< Luka 1 >

1 Wengi wamejitahidi kuweka katika mpangilio simulizi kuhusu masuala ambayo yametimizwa kati yetu,
Mkulungu Teofili. Vandu vamahele valingi kuyandika bwina mambu gegahengiki pagati yitu.
2 kama walivyotupatia sisi, ambao tangu mwanzo ni mashahidi wa macho na watumishi wa ujumbe.
Vayandiki ngati chevatijovili vevagaweni penapo pegatumbukini magono ga mumbele mambu genago na kuvakokosela lilovi la Chapanga.
3 Hivyo nami pia, baada ya kuchuguza kwa uangalifu chanzo cha mambo haya yote tokea mwanzo - nimeona ni vema kwangu pia kukuandikia katika mpangilio wake - mheshimiwa sana Theofilo.
Mewa na Mkulungu Teofili penamali kulolokesa uchakaka waki kwa magono gamahele, nilola mbanga nikuyandikila veve kwa uchakaka waki.
4 Ili kwamba uweze kujua ukweli wa mambo uliyofundishwa.
Nikiti chenichi muni nigana wamwene umanyayi mambu goha gevakuwulili.
5 Katika siku za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani fulani aliyeitwa Zekaria, wa ukoo wa Abiya. Mke wake alitoka kwa binti za Haruni, na jina lake aliitwa Elizabeti.
Lukumbi Helodi peavi Nkosi wa ku Yudea, ndi pavi na Mteta wa Chapanga mweikemiwa Zakalia wa chikundi cha uteta cha Abiya, na mdala waki avi Elizabeti wa lukolo lwa Aloni.
6 Wote walikuwa wenye haki mbele za Mungu; walitembea bila lawama katika amri zote na maagizo ya Bwana.
Voha vavili vahenga ga kumganisa Chapanga na kuyidakila mihilu na malagizu ga Bambu changabuda.
7 Lakini hawakuwa na mtoto, kwasababu Elizabethi alikuwa tasa, na kwa wakati huu wote wawili walikuwa wazee sana.
Vavi lepi na mwana mbaka muugogolo wavi, ndava Elizabeti avi lepi na chiveleku.
8 Sasa ilitokea kwamba Zakaria alikuwa katika uwepo wa Mungu, akiendelea na wajibu wa kikuhani katika utaratibu wa zamu yake.
Ligono limonga, Zakalia peavi mukuhenga lihengu laki la uteta mu Nyumba ya Chapanga,
9 Kulingana na desturi ya kuchagua ni kuhani yupi atakayehudumu, alikuwa amechaguliwa kwa kura kuingia katika hekalu la Bwana na hivyo angefukiza uvumba.
Ngati cheyavili mivelu ya vamteta va Chapanga, Zakalia ahaguliwi kwa gudugudu kuyingila mu Nyumba ya Bambu ndava ya kuhukisa ubani.
10 Kundi lote la watu lilikuwa likiomba nje wakati wa kufukizwa kwa ufumba.
Na lukumbi lwa kuhukisa ubani palwahikili, vala voha vevakonganiki kumuyupa Chapanga vavi cha kuvala vayupayi.
11 Sasa malaika wa Bwana alimtokea na kasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia.
Mtumu wa kunani kwa Bambu, akamuhumila na kuyima upandi wa kulyela wa lusanja lwa luteta lwa kuhukisa ubani.
12 Zakaria alitishika alipomuona; hofu ikamwangukia.
Zakalia peamuweni mtumu wa kunani kwa Chapanga yula, akakenyemuka.
13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope Zakaria, kwasababu maombi yako yamesikika. Mke wako Elizabeth atakuzalia mwana. Jina lake utamwita Yohana.
Mtumu wa kunani kwa Chapanga akamjovela, “Zakalia, kotoka kuyogopa muni Bambu ayuwini chawamuyupili, ndava mdala waku Elizabeti yati akubabila mwana mgosi na veve walamkemela Yohani.
14 Utakuwa na furaha na uchangamfu, na wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
Ndi wamwene yati uheka pavaha na vandu vamahele valahekelela ndava ya kuvelekewa kwaki.
15 Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele ya macho ya Bwana. Hatakunywa divai au kinywaji kikali, na atakuwa amejazwa na Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake.
Mwenuyo yati ivya mkulu, pamihu ga Bambu, alanywa lepi divayi wala ugimbi, yati ilongoswa na Mpungu Msopi kuhumila mulileme la nyina waki.
