< Hesabu 32 >

1 Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo.
E os filhos de Ruben e os filhos de Gad tinham muito gado em grande multidão; e viram a terra de Jaezer, e a terra de Gilead, e eis que o lugar era lugar de gado.
2 Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema,
Vieram pois os filhos de Gad e os filhos de Ruben, e falaram a Moisés e a Eleazar, o sacerdote, e aos maiorais da congregação, dizendo:
3 “Hii ndiyo orodha ya maeneo ambayo tumeyatembelea: Diboni, Jazeri, Nimraha, Heshibonni, Ellealehi, Sebamu, Nebo, na Beoni.
Ataroth, e Dibon, e Jaezer, e Nimra, e Hesbon, e Eleal, e Schebam, e Nebo, e Behon;
4 Haya ni maeneo ambayo BWANA aliyachukua mbele ya watu wa Israeli, na maeneo mazuri kwa ajili ya mifugo. Sisi watumishi wako tuna mifugo mingi sana.
A terra que o Senhor feriu diante da congregação de Israel, é terra de gado: e os teus servos tem gado.
5 Wakasema kuwa, “Kama tutapata kibali mbele ya macho yako, tunaomba ardhi hii tupewe, sisi watumishi wako, kuwa urithi. Usituvushe ng'ambo ya Yorodani.”
Disseram mais: Se achamos graça aos teus olhos, dê-se esta terra aos teus servos em possessão; e não nos faças passar o Jordão.
6 Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
Porém Moisés disse aos filhos de Gad e aos filhos de Ruben: Irão vossos irmãos à peleja, e ficareis vós aqui?
7 Kwa nini kuwafish moyo watu wa Israeli wasivuke kwenda kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
Porque pois descorajais o coração dos filhos de Israel, para que não passem à terra que o Senhor lhes tem dado?
8 Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi.
Assim fizeram vossos pais, quando os mandei de Cades-barnea, a ver esta terra.
9 Walienda mpaka kwenye bonde la Eskoli. Waliiona ile ardhi kisha wakawafisha moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa.
Chegando eles até ao vale de Escol, e vendo esta terra, descorajaram o coração dos filhos de Israel, para que não viessem à terra que o Senhor lhes tinha dado
10 Siku hiyo hasira ya BWANA iliwaka. Akaapa akisema,
Então a ira do Senhor se acendeu naquele mesmo dia, e jurou, dizendo:
11 'Kwa hakika hakuna mtu aliyetoka Misri, kuanzia wa umri wa miaka ishirini na zaidi ambao wataiona nchi ambao niliwaapia Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwa sababu hawakunifuata mimi kwa ukamilifu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni.
Que os varões, que subiram do Egito, de vinte anos e para cima não verão a terra que jurei a Abraão, a Isaac, e a Jacob porquanto não perseveraram em seguir-me;
12 Ni Kalebu na Joshua tu ndio walionifuata kwa ukamilifu.'
Exceto Caleb, filho de Jefoné o kenezeu, e Josué filho de Nun, porquanto perseveraram em seguir ao Senhor.
13 Kwa hiyo hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israei. Akawafanya wazunguke zunguke jangwani kwa miaka arobaini mpaka kile kizazi kilichofanya maovu mbele za macho yake kilipoteketea.
Assim se acendeu a ira do Senhor contra Israel, e fê-los andar errantes até que se consumiu toda aquela geração, que fizera mal aos olhos do Senhor.
14 Tazama, mmetokea katika nafasi za baba zenu, kama watu wengine wenye dhambi zaidi, ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli.
E eis que vós, uma multidão de homens pecadores, vos levantastes em lugar de vossos pais, para ainda mais acrescentar o furor da ira do Senhor contra Israel.
15 Kama hamtamfuata, ataiacha Israeli jangwani na mtakuwa mmewateketeza watu hawa wote.
Se vós vos virardes de segui-lo, também ele os deixará de novo no deserto, e destruireis a todo este povo.
