchi ya Kanaani na mipaka yake, mpaka wenu wa kusini utaendelea kutoka nyika ya Sini hadi mpaka wa Edomu.
Zapovjedi sinovima Izrailjevijem i reci im: kad doðete u zemlju Hanansku, ta æe vam zemlja pripasti u našljedstvo, zemlja Hananska s meðama svojim.
3 Mwisho wa mpaka wa kusini utakuwa mwisho wa bahari ya chumvi kuelekea mashariki.
Južni kraj da vam je od pustinje Sina, uz meðu Edomsku, i da vam je južna meða od brijega slanoga mora na istok;
4 Mpaka wenu utageukia kusini kutoka mlima kuelekea Akrabimu na kupitia nyika ya Sini. na kutokea huko utaelelkea kusini mwa Kadeshi Barinea na kuelekea Hazari Adari mpaka Azimoni.
I ta meða neka se savije od juga k Akravimu i ide do Sina, i neka se pruži od juga preko Kadis-Varne, a otuda neka izide na selo Adar i ide do Aselmona;
5 Kutoka huko, mpaka utageuka kutoka Azimoni kuelekea kijito cha Misri na kukifuata mpaka baharini.
Potom neka se savije ta meða od Aselmona do potoka Misirskoga i ide do mora.
6 Mpaka wa Magharibi utakuwa pwani ya bahari kuu. Huu ndio utakuwa mpaka wenuwa Magharibi.
A zapadna meða da vam bude veliko more; to da vam je zapadna meða.
7 Mpaka wenu wa kaskazini utaanzia kwenye bahari kuu hadi Mlima Hori,
A sjeverna meða ovo da vam bude: od velikoga mora povucite sebi meðu do gore Ora;
8 kisha kutoka Mlima Hori hadi Lebo Hamathi, kisha Zedadi.
A od gore Ora povucite sebi meðu kako se ide u Emat, i ta meða neka ide na Sedad;
9 Mpaka utaendelea hadi Zifroni na kuishia Hazari Enani. Huu ndio utakuwa mpaka wenu wa kaskazini.
I neka ide ta meða do Zefrona, i kraj neka joj bude kod sela Enana; to da vam bude sjeverna meða.
10 Kisha mtaweka alama za mpaka wenu wa mashariki ambao utaanzia Hazari Enani kuelekea kusini Shefamu.
A s istoka povucite sebi meðu od sela Enana do Sefama;
11 Kisha mpaka wa kusini utaendelea kutoka Shefamu hadi Ribla, upande wa masharikia mwa Aini. Mpaka utaedelea upande huo wa mashariki hadi upande wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.
A od Sefama neka ide ta meða k Rivli, s istoka Ainu, i neka ide dalje ta meða dokle doðe do mora Hinerota k istoku;
12 Kisha mpaka utaendelea kuelekea kusini hadi mto Yorodani na hadi bahari ya chumvi. Hii ndiyo itakuwa nchi yenu, kwa kuifuata mipaka yake yote inayozunguka.'”
I neka se spusti ta meða ka Jordanu, i neka izaðe na slano more. Ta æe zemlja biti vaša s meðama svojim unaokolo.
13 Kisha Musa akawaamuru watu wa Israeli akasema, “Hii ndiyo nchi ambayo mtaipokes kwa kura, ambayo BWANA ameamuru kuwapa wale makabila tisa na nusu.
I kaza Mojsije sinovima Izrailjevijem govoreæi: to je zemlja koju æete dobiti u našljedstvo ždrijebom, za koju je zapovjedio Gospod da je dobije devet plemena i po.
14 Kabila ya uzao wa Reubeni, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na uzao wa kabila la Gadi, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na nusu ya Manase wamepata ardhi yao.
Jer pleme sinova Ruvimovijeh po porodicama otaca svojih, i pleme sinova Gadovijeh po porodicama otaca svojih, i polovina plemena Manasijina primiše svoje našljedstvo.
15 Wale makabila mawili na nusu wameshapata mgawo wao ng'ambo ya mto Yorodani upande wa mashariki, kuelekea kule linakotokea jua.”
Ova dva plemena i po primiše našljedstvo svoje s ovu stranu Jordana prema Jerihonu s istoène strane.
16 BWANA akanena na Musa akasema,
Opet reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
17 “Haya ndiyo majinaya watu watakaoigawa ardhi kwa ajili ya urithi wao: Eliazari kuhani na Joshua mwana wa Nuni.
Ovo su imena ljudi koji æe vam razdijeliti u našljedstvo zemlju: Eleazar sveštenik i Isus sin Navin.
18 Mtachagua kiongozi mmoja toka kila kabila ili kuigawa ardhi kwa koo zao.
I po jednoga kneza iz svakoga plemena uzmite da dijeli zemlju.
19 Haya ndiyo majina ya wanaume: Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
A ovo su imena tijeh ljudi: od plemena Judina Halev sin Jefonijin,
20 Kutoka kwenye kabila la uzao wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.
Od plemena sinova Simeunovijeh Samuilo sin Emijudov,
21 Kutoka kabila la Benjamini, Elidadi mwana wa Kisloni.
Od plemena Venijaminova Eldad sin Haslonov,
22 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Dani, Buki mwana wa Jogili.
Od plemena sinova Danovijeh knez Vokor sin Jeklinov,
23 Kiongozi kutoka uzao wa Yusufu, kwenye kabila la Manase, Hannieli mwana wa Efodi.
Od sinova Josifovijeh: od plemena sinova Manasijinih knez Anilo sin Sufidov,
24 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Efraimu, Kemueli mwana wa Shiftani.
Od plemena sinova Jefremovijeh, knez Kamuilo sin Saftanov,
25 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Zabuloni, Elizafani mwana wa Parinaki.
Od plemena sinova Zavulonovijeh knez Elisafan sin Harnahov,
26 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Isakari, Palitieli mwana wa Azzani.
Od plemena sinova Isaharovijeh knez Faltilo sin Ozainov,
27 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Asheri, Ahihudi mwana wa Shelomi.
Od plemena sinova Asirovijeh knez Ahior sin Selemijin,
28 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Naftali, Pedaheli mwana wa Amihudi.”
I od plemena Neftalimova knez Fadailo sin Amijudov.
29 BWANA aliwaamuru wanaume hawa kuigawa nchi ya Kanaani na kuwapa kila kabla sehemu yao.
Ovima zapovjedi Gospod da razdijele našljedstvo sinovima Izrailjevijem u zemlji Hananskoj.

< Hesabu 34 >