< Mathayo 23 >

1 Baadaye aliongea na umati wa watu na wanafunzi wake. Akasema,
Kuleka ite auligilye ne antu neamanyisigwa ahwe,
2 “Waandishi na Mafarisayo wanakalia kiti cha Musa.
''Iaandeki neamafalisayo ikaie ituntu lang'wa Musa.
3 Kwa hiyo chochote wanacho waamuru kufanya, fanyeni huku mkiwachunguza. Lakini msije mkaiga matendo yao, kwa sababu wao hutamka mambo wasiyoyafanya.
Kehi neakumuila kituma, itumi kunu mezeagoza. Kuita muteke kituma intendo yao, kunsoko neanso elunga imakani neshaituma.
4 Kweli, wao hufunga mizigo mizito ambayo ni vigumu kuibeba, na kisha huwabebesha watu mabegani mwao. Lakini wao wenyewe hawasogezi hata kidole kuibeba.
Itai etunga meligo melito neanso hange mekaku humehenha, hange eahensha iantu mumeenga ao. Kuite neanso shaehugeela ata ninino kukenha.
5 Matendo yao yote, huyafanya ili watazamwe na watu. Kwa sababu wao hupanua masanduku yao na huongeza ukubwa wa mapindo ya mavazi yao.
Inlendo yao yehi, ituma nsoko agozwe neantu. Kunsoko neanso igalipya imasandeko ao nukongeelya ukuulu nua upendi wang'wenda ao.
6 Wao hupendelea kukaa maeneo ya kifahari katika sherehe na katika viti vya heshima ndani ya masinagogi,
Neanso ilowa kikie muianza yakikulya muumalagone mumatuntu akakulya mukate amumasinagogi,
7 na kusalimiwa kwa heshima maeneo ya sokoni, na kuitwa “Walimu” na watu.
nuhulamushigwa kukulyo nkani yakusoko, nukulang'wa, ''Amanyisi'' ne antu.
8 Lakini ninyi hampaswi kuitwa “Walimu,” Kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja, na ninyi wote ni ndugu.
Kuite unye singainonee kitangwa''Miamanyisi'' Kunsoko muukete umumanyisi ung'wi, hange unye meehi mekiluna.
9 Msimuite mtu yeyote hapa duniani kuwa baba yenu, kwa kuwa mnaye Baba mmoja tu, naye yuko mbinguni.
Muleke kuuitanga muntu wehi apa mihe kena Tata wanyu, kunsoko mukete Tata wang'wi alua, nung'wenso ukole hilunde.
10 Wala msije kuitwa 'walimu,' kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja tu, yaani Kristo.
Hange muleke kitangwa ''amanyisi'' kunsoko mukete umumanyisi ung'wi duu, inge Kristo.
11 Bali aliye mkubwa miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.
Inge numukulu mulalanyu ukutala mutumi wanyu.
12 Yeyote ajiinuae atashushwa. Na yeyote anaye jishusha atainuliwa.
Wehi nukihumbula ukusimigwa, hange wehi nukisimya ukuhumbulwa.
13 Lakini ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnawafungia watu ufalme wa mbinguni. Nanyi hamwezi kuuingia, na hamwaruhusu wanaoingia kufanya hivyo.
Kuite ukea wanyu aandeki nea mafalisayo, ateele! mukua lugaile iantu utemi nuakilunde. Nunyenyeshamuhumile kingela, shamuagombilye neakingela hutende ite.
14 (Zingatia: Msitari wa 14 hauonekani katika nakala bora za kale. Baadhi ya nakala huongeza msitari huu baada ya msitari wa 12. Msitari wa 14 “Ole wenu wandishi na Mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa mnawameza wajane”).
15 Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna g1067)
Ukae wanyu aandeki neafalisayo, ateele! Mukuputa itumbe labahali nukumutenda umuntu ung'wi wahuele kuaya nemukumanyisa. hangi nuekatenda anga unyenye, mukumulenda kabiili muntu nue [kumoto] jehanamu anga uu uuyenye nemile. (Geenna g1067)
16 Ole wenu viongozi vipofu, ninyi msemao, Yeyote aapaye kwa hekalu, si kitu. Lakini anayeapa kwa dhahabu ya hekalu, amefungwa na kiapo chake.
Ukae wanyu atongeeli nea poku, unye nemilunga, wehi nuelapa kitekeelo, singa kentu. Kuite nuelapa kilapo la zahabu ni lekeelo, ukulungwa nekelapokakwe.
17 Enyi vipofu wapumbavu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, dhahabu au hekalu ambalo limeweka wakfu dhahabu kwa Mungu?
Unye apoku meapungu, nekeule nekekulu kukelakeuya, zahabune angwi itekeelo neliikilwe wakufu nezahabu kung'wi Tunda?
18 Na, yeyote aapaye kwa madhabahu, si kitu. Bali anayeapa kwa sadaka iliyo juu yake, amefungwa na kiapo chake.
Hange, wehi nukulapa kuzahabu, singa kentu. Inge nukulapa kisongelyo nelekole mung'waakwe, utungilwa nuulapi wakwe.
19 Enyi watu vipofu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, sadaka au madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka zinazotolewa kwa Mungu?
Unye antu nemeapoku, nekeule nekekulu kukele ikiunya isongeelyona ang'wi adhabu neekwa wakufu imasongeilyo nepumigwa kung'wi Tunda?
20 Kwa hiyo, yeye aapaye kwa madhabahu huapa kwa hiyo na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.
Kuite, nuanso nuelopa kuzahabu wilapa kunelanso nukumaintu ehe nahole kung'wa akwe.
