< Ayubu 41 >

1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
¿Sacarás tú al leviatán con el anzuelo, o con la cuerda que le echares en su lengua?
2 Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
¿Pondrás tú garfio en sus narices, y horadarás con espinas su quijada?
3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
¿Por ventura multiplicará él ruegos para contigo? ¿Te hablará él lisonjas?
4 Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
¿Por ventura hará concierto contigo para que lo tomes por siervo perpetuo?
5 Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
¿Jugarás por ventura con él como con pájaro, y lo atarás para tus niñas?
6 Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
¿Por ventura harán banquete por causa de los compañeros? ¿Lo partirán entre los mercaderes?
7 Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
¿Cortarás tú con cuchillo su cuero, o con asta de pescadores su cabeza?
8 Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
Pon tu mano sobre él; te acordarás de la batalla, y nunca más tornarás.
9 Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
He aquí que tu esperanza acerca de él será burlada; porque aun a su sola vista se desmayarán.
10 Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
Nadie hay tan osado que lo despierte; ¿quién pues podrá estar delante de mí?
11 Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
¿Quién me ha anticipado, para que yo restituya? Todo lo que hay debajo del cielo es mío.
12 Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
Yo no callaré sus miembros, ni lo de sus fuerzas y la gracia de su disposición.
13 Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
¿Quién descubrirá la delantera de su vestidura? ¿Quién se llegará a él con freno doble?
14 Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
¿Quién abrirá las puertas de su rostro? Los órdenes de sus dientes espantan.
15 Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
La gloria de su vestido son escudos fuertes, cerrados entre sí estrechamente.
16 Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
El uno se junta con el otro, que viento no entra entre ellos.
17 Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
Pegado está el uno con el otro, están trabados entre sí, que no se pueden apartar.
18 Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
Con sus estornudos encienden lumbre, y sus ojos son como los párpados del alba.
19 Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
De su boca salen hachas de fuego, centellas de fuego proceden.
20 Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
De sus narices sale humo como de una olla o caldero que hierve.
21 Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
Su aliento enciende los carbones, y de su boca sale llama.
22 Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
En su cerviz mora la fortaleza, y delante de él es deshecho el trabajo.
23 Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
Las partes de su carne están pegadas entre sí; está firme su carne en él, y no se mueve.
24 Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
Su corazón es firme como una piedra, y fuerte como la muela de abajo.
25 Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
De su grandeza tienen temor los fuertes, y de sus desmayos se purgan.
26 Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
Cuando alguno lo alcanzare, ni espada, ni lanza, ni dardo, ni coselete durará contra él.
27 Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
El hierro estima por pajas, y el acero por leño podrido.
28 Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Saeta no le hace huir; las piedras de honda se le tornan aristas.
29 Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
Tiene toda arma por hojarascas, y del blandir de la pica se burla.
30 Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
Por debajo tiene agudas conchas; imprime su agudez en el suelo.
31 Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
Hace hervir como una olla el mar profundo, y lo vuelve como una olla de ungüento.
32 Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
En pos de sí hace resplandecer la senda, que parece que el mar es cano.
33 Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
No hay sobre la tierra su semejante, hecho para nada temer.
34 Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”
Menosprecia toda cosa alta; es rey sobre todos los soberbios.

< Ayubu 41 >