< Yoshua 15 >

1 Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
Taki był los pokolenia synów Judy według ich rodzin: aż do granic Edomu przy pustkowiu Cin na południu sięgał kraniec granicy południowej.
2 Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
A ich granica południowa biegła od krańca Morza Słonego, od zatoki zwróconej ku południowi.
3 Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
I biegła od południa, ku Maale-Akrabbim, i ciągnęła się aż do Cin; a wznosząc się na południu do Kadesz-Barnea, przebiegała do Chesronu, i wznosiła się do Addary, i skręcała do Karka.
4 Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
Stamtąd przechodziła do Asmon i dochodziła do rzeki Egiptu, a kończyła się przy morzu. Taka będzie wasza granica na południu.
5 Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
Granicą zaś od wschodu [było] Morze Słone aż do końca Jordanu, a granica północna była od zatoki morskiej przy ujściu Jordanu.
6 Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
Granica ciągnęła się do Bet-Chogla i biegła od północy aż do Bet-Araba; [stamtąd] granica wznosiła się do kamienia Bohana, syna Rubena.
7 Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
Następnie granica wznosiła się do Debiru od doliny Akor i zwracała się ku północy do Gilgal leżącego naprzeciw wzniesienia Adummim, [położonego] na południe od rzeki. Dalej granica ciągnęła się do wód En-Szemesz i kończyła się przy En-Rogiel.
8 kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
Dalej granica wznosiła się doliną syna Hinnom do stoku Jebusyty od południa, [czyli] do Jerozolimy. Stamtąd wznosiła się na szczyt góry położonej naprzeciw doliny Hinnom na zachodzie i na krańcu doliny Refaimitów na północy.
9 Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
Potem granica skręcała od szczytu góry aż do źródła wody Neftoach i biegła aż do miast góry Efron; dalej ciągnęła się do Baala, czyli Kiriat-Jearim.
10 Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
Następnie granica skręcała od Baala na zachodzie do góry Seir i przechodziła do zbocza góry Jearim od północy, czyli Kesalon, potem schodziła do Bet-Szemesz i przechodziła do Timny.
11 Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
Później granica wychodziła do zbocza Ekronu na północy i skręcała do Szikronu, i przebiegała przez górę Baala; stamtąd wychodziła do Jabneel i kończyła się przy morzu.
12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
A granicą zachodnią było Morze Wielkie i jego wybrzeże. Oto granica synów Judy dokoła według ich rodzin.
13 Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
Kalebowi zaś, synowi Jefunnego, dał [Jozue] dział pośród synów Judy, jak PAN nakazał Jozuemu, miasto Arba, ojca Anaka, czyli Hebron.
14 Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
I Kaleb wypędził stamtąd trzech synów Anaka: Szeszaja i Achimana, i Talmaja, potomków Anaka.
15 Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
Stamtąd wyruszył przeciwko mieszkańcom Debiru, które dawniej nazywało się Kiriat-Sefer.
16 Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
I Kaleb powiedział: Kto pobije Kiriat-Sefer i zdobędzie je, temu dam swoją córkę Aksę za żonę.
17 Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
I zdobył je Otniel, syn Kenaza, brata Kaleba; i dał mu swoją córkę Aksę za żonę.
18 Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
A gdy ona przyszła do niego, namawiała go, aby prosił jej ojca o pole. Kiedy zsiadła z osła, Kaleb zapytał ją: Czego sobie życzysz?
19 Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
A [ona] odpowiedziała: Daj mi błogosławieństwo; skoro dałeś mi ziemię południową, daj mi też źródła wód. I dał jej źródła górne i źródła dolne.
20 Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
Oto dziedzictwo pokolenia synów Judy według ich rodzin.