16 Kwa hiyo wakaja karibu na Musa wakamwambia, “Turuhusu tujenga hapa uzio kwa ajili ya ng'ombe zetu na miji hapa kwa ajili ya familia zetu.
Então chegaram-se a ele, e disseram: Edificaremos currais aqui para o nosso gado, e cidades para as nossas crianças;
17 Hata hivyo, sisi wenyewe tutajipanga kijeshi kwenda na jeshi la Israeli mpaka tumewaongoza kupata maeneo yao. Lakini familia zetu zitakuwa kwenye miji ya maboma kwa ssbabu ya watu wengine ambao bado wanaishi katika nchi hii.
Porém nós nos armaremos, apressando-nos diante dos de Israel, até que os levemos ao seu lugar: e ficarão as nossas crianças nas cidades fortes por causa dos moradores da terra.
18 Hatutarudi kwenye familia zetu mpaka kila mmoja watu wa Israeli apate urithi wake.
Não voltaremos para nossas casas, até que os filhos de Israel estejam de posse cada um da sua herança.
19 Sisi hatutachukua urithi wa ardhi pamoja nao kule ng'ambo ya Yorodani, kwa sababu urithi wetu uko hapa upande wa mashariki mwa Yorodani.”
Porque não herdaremos com eles de além do Jordão, nem mais adiante; porquanto nós já teremos a nossa herança de aquém do Jordão ao oriente
20 Kwa hiyo Musa akawajibu, “Kama mtafanya mnachokisema, kama mtajipanga wenyewe mbele za BWANA kwenda vitani,
Então Moisés lhes disse: Se isto fizerdes assim, se vos armardes à guerra perante o Senhor;
21 basi kila mmoja wa wanajeshi wenu lazima avuke Yorodani mbele za BWANA, mpaka atakapowafukuza maadui zake kutoka mbele zake
E cada um de vós, armado, passar o Jordão perante o Senhor, até que haja lançado fora os seus inimigos de diante dele;
22 na nchi itawaliwe na Israeli mbele zake. Kisha mtaweza kurudi. Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli. Hii nchi itakuwa miliki yenu mbele za BWANA.
E a terra esteja subjugada perante o Senhor; então voltareis depois, e ficareis desculpados perante o Senhor e perante Israel: e esta terra vos será por possessão perante o Senhor:
23 Bali kama hamtafnya hivyo, tazama, mtakuwa mmefanya dhambi mbele ya BWANA. Mwe na hakika kuwa dhambi yenu itaonekana
E se não fizerdes assim, eis que pecastes contra o Senhor: porém sentireis o vosso pecado, quando vos achar.
24 wazi. Jengeni miji kwa ajili ya familia zenu na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; kisha fanyeni kile mlichokisema.”
Edificai vós cidades para as vossas crianças, e currais para as vossas ovelhas; e fazei o que saiu da vossa boca.
25 Wale wana wa Gadi na Reubeni wakamwambia Musa, wakisema, “Watumishi wako wtafanya kama vile wewe, bwana wetu, unavyotuamuru.
Então falaram os filhos de Gad, e os filhos de Ruben a Moisés, dizendo: Como ordena meu senhor, assim farão teus servos.
26 Watoto wetu, wake zetu, makundi yetu, na wanyama wetu wote watakaa huko kwenye miji ya Gileadi.
As nossas crianças, as nossas mulheres, a nossa fazenda, e todos os nossos animais estarão ai nas cidades de Gilead.
27 Hata hivyo, sisi watumishi wako, tutavuka kwenda ng'ambo mbele za BWANA kupigana, kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita, kama vile wewe, bwana wetu, unavyosema.”
Mas os teus servos passarão, cada um armado para pelejar para a guerra, perante o Senhor, como tem dito meu senhor.
28 Kwa hiyo Musa akawapa maelekezo yayowahusu kwa Eliazari kuhani, kwa Joshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa koo kufuata jamaa zao katika makabila ya wana wa Israeli.