16 Na watu wengi wa Israel watageuzwa kwa Bwana Mungu wao.
Yati akuvawuyisa vandu vamahele wa pa Isilaeli, vamuwuyilayi Bambu Chapanga wavi.
17 Atakwenda mbele za uso wa Bwana katika roho na nguvu ya Eliya. Atafanya hivi ili kurejesha mioyo ya baba kwa watoto, ili kwamba wasiotii wataenenda katika hekima ya wenye haki. Atafanya hivi kuweka tayari kwa Bwana watu ambao wameandaliwa kwa ajili yake.”
Yati akumlongolela Bambu kuni ilongosiwa na makakala na Mpungu ngati Eliya. Ndava ya kuvatepulanisa vadadi na vana vavi, yati avakita vangamyidakila vavyayi na luhala ngati lwa vala vevakumyidikila, na kumtendelekela Bambu vandu vaki.”
18 Zakaria akamwambia malaika, “Nitawezaje kujua hili? Kwasababu mimi ni mzee na mke wangu miaka yake imekuwa mingi sana.”
Zakalia akamkota Mtumu wa kunani kwa Chapanga, “Yati nimanya wuli ngati givya chenicho? Muni nene na mdala wangu tavagogolo.”
19 Malaika akajibu na kumwambia, “Mimi ni Gabrieli, ambaye husimama mbele za Mungu. Nilitumwa kukwambia, kukuletea habari hii njema.
Mtumu wa kunani kwa Chapanga akayangula, “Nene na Gabulieli na mtumisi wa Chapanga. Ndi anitumili nijova na veve nikujovela lilovi la bwina lenili.
20 Na tazama, hutaongea, utakuwa kimya, hutaweza kuongea mpaka siku ile mambo haya yatakapotokea. Hii ni kwasababu ulishindwa kuamini maneno yangu ambayo yatatimizwa kwa wakati mwafaka.”
Yuwanila, yati wivya ngajova yati nakuhotola kujova, mbaka ligono lila pegihumila ago ndava ubeli kunisadika malovi gangu gene gihumila palukumbi lwaki.”
21 Sasa watu walikuwa wakimsubiri Zakaria. Walishangazwa kwamba alikuwa anatumia muda mwingi hekaluni.
Lukumbi lwenulo vandu vevamulindilayi Zakalia kuvala vakakangasa, muni atamakisi lukumbi lutali mu Nyumba ya Chapanga.
22 Lakini alipotoka nje, hakuweza kuongea nao. Wakatambua kwamba alikuwa amepata maono alipokuwa hekaluni. Aliendelea kuonesha ishara na alibaki kimya.
Peahumili kuvala nakuhotola kujova na vayaki, vayaki vakamanya kuvya mu Nyumba ya Chapanga mula, muyavi agaweni maono ndi akayendelela kulangisa na mawoko muni avi ngajova.
23 Ikatokea kwamba siku za huduma yake zilipokwisha aliondoka kurudi nyumbani kwake.
Lukumbi lwaki lwa kuhenga lihengu la uteta palwamaliki, akawuya kunyumba yaki.
24 Baada ya Zakaria kurudi nyumbani kutoka kwenye huduma yake hekaluni, mke wake akawa mjamzito. Naye hakutoka nyumbani mwake kwa muda wa miezi mitano. Akasema,
Lukumbi luhupi palwamaliki Elizabeti mdala wa Zakalia yula akavya na ndumbu, akawela munyumba miheyi mhanu,
25 “Hili ndilo amabalo Bwana amefanya kwangu aliponitazama kwa upendeleo ili kuiondoa aibu yangu mbele za watu.”
kuni ajova “Bambu anitangatili na aniloli, hinu cheaniwusili soni pavandu!”
26 Sasa, katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeti, Mungu alimwambia malaika Gabrieli kwenda kwenye mji wa Galilaya uitwao Nazareti,
Mu mwehi wa sita, Chapanga amtumili mtumu waki wa kunani Gabulieli kumuji wa Nazaleti, ku Galilaya.
27 kwa bikra aliyekuwa ameposwa na mwanaume ambaye jina lake lilikuwa Yusufu. Yeye alikuwa wa ukoo wa Daudi, na jina la bikra huyo lilikuwa Mariamu.
Kwa kamwali mmonga mwavamkemela Maliya, Mwenuyo ahongiwi na mgosi mmonga liina laki Yosefu wa lukolo lwa Daudi.
