< Ayubu 5 >

1 Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
Appelle donc, s’il y a quelqu’un qui te réponde, et tourne-toi vers quelqu’un des saints.
2 Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
Certes, le courroux tue l’insensé, et l’envie fait mourir le jeune enfant.
3 Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
Moi, j’ai vu l’insensé avec une forte racine, et j’ai maudit sa beauté aussitôt.
4 Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
Ses fils se trouveront loin du salut, et ils seront brisés à la porte, et il n’y aura personne qui les délivre.
5 Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
Le famélique mangera sa moisson: l’homme armé le ravira lui-même, et ceux qui ont soif boiront ses richesses.
6 Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
Rien sur la terre ne se fait sans cause, et ce n’est pas du sol que provient la douleur.
7 Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
L’homme naît pour le travail, et l’oiseau pour voler.
8 Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
C’est pourquoi je prierai le Seigneur, et c’est à Dieu que j’adresserai ma parole,
9 yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
Lui qui fait des choses grandes, impénétrables et admirables, sans nombre;
10 Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
Qui donne de la pluie sur la face de la terre, et arrose d’eaux tous les lieux;
11 Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
Qui élève les humbles, ranime ceux qui sont abattus en les protégeant;
12 Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
Qui dissipe les pensées des méchants, afin que leurs mains ne puissent accomplir ce qu’elles avaient commencé;
13 Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
Qui surprend les sages dans leur finesse, et dissipe le conseil des pervers.
14 Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
Dans le jour ils rencontreront des ténèbres, et comme dans la nuit, ainsi ils tâtonneront à midi.
15 Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
Mais Dieu sauvera l’indigent du glaive de leur bouche, et le pauvre de la main du violent.
16 Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
Et il y aura de l’espérance pour l’indigent, mais l’iniquité contractera sa bouche.
17 Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
Heureux l’homme qui est corrigé par Dieu! ne repousse donc pas le châtiment du Seigneur,
18 Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
Parce que lui-même blesse, et il donne le remède; il frappe, et ses mains guériront.
19 Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
Dans six tribulations il te délivrera, et, à la septième, le mal ne te touchera pas.
20 Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
Dans la famine, il te sauvera de la mort, et à la guerre, de la main du glaive.
21 Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
Tu seras mis à couvert du fouet de la langue, et tu ne craindras pas la calamité lorsqu’elle viendra.
22 Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
Dans la désolation et la faim tu riras, et tu ne redouteras pas les bêtes de la terre.
23 Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
Il y aura même un accord entre toi et les pierres des champs; et les bêtes de la terre seront pacifiques pour loi.
24 Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
Et tu verras que ton tabernacle aura la paix; et, visitant ta beauté, tu ne pécheras pas.
25 Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
Tu verras aussi que ta race se multipliera, et ta postérité croîtra comme l’herbe de la terre.
26 Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
Tu entreras dans l’abondance au sépulcre, comme un monceau de blé qui est rentré en son temps.
27 Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”
Vois, ceci est comme nous l’avons observé: ce que tu as entendu, repasse-le en ton esprit.

< Ayubu 5 >