Então Moisés deu ordem acerca deles a Eleazar, o sacerdote, e a Josué filho de Nun, e aos Cabeças das casas dos pais das tribos dos filhos de Israel;
29 Musa akawaambia, “Kama uzao wa Reubeni na Gadi watavuka ng'ambo ya Yorodani pamoja nanyi, kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani mbele za BWANA, na kama nchi mtaitawala mbele zenu, ndipo mtakapowapa eneo la Gileadi kuwa miliki yao.
E disse-lhes Moisés: Se os filhos de Gad, e os filhos de Ruben passarem convosco o Jordão, armado cada um para a guerra perante o Senhor; e a terra estiver subjugada diante de vós, em possessão lhes dareis a terra de Gilead;
30 Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa na silaha zao, basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani.”
Porém se não passarem, armados, convosco, então se porão por possuidores no meio de vós na terra de Canaan.
31 Kwas hiyo wana wa uzao wa Gadi na wa Reubeni wakamjibu wakisema, Kama vile BWANA alivyosema nasi, sisi watumwa wako, hiki ndicho tutakachokifanya.
E responderam os filhos de Gad e os filhos de Ruben, dizendo: O que o Senhor falou a teus servos, isso faremos.
32 Tutavuka tukiwa na silaha zetu mbele za BWANA kuingia katika nchi ya Kanaani, lakini urithi wetu utabaki utabaki upande huu wa Yorodani.”
Nós passaremos, armados, perante o Senhor à terra de Canaan, e teremos a possessão de nossa herança de aquém do Jordão.
33 Kwa hiyo uzao wa Gadi na Reubeni, na pia nusu ya kabila la Manase mwana wa Yusufu, Musa akawapa ufalme wa Sihoni, mfalme wa Waamori, na wa Ogi, mafalme wa Bashani, Aliwapa hiyo nchi, na kuwagawia miji yake yote pamoja na mipaka yake, miji yote ya nchi inayowazunguka.
Assim deu-lhes Moisés, aos filhos de Gad, e aos filhos de Ruben, e à meia tribo de Manasseh, filho de José, o reino de Sehon, rei dos amorreus, e o reino de Og, rei de Basan: a terra com as suas cidades nos seus termos, as cidades do seu contorno.
34 Wale wa uzao wa Gadi wakaijenga Diboni,
E os filhos de Gad edificaram a Dibon, e Ataroth, e Aroer;
35 Atarothi, Aroeri, Atrothi, Jazeri, Jogbehaha, Bethi Nimraha,
E Atroth-sophan, e Jaezer, e Jogbeha;
36 na Bethi Harani kuwa miji iliyo na maboma na mazizi ya kondoo wao.
E Beth-nimra, e Bethharan, cidades fortes; e currais de ovelhas.
37 Wale wa uzao wa Reubeni wakaijenga Heshiboni. Elealehi, Kiriathaimu,
E os filhos de Ruben edificaram a Hesbon, e Eleal, as e Quiriathaim;
38 Nebo, Baali Meoni - baadaye waliyabadili majina yao, na Sibimaha.
E Nebo, e Baal-meon, mudando-lhes o nome, e Sibma: e os nomes das cidades que edificaram chamaram por outros nomes.
39 Wale wa uzao wa Machiri mwana wa Manase walienda Gileadi na kuutwaa kutoka kwa Waamori waliokuwa wakiishi humo.
E os filhos de Machir, filho de Manasseh, foram-se para Gilead, e a tomaram: e daquela possessão lançaram os amorreus, que estavam nela.
40 Kisha Musa akaitoa Gileadi kwa Machiri mwana wa Manase, na watu wake wakaishi humo.
Assim Moisés deu Gilead a Machir, filho de Manasseh, o qual habitou nela.
41 Jairi mwana wa Manase alienda kuiteka miji yake na kuiita Havothi Jairi.
E foi-se Jair, filho de Manasseh, e tomou as suas aldeias; e chamou-as Havot-jair.
42 Nobaha alienda kuitieka Kenathi na vijiji vyake, na akauita kwa jina lake Nobaha.
E foi-se Nobah, e tomou a Quenath com as suas aldeias; e chamou-a Nobah, segundo o seu nome.

< Hesabu 32 >