28 Akaja kwake na akasema, “Salaam, wewe uliyepokea neema kuu! Bwana amependezwa nawe.”
Mtumu wa kunani kwa Chapanga Akamuhegelela akamjambusa, “Tikuwoni! Bambu avi pamonga na veve kangi akugubiki uganu waki!”
29 Lakini maneno ya malaika yalimchanganya na hakuelewa kwa nini malaika alisema salaam hii ya ajabu kwake.
Maliya peayuwini malovi gala, akakenyemuka, akahololela, jambusa yeniyi mana yaki kyani?
30 Malaika akamwambia, “Usiogope, Mariamu, maana umepata neema kutoka kwa Mungu.
Mtumu wa kunani kwa Chapanga akamjovela, “Kotoka kuyogopa Maliya, muni Chapanga aganisiwi na veve.
31 Na tazama, utabeba mimba katika tumbo lako na utazaa mwana. Nawe utamwita jina lake 'Yesu.'
Walavya na ndumbu, walaveleka mwana mgosi, yati ukumkemela liina laki Yesu.
32 Atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu Sana. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake.
Mwenuyo yati ivya mkulu, yati ikemelewa Mwana wa Chapanga Mkulu. Bambu Chapanga yati amuvika kuvya Nkosi, ngati cheamuviki Nkosi Daudi mweavi gogo waki.
33 Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn g165)
Ndi yati ivya Nkosi wa lukolo lwa Yakobo magono goha, na unkosi waki wangali na mwishu!” (aiōn g165)
34 Mariamu akamwambia malaika, hili litatokea kwa namna gani, maana sijawahi kulala na mwanaume yeyote?
Maliya akamyangula, “Genago galavya wuli, muni nene nangammanya mgosi?”
35 Malaika akajibu na akamwambia, “Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu ya Aliye Juu Sana itakuja juu yako. Kwa hiyo, mtakatifu atakayezaliwa ataitwa Mwana wa Mungu.
Mtumu wa kunani kwa Chapanga akayangula, “Mpungu Msopi yati ukuhelelela, na uhotola waki Chapanga Mkulu walakugubika ngati chimuwili, muni mwana mweubwela kumveleka uyo, yati ikemelawa msopi na Mwana wa Chapanga.
36 Na tazama, ndugu yako Elizabeti anaujauzito wa mwana kwenye umri wake wa uzee. Huu ni mwezi wa sita kwake, ambaye alikuwa anaitwa mgumba.
Hati mlongo waku Elizabeti, agegi ndumbu ya mwana mgosi na hinu mumwehi wa sita, pamonga na ugogolo waki, mweamanyikini na vandu kuvya ngaveleka.
37 Maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu.”
Muni kawaka lilovi langahotoleka kwa Chapanga.”
38 Mariamu akasema, “Tazama, mimi ni mtumishi wa kike wa Bwana. Acha iwe hivyo kwangu sawa sawa na ujumbe wako.” Kisha malaika akamwacha.
Maliya akajova, “Nene nivii penapa namvanda wa bambu, nikitiwayi ngati chaukajovili.” Ndi mtumi wa kunani kwa Chapanga akawuka.
39 Ndipo katika siku hizo Mariamu aliondoka na kwa haraka alikwenda katika nchi ya vilima, kwenye mji katika nchi ya Yudea.
Ndi lwapiti lepi lukumbi lutali, Maliya akapanganyika akayumbatika kuhamba kumuji wewavi kuvidunda vya ku Yudea.
40 Alikwenda nyumbani mwa Zekaria na akamsalimia Elizabeti.
Kwenuko akayingila munyumba ya Zakalia akamjambusa Elizabeti.
41 Sasa, ilitokea kwamba Elizabeti aliposikia salamu ya Mariamu, mtoto tumboni mwake akaruka, na Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu.
Bahapo Elizabeti peayuwini jambusa ya Maliya, kamwana kakahumba chaluheku mulileme la Elizabeti. Elizabeti akalongoswa Mpungu Msopi
42 Akapaza sauti yake na kusema kwa sauti kuu, “umebarikiwa wewe zaidi miongoni mwa wanawake, na mtoto aliyemo tumboni mwako amebarikiwa.
akajova kwa lwami luvaha, “Umotisiwi kuliku vadala voha, na mweubwela kumveleka huyo amotisiwi!
43 Na imekuwaje kwangu kwamba, mama wa Bwana wangu ilipasa aje kwangu?
Nene nayani hati nyina wa Bambu wangu anibwelili?
