< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Then answered Bildad the Shuhite, and said,
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
How long [will it be ere] ye make an end of words? mark, and afterwards we will speak.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Wherefore are we counted as beasts, [and] reputed vile in your sight?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
He teareth himself in his anger: shall the earth be forsaken for thee? and shall the rock be removed out of his place?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Yea, the light of the wicked shall be put out, and the spark of his fire shall not shine.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
The light shall be dark in his tabernacle, and his candle shall be put out with him.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
The steps of his strength shall be straitened, and his own counsel shall cast him down.
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
For he is cast into a net by his own feet, and he walketh upon a snare.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
The gin shall take [him] by the heel, [and] the robber shall prevail against him.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
The snare [is] laid for him in the ground, and a trap for him in the way.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Terrors shall make him afraid on every side, and shall drive him to his feet.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
His strength shall be hungerbitten, and destruction [shall be] ready at his side.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
It shall devour the strength of his skin: [even] the firstborn of death shall devour his strength.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
His confidence shall be rooted out of his tabernacle, and it shall bring him to the king of terrors.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
It shall dwell in his tabernacle, because [it is] none of his: brimstone shall be scattered upon his habitation.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
His roots shall be dried up beneath, and above shall his branch be cut off.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
His remembrance shall perish from the earth, and he shall have no name in the street.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
He shall be driven from light into darkness, and chased out of the world.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
He shall neither have son nor nephew among his people, nor any remaining in his dwellings.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
They that come after [him] shall be astonied at his day, as they that went before were affrighted.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Surely such [are] the dwellings of the wicked, and this [is] the place [of him that] knoweth not God.

< Ayubu 18 >