21 Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
Miastami granicznymi pokolenia synów Judy w stronę granicy Edomu na południu były: Kabseel, Eder, Jagur;
22 Kina, Dimona, Adada,
Kina, Dimona, Adada;
23 Kadeshi, Hazor, Ithinani,
Kedesz, Chasor, Jetnan;
24 Zifu, Telemu, Bealothi.
Zif, Telam, Bealot;
25 Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
Chasor-Chadatta i Keriot-Chesron, czyli Chasor;
26 Amamu, shema, Molada,
Amam, Szema, Molada;
27 Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
Hasar-Gadda, Cheszmon, Bet-Pelet;
28 Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
Chasar-Szual, Beer-Szeba, Biziota;
29 Baala, Limu, Ezemu,
Baala, Ijjim, Esem;
30 Eltoladi, Kesili, Horma,
Eltolad, Kesil, Chorma;
31 Ziklagi, Madimana, Sansana,
Siklag, Madmana, Sansanna;
32 Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
Lebaot, Szilchim, Ain i Rimmon. Wszystkich miast było dwadzieścia dziewięć z przyległymi do nich wioskami.
33 Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
Na nizinie: Esztaol, Sorea, Aszna;
34 Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
Zanoach, En-Gannim, Tappuach, Enam;
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
Jarmut, Adullam, Soko, Azeka;
36 Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
Szaaraim, Aditaim, Gedera i Gederotaim: czternaście miast wraz z przyległymi do nich wioskami.
37 Zena, Hadasha, Migidagadi,
Senan, Chadasza, Migdal-Gad;
38 Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
Dilan, Mispe, Jokteel;
39 Lakishi, Bozikathi, Egloni.
Lakisz, Boskat, Eglon;
40 Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
Kabon, Lachmas, Kitlisz;
41 Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
Gederot, Bet-Dagon, Naama i Makkeda: szesnaście miast wraz z przyległymi do nich wioskami.
42 Libna, Etheri, Ashani,
Libna, Eter, Aszan;
43 Ifuta, Ashina, Nezibu,
Jeftach, Aszna, Nesib;
44 Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
Keila, Akzib i Maresza: dziewięć miast wraz z przyległymi do nich wioskami.
45 Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
Ekron i przyległe do niego miasteczka i wioski;
46 kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
Od Ekronu aż do morza wszystkie [miasta], które leżą w pobliżu Aszdodu, i przyległe do nich wioski;
47 Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
Aszdod i przyległe do niego miasteczka i wioski, Gaza i przyległe do niej miasteczka i wioski, aż do rzeki Egiptu i Morza Wielkiego, które jest granicą.
48 Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
A w górach: Szamir, Jattir, Soko;
49 Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
Danna, Kiriat-Sanna, czyli Debir;
50 Anabu, Eshitemo, Animu,
Anab, Esztemo, Anim;
51 Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
Goszen, Cholon i Gilo: jedenaście miast wraz z przyległymi do nich wioskami.
52 Arabu, Duma, Ehani,
Arab, Duma, Eszan;
53 Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
Janum, Bet-Tappuach, Afeka;
54 Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
Chumta, Kiriat-Arba, czyli Hebron, Sijor: dziewięć miast wraz z przyległymi do nich wioskami.
55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
Maon, Karmel, Zif, Jutta;
56 Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
Jizreel, Jokdeam, Zanoach;
57 Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
Kain, Gibea i Timna: dziesięć miast wraz z przyległymi do nich wioskami.
58 Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
Chalchul, Bet-Sur, Gedor;
59 Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
I Maarat, Bet-Anot i Eltekon: sześć miast wraz z przyległymi do nich wioskami.
60 Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
Kiriat-Baal, czyli Kiriat-Jearim i Rabba: dwa miasta wraz z przyległymi do nich wioskami.
61 Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
A na pustyni: Bet-Araba, Middin, Sekaka;
62 Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
Nibszan, miasto Soli i En-Gedi: sześć miast wraz z przyległymi do nich wioskami.
63 Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.
Lecz Jebusytów, mieszkańców Jerozolimy, synowie Judy nie mogli wypędzić; dlatego Jebusyci mieszkają z synami Judy w Jerozolimie aż do dziś.

< Yoshua 15 >