44 Kwa kuwa tazama, iliposikika masikoni mwangu sauti ya kusalimia kwako, mtoto tumboni mwangu akaruka kwa furaha.
Nikujovela, panayuwini jambusa yaku, kamwana kakahumba mulileme langu chaluheku.
45 Na amebarikiwe mwanamke yule ambaye aliamini ya kwamba ungetokea ukamilifu wa mambo yale aliyoambiwa kutoka kwa Bwana.”
Umotisiwi veve mweusadika kuvya yati gihumila gala geakujovili Bambu.”
46 Mariamu akasema, nafsi yangu inamsifu Bwana,
Maliya akajova, “Mtima wangu ukumlumba Bambu,
47 na roho yangu imefurahi katika Mungu Mwokozi wangu.
mpungu wangu umhekela Bambu, ndava Msangula wangu.
48 Kwa maana ameiangalia hali ya chini ya mtumishi wake wa kike. Tazama, tangu sasa katika vizazi vyote wataniita mbarikiwa.
Muni aulolili cha lipyana ungolongondi wa mvanda waki! Kutumbula hinu viveleku vyoha yati vakunikemela mwenisangalwiki,
49 Kwa maana yeye aliyemweza amefanya mambo makubwa kwangu, na jina lake ni takatifu.
ndava muni Chapanga ana makakala anihengili gakulu, na liina laki ndi msopi
50 Rehema yake inadumu toka kizazi hata kizazi kwa wale wanao mheshimu yeye.
Chivelekelu mbaka chivelekelu mwene magono goha avi na lipyana kwa vandu vevakumtopesa.
51 Ameonesha nguvu kwa mkono wake; amewatawanya wale ambao walijivuna juu ya mawazo ya mioyo yao.
Alangisi makakala gaki kwa kukita mambu gakulu. Avapechengini vevimeka mumaholo ga mitima yavi.
52 Amewashusha chini wana wa wafalme toka katika viti vyao vya enzi na kuwainua juu walio na hali ya chini.
Avahelisi vankosi vana makakala kuhumila muvigoda vya kulongosa, na avakwesi vevavi ngolongondi.
53 Aliwashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu.
Vangangu avayukutisi mambu gabwina, na vana vindu vyamahele avalekili vahamba mawoko gawaka.
54 Ametoa msaada kwa Israeli mtumishi wake, ili kukumbuka kuonesha rehema
Amtangatili mulima wa Isilaeli mtumi waki. Akumbwiki lipyana laki,
55 (kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn g165)
Ngati chaajovili kuvya na lipyana kwa Ibulahimu na chivelekelu chaki, magono goha.” (aiōn g165)
56 Mariamu alikaa na Elizabeti yapata miezi mitatu hivi ndipo akarudi nyumbani kwake.
Maliya akatama kwa Elizabeti ngati miyehi yidatu, ndi akawuya kunyumba yaki.
57 Sasa wakati ulikuwa umewadia kwa Elizabeti kujifungua mtoto wake na akajifungua mtoto wa kiume.
Palwahiki lukumbi lwa Elizabeti kuveleka ndi akavya na mwana mgosi.
58 Jirani zake na ndugu zake walisikia jinsi Bwana alivyoikuza rehema kwake, na wakafurahi pamoja naye.
Vandu va mu lukolo na veitamanila nawu papipi, pevayuwini Bambu amkitili lipyana neju, voha vakahekelela pamonga nayu.
59 Sasa ilitokea siku ya nane kwamnba walikuja kumtahiri mtoto. Ingewapasa kumwita jina lake, “Zekaria,” kwa kuzingatia jina la baba yake,
Ligono la nane vakabwela kumdumula jandu mwana, vaganayi kumpela liina Zakalia, liina la dadi waki.
60 Lakini mama yake akajibu na kusema, “Hapana; ataitwa Yohana.”
Nambu nyina waki akajova, “Lepi, mwenuyu ikemelewa Yohani.”
61 Wakamwambia, hakuna hata mmoja katika ndugu zako anayeitwa kwa jina hili.”
Vakamjovela, “Kawaka mu lukolo lwaki mweavi na liina ngati lenili!”
62 Wakamfanyia ishara baba yake kuashiria yeye alitaka jina aitwe nani.
Hinu vakamkota dadi waki chakumlangisa, muni vamanyayi aganili kumpela liina loki.
