< Ayubu 5 >

1 Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
Ilaifa: se da eno amane sia: i, “Yoube! Di wele sia: ma! Eno da dima adole ima: bela: ? A: igele dunu da di fidima: bela: ?
2 Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
Di da bogosa: besa: le, da: i dione Godema ougi hou yolesima! Amo hou da gagaoui agoane.
3 Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
Na da gagaoui dunu ba: i. Ilia da hahawane amola gaga: i dagoi agoane ba: i. Be na da hedolowane ilia sosogo ilima gagabusu aligima: ne sia: i.
4 Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
Ilia mano da gaga: su hamedafa ba: mu. Ilia fofada: musa: ahoasea, dunu afae da ili fidimu hame ba: sa.
5 Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
Ha: aligi dunu ilia da gagaoui dunu ilia dadami naha. Ilia gagoma aya: gaga: nomei ganodini sagai amo naha. Lafi hafoga: i dunu da gagaoui dunu ea bagade gagui amoma mudasa.
6 Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
Wadela: i hou da osobo ganodini hame heda: sa. Bidi hamosu da osobogadili hame heda: sa.
7 Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
Hame mabu! Lalu geso da dafawane laluga heda: sa! Amo defele, ninia hamobeba: le bidi hamosu ninima doaga: sa.
8 Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
Be dia bidi hamosu da nama doaga: i ganiaba, na da Godema sinidigili, E da na gaga: ma: ne, Ema fofada: la: loba!
9 yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
Ninia da Ea gasa bagade hamobe hamedafa dawa: sa. Amola E da musa: hame ba: su dawa: digima: ne olelesu hou mae dagole hamonana.
10 Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
E da osobo bagadega gibu ia, amola moifufu nasegagima: ne gibu hano iaha.
11 Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
Dafawane! Gode da fonoboi dunu ili gaguia gadosa. E da dinanebe dunuma hahawane hou iaha.
12 Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
E da hohonosu dunu ilia ilegei hedofasa. E da bagade dawa: su dunu ilia ilegei amo ganodini ili sanisa. Amaiba: le, ilia hamobe huluanedafa da hame didisa.
13 Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
14 Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
Ilia da esomogoa amolawane dadoula ahoa.
15 Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
Be Gode da hame gagui dunu mae bogoma: ne gaga: sa. Amola eno dunu ili mae banenesima: ne gaga: sa.
16 Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
E da hame gagui dunu ilima dafawane hamoma: beyale dawa: su iaha amola wadela: le hamosu dunu ouiya: ma: ne, ilia lafi ga: sisa.
17 Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
Nowa dunu amoma Gode da gagabole sia: sea, e da hahawane bagade. Gode da dima gagabole sia: sea, mae hihima!
18 Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
Gode da dunu ea da: i hodo fai oda hida: sea, E da amo ga: le la: gisa. Di da Gode Ea loboga fabeba: le, se naba. Be E da Ea loboga di uhinisisa.
19 Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
E da di se mae nabima: ne, eso huluane gaga: lala.
20 Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
Ha: bagade doaga: sea, E da di mae bogoma: ne ouligimu. Gegesu doaga: sea, E da di mae bogoma: ne gaga: mu.
21 Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
Dunu eno da dia hou wadela: ma: ne baligidu sia: sea, Gode da di gaga: mu. Gugunufinisisu hou da doaga: sea, E da di fidimu.
22 Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
Luduli mimisa: i da dima doaga: sea, di da dodona: gini oumu. Di da gasonasu sigua oheba: le hame beda: mu.
23 Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
Osobo amo di da gidinasea, gele da dialebe hame ba: mu. Nimi bagade sigua ohe da dima hamedafa doagala: mu.
24 Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
Amasea, di da olofole dia abula diasu ganodini esalumu. Di da dia sibi wa: i abodele ba: sea, ili huluane hahawane esalebe ba: mu.
25 Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
Dia mano lalelegemu idi, da gisi lubi ilia idi defele ba: mu.
26 Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
Widi da heda: le, yole, gamisu esoga doaga: sa. Amo defele, di da asigilale, gagoaloidafa ba: mu.
27 Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”
Yoube! Ninia da ode bagohame idili dadawa: beba: le, amo hou huluane dawa: Ninia sia: da dafawane. Amaiba: le, di lalegaguma!”

< Ayubu 5 >