< Ayubu 13 >

1 Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
Eto, sve je to vidjelo oko moje, èulo uho moje, i razumjelo.
2 Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
Što vi znate, znam i ja, nijesam gori od vas.
3 Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
Ipak bih govorio sa svemoguæim, i rad sam s Bogom pravdati se.
4 Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
Jer vi izmišljate laži, svi ste zaludni ljekari.
5 Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
O da biste sasvijem muèali! bili biste mudri.
6 Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
Èujte moj odgovor, i slušajte razloge usta mojih.
7 Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
Treba li da govorite za Boga nepravdu ili prijevaru da govorite za nj?
8 Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
Treba li da mu gledate ko je? treba li da se prepirete za Boga?
9 Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
Hoæe li biti dobro kad vas stane ispitivati? hoæete li ga prevariti kao što se vara èovjek?
10 Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
Zaista æe vas karati, ako tajno uzgledate ko je.
11 Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
Velièanstvo njegovo neæe li vas uplašiti? i strah njegov neæe li vas popasti?
12 Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
Spomeni su vaši kao pepeo, i vaše visine kao gomile blata.
13 Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
Muèite i pustite me da ja govorim, pa neka me snaðe šta mu drago.
14 Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
Zašto bih kidao meso svoje svojim zubima i dušu svoju metao u svoje ruke?
15 Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
Gle, da me i ubije, opet æu se uzdati u nj, ali æu braniti putove svoje pred njim.
16 Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
I on æe mi biti spasenje, jer licemjer neæe izaæi preda nj.
17 Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
Slušajte dobro besjedu moju, i neka vam uðe u uši što æu iskazati.
18 Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
Evo, spremio sam parbu svoju, znam da æu biti prav.
19 Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
Ko æe se preti sa mnom? da sad umuknem, izdahnuo bih.
20 Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
Samo dvoje nemoj mi uèiniti, pa se neæu kriti od lica tvojega.
21 Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
Ukloni ruku svoju od mene, i strah tvoj da me ne straši.
22 Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
Potom zovi me, i ja æu odgovarati; ili ja da govorim, a ti mi odgovaraj.
23 Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
Koliko je bezakonja i grijeha mojih? pokaži mi prijestup moj i grijeh moj.
24 Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
Zašto sakrivaš lice svoje i držiš me za neprijatelja svojega?
25 Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
Hoæeš li skršiti list koji nosi vjetar, ili æeš goniti suhu slamku,
26 Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
Kad mi pišeš grèine i daješ mi u našljedstvo grijehe mladosti moje,
27 Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
I meæeš noge moje u klade, i paziš na sve staze moje i ideš za mnom ustopce?
28 japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.
A on se raspada kao trulina, kao haljina koju jede moljac.

< Ayubu 13 >