< Ayubu 5 >

1 Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
Призови же, аще кто тя услышит, или аще кого от святых Ангел узриши.
2 Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
Безумнаго бо убивает гнев, заблуждшаго же умерщвляет рвение.
3 Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
Аз же видех безумных укореняющихся, но абие поядено бысть их жилище.
4 Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
Далече да будут сынове их от спасения, и да сотрутся при дверех хуждших, и не будет изимаяй.
5 Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
Иже бо они собраша, праведницы поядят, сами же от зол не изяти будут: изможденна буди крепость их.
6 Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
Не имать бо от земли изыти труд, ни от гор прозябнути болезнь:
7 Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
но человек раждается на труд, птенцы же суповы высоко парят.
8 Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
Обаче же аз помолюся Богови, Господа же всех Владыку призову,
9 yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
Творящаго велия и неизследимая, славная же и изрядная, имже несть числа:
10 Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
дающаго дождь на землю, посылающаго воду на поднебесную:
11 Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
возносящаго смиренныя на высоту и погибшыя воздвизающаго во спасение:
12 Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
расточающаго советы лукавых, да не сотворят руце их истины.
13 Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
Уловляяй премудрых в мудрости их, совет же коварных разори.
14 Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
Во дни обымет их тма, в полудне же да осяжут якоже в нощи,
15 Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
и да погибнут на брани: немощный же да изыдет из руки сильнаго.
16 Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
Буди же немощному надежда, неправеднаго же уста да заградятся.
17 Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
Блажен же человек, егоже обличи Бог, наказания же Вседержителева не отвращайся:
18 Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
Той бо болети творит и паки возставляет: порази, и руце Его изцелят:
19 Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
шестижды от бед измет тя, в седмем же не коснеттися зло:
20 Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
во гладе избавит тя от смерти, на брани же из руки железа изрешит тя:
21 Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
от бича языка скрыет тя, и не убоишися от зол находящих:
22 Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
неправедным и беззаконным посмеешися, от дивиих же зверей не убоишися,
23 Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
зане с камением дивиим завет твой: зверие бо дивии примирятся тебе.
24 Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
Потом уразумееши, яко в мире будет дом твой, жилище же храмины твоея не имать согрешити:
25 Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
уразумееши же, яко много семя твое, и чада твоя будут яко весь злак селный:
26 Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
внидеши же во гроб якоже пшеница созрелая во время пожатая, или якоже стог гумна во время свезенный.
27 Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”
Се, сия сице изследихом: сия суть, яже слышахом: ты же разумей себе, аще что сотворил еси.

< Ayubu 5 >