< Ayubu 9 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Job respondió:
2 “kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
“¡Sí, todo eso lo sé! Pero, ¿cómo puede alguien tener la razón delante Dios?
3 Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
Si quisieras discutir con Dios, éste podría hacer mil preguntas que nadie puede responder.
4 Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
Dios es tan sabio y poderoso que nadie podría desafiarlo y ganarle.
5 ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
“Dios mueve las montañas de repente; las derriba en su ira.
6 ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
Él sacude la tierra, haciendo temblar sus cimientos.
7 Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
Él es quien puede ordenar que el sol no salga y que las estrellas no brillen.
8 ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
Sólo él es quien extiende los cielos y camina sobre las olas del mar.
9 ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
Él hizo las constelaciones de la Osa, de Orión, de las Pléyades y las estrellas del cielo austral.
10 Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
Él es quien hace cosas increíbles que están más allá de nuestro entendimiento, cosas maravillosas que son incontables.
11 Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
“Pero cuando pasa junto a mí, no lo veo; cuando camina hacia adelante, es invisible para mí.
12 Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
Si él quita, ¿Quién podrá impedírselo? ¿Quién va a preguntarle: ‘Qué haces’?
13 Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
Dios no refrena su ira, y aplasta a los ayudantes de Rahab.
14 Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
“Así que, ¡cuánto menos podría responder a Dios, o elegir mis palabras para discutir con él!
15 Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
Aunque tenga razón, no puedo responderle. Debo implorar la misericordia de mi juez.
16 Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
Aunque lo llamara para que viniera y él respondiera, no creo que me escuchara.
17 kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
“Me golpea con vientos de tormenta; me hiere una y otra vez, sin dar razón.
18 Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
No me da la oportunidad ni siquiera de recuperar el aliento; en cambio, llena mi vida de amargo sufrimiento.
19 Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
Si de fuerza se trata, Dios es el más fuerte. Si es cuestión de justicia, entonces ¿quién fijará un tiempo para mi caso?
20 Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
Aunque tenga razón, mi propia boca me condenaría; aunque sea inocente, él demostraría que estoy equivocado.
21 Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
¡Soy inocente! No me importa lo que me pase. ¡Odio mi vida!
22 Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
Por eso digo: ‘A Dios le da igual. Él destruye tanto al inocente como al malvado’.
23 Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
Cuando el desastre golpea de repente, se burla de la desesperación de los inocentes.
24 Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
La tierra ha sido entregada al malvado; él ciega los ojos de los jueces; y si no es él, entonces ¿quién?
25 Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
Los días de mi vida corren como un corredor, pasando a toda prisa sin que yo vea ninguna felicidad.
26 Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
Pasan como veloces veleros, como el águila que se abalanza sobre su presa.
27 Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
“Si me dijera a mí mismo: ‘Olvidaré mis quejas; dejaré de llorar y seré feliz’,
28 Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
seguiría aterrado por todo mi sufrimiento, porque tú, Dios, no dirás que soy inocente.
29 Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
Ya que estoy condenado, ¿qué sentido tiene discutir?
30 Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
¡Aunque me lavara con agua pura de la montaña y me limpiara las manos con jabón,
31 Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
me arrojarías a un pozo de lodo de modo que hasta mis propias ropas me odiarían!
32 Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
Porque Dios no es un ser mortal como yo, no puedo defenderme ni llevarlo a juicio.
33 Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
Si hubiera un árbitro ¡que pudiera reunirnos a los dos!
34 Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
¡Ojalá Dios dejara de golpearme con su vara y de aterrorizarme!
35 Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.
Entonces podría hablar sin tener miedo; pero como lo tengo, no puedo!”

< Ayubu 9 >