63 Baba yake akahitaji kibao cha kuandikia, na akaandika, “Jina lake ni Yohana.” Wote wakashangazwa na hili.
Zakalia akayupa chibawu cha kuyandikila, akayandika, “Liina laki Yohani.” Vandu voha vakakangasa!
64 Ghafla mdomo wake ukafunguliwa na ulimi wake ukawa huru. Akaongea na kumsifu Mungu.
Bahapo mlomo wa Zakalia akatumbula kulongela kangi akamulumba Chapanga.
65 Hofu ikawajia wote walioishi karibu nao. Mambo haya yakaenea katika nchi yote ya vilima vya Yudea.
Vandu voha veatama nawu vakavya na wogohi, mambu ago gakalongaleka mulima woha wa vidunda vya ku Yudea.
66 Na wote walioyasikia wakayatunza mioyoni mwao, wakisema, “Mtoto huyu kuwa wa namna gani?” Kwasababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.
Vandu voha vevayuwini mambu genago, vakaholalela mumitima yavi na kukotana vene kwa vene mumitima yavi, “Mwe mwana uyu yati ivya wuli?” Chakaka, makakala ga Bambu gavi pamonga na mwene.
67 Baba yake Zekaria alijazwa na Roho Mtakatifu na akatoa unabii, akisema,
Zakalia dadi mwana yula akalongoswa na Mpungu Msopi akatumbula kulotela ulota uwu.
68 “Asifiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa sababu amesaidia na alishughulikia wokovu kwa watu wake.
“Ulumbiwa Bambu Chapanga wa Isilaeli! Ndava ubweli kuvatangatila vandu vaki na kuvagombola.
69 Ametuinulia pembe ya wokovu katika nyumba ya mtumishi wake Daudi, kutoka miongoi mwa mwa ukoo wa mtumishi wake Daudi,
Atipeli Msangula mkekesi, mu chiveleku cha Daudi mtumisi waki.
70 kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn g165)
Ndi atijovili kadeni munjila ya vamlota vaki va msopi, (aiōn g165)
71 Atatuoka kutoka kwa adui zetu na kutoka mikononi mwa wote wanaotuchukia.
Yati atisangula kuhuma mu mawoko ga makoko gitu, na mumakakala ga voha vavakutihakalila.
72 Atafanya hivi kuonesha rehema kwa baba zetu, na kukumbuka agano lake takatifu,
Ajovili yati avakitila lipyana vagogo vitu na akulihololela lilaganu laki la msopi.
73 kiapo alichokisema kwa Abrahamu baba yetu.
Chilapu alapili kwa dadi witu Ibulahimu, kuvya akutitangatila tete
74 Aliapa kuthibitha kwamba ingewezekana kumtumikia Yeye bila hofu, baada ya kuokolewa kutoka katika mikononi ya adui zetu.
tigomboka kuhuma mu mawoko ga makoko gitu, na timugundamila changali wogohi,
75 katika utakatifu na haki mbele zake siku zetu zote.
muusopi na kukita gegakumganisa Chapanga, magono goha ga wumi witu.”
76 Ndiyo, na wewe mtoto, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana, kwa kuwa utaenenda mbele za uso wa Bwana ili kumwandalia njia, kuwaandaa watu kwa ajili ya ujio wake,
“Wamwanangu veve, yati ukemelewa, mlota wa Chapanga mkulu, ndava walamlongolela Bambu kumkwalila njila yaki,
77 kuwafahamisha watu wake kwamba, wataokolewa kwa njia ya kusamehewa dhambi zao.
na kuvakokosela vandu kuvya valasanguliwa kwa kulekekesewa kumbudila Chapanga wavi.
78 Hili litatokea kwa sababu ya huruma ya Mungu wetu, sababu ambayo jua tokea juu litatujia,
Chapanga witu yati ikita genago ndava lipyana ya mtima waki wa ngolongondi. Usangula waki yati ubwela kuhuma kunani ngati lumuli chelulangasa chelihumila lilanga,
79 kuangaza kwao wakaao gizani na katika uvuli wa mauti. Atafanya hivi kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani.”
na kuvalangasila voha vevitama muchitita chikulu cha lifwa, na kutilongosa titama wumi wa uteke.”
80 Sasa, yule mtoto akakua na kuwa mwenye nguvu rohoni na alikaa nyikani mpaka siku ya kujitokeza kwake kwa Israeli.
Mwana yula akakula, na akakangamala mumpungu waki. Akatama kulugangatu mbaka ligono paajilangisi pavandu va pa Isilaeli.

< Luka 1 >