21 Naye aapaye kwa hekalu, huapa kwa hilo na kwa yeye akaaye ndani yake.
Nung'wenso nuelapa mitekeelo, wilapa kunelanso kung'wenso nuekili akwe.
22 Na yeye aapaye kwa mbingu, huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kwa yeye aketie juu yake.
Nung'wenso nuelapa kiluunde, wilapa pituntu la utemi ne lang'wi Tunda nukung'wenso nuikie mung'wanso.
23 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka kwa bizali, mnaanaa na mchicha, lakini mnaacha mambo mazito ya sheria- haki, rehema, na imani. Lakini haya mnapaswa kuwa mmeyafanya, na siyo kuacha mengine bila kuyatekeleza.
Ukae wanyu, aandeki neafalisayo, ateele! kunsoko mukupunya ezaka kubizali, mnaanaa nechicha, kuita mukuleka imakani nemalito milego -tai ukende, nuuhueli. Kuite aya yemunonee kutula mutumile, hange singa kumaleka nemangiza muhile kumitumela.
24 Enyi viongozi vipofu, ninyi ambao mnachuja mdudu mdogo lakini mnameza ngamia!
Unye atongeeli nemeapoku, nemukusuza umududu numuniino kuite mukuimela ingamia!
25 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya vikombe na nje ya sahani, lakini ndani pamejaa dhuluma na kutokuwa na kiasi.
Ukae wanyu, andeki neafalisayo, miateele! Kunsoko mukoja ikole kunzi ne sahani kuhunzi, kuite kunzi izue uubi hange kulile anga upolo.
26 Enyi Mafarisayo vipofu, safisheni kwanza ndani ya kikombe na ndani ya sahani, ili upande wa nje nao pia uwe safi.
Unye aaafalisa nemiapoku, oji hanza ikole mukati ne mukati a sahani, nsoko inkika na kunzi etule nza nenyenso gaa.
27 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo kwa nje huonekana mazuri, lakini kwa ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila kitu kilicho kichafu.
Ukae wanyi, aandeke neafalisayo, meateele! kunsoko mukimpyana niibeela napakilwe ukenke, kunzi igela maza, kuite mukati izue imakupa naashi hange kela kentu neke bii.
28 Vivyo hivyo, nanyi kwa nje mwaonekana wenye haki mbele ya watu, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na udhalimu.
Uulukuli, nunye kunzi migee kena miaza ntongeele aantu, kuite kunzi mizue uteele nuubi.
29 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mwajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki.
Ukae wanyu, aandeki neafalisayo, meateele! kunsoko mukuzenga iibiila na anyakidagu nukupambe iibiila yao awa nea tai.
30 Ninyi mwasema, kama tungeishi siku za baba zetu, tusingekuwa tumeshiriki pamoja nao kumwaga damu za manabii.
Unye milunga, anga aekikie mumahiku a tata itu, shanga aezekipalung'wi nao kuhunula usakami nuanya kidagu.
31 Kwa hiyo mwajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa hao waliowaua manabii.
Kuite mukihenga unyenye kena unye miana ao awa nae abulagile ianyakidagu.
32 Pia ninyi mnakamilisha kujaza sehemu inayostahili dhambi ya baba zenu.
Hange unyenye mukupikeelya kizulya pang'wanso niinonee umulandu nua Tata anyu.
33 Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna g1067)
Unye nzoka, akete vipilibao, muuekile ule uulamuli nuakujehanamu? (Geenna g1067)
34 Kwahiyo, tazama, nawatuma kwenu manabii, watu wenye hekima, na waandishi. Baadhi yao mtawaua na kuwasulibisha. Na baadhi yao mtawachapa ndani ya masinagogi yenu na kuwafukuza kutoka mji mmoja hadi mwingine.
Kuite, goza, kuatuma kitalanyu ianyakidagu, antuneakuligwa, neaandeki, Ang'wi ao mukuabulaga nukuaja. Ang'wiao mukuakua mumasinagogi anyu nukuazunsa nukupuma makesale king'wi sunga numuya.
35 Matokeo ni kwamba juu yenu patatokea damu zote za wenye haki zilizomwagwa duniani, kuanzia damu ya Habili mwenye haki hadi kwa damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliye muua kati ya patakatifu na madhabahu.
Upumeli kena kung'wa anyu ukupumela usakami wehi nua tai nauhunuwe mihe, kaziilya isakamiang'wa Habili nua tai sunga isakani niya Zakalia ung'waa Balaki, nae mumubulabile patakatifu nepa kezindaalo.
36 Kweli, nawaambieni, mambo haya yote yatakipata kizazi hiki.
Tai, kumuila, imakani aya ehi akuupata uwileli uwu.
37 Yerusalemu, Yerusalemu, wewe unayewaua manabii na kuwapiga mawe wale ambao wanatumwa kwako! mara ngapi nimewakusanya watoto wako pamoja kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mbawa zake, lakini haukukubali!
Yerusalemu, Yerusalemu, uewe nukeze abulaga ianyakidagu nukuakua namagwe awa neatumilwe kung'wa ako! Nkua inga kumilingeela iang'enya ako palung'wi anga enkuku nilingeela iana akwe mumanana akwe, kuite singa wikagomba!
38 Tazama, nyumba yako imebaki ukiwa.
Goza ito lako lasaga nuula.
39 Nami nakuambia, Kuanzia sasa na kuendelea hautaniona, hadi utakaposema, 'Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana.”'
Nunee kuila, kandeelya, itungo lele nukulongoleka singa umona, sunga nuekalunga, “Ukembetilwe nuanso nuzile kulina nela Mukulu.”

< Mathayo 23 >