< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
约伯回答说:
2 “Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
你们真是子民哪, 你们死亡,智慧也就灭没了。
3 Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
但我也有聪明,与你们一样, 并非不及你们。 你们所说的,谁不知道呢?
4 Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
我这求告 神、蒙他应允的人 竟成了朋友所讥笑的; 公义完全人竟受了人的讥笑。
5 Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
安逸的人心里藐视灾祸; 这灾祸常常等待滑脚的人。
6 Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
强盗的帐棚兴旺, 惹 神的人稳固, 神多将财物送到他们手中。
7 Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
你且问走兽,走兽必指教你; 又问空中的飞鸟,飞鸟必告诉你;
8 Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
或与地说话,地必指教你; 海中的鱼也必向你说明。
9 Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
看这一切, 谁不知道是耶和华的手做成的呢?
10 Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
凡活物的生命和人类的气息都在他手中。
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
耳朵岂不试验言语, 正如上膛尝食物吗?
12 Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
年老的有智慧; 寿高的有知识。
13 Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
在 神有智慧和能力; 他有谋略和知识。
14 Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
他拆毁的,就不能再建造; 他捆住人,便不得开释。
15 Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
他把水留住,水便枯干; 他再发出水来,水就翻地。
16 Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
在他有能力和智慧, 被诱惑的与诱惑人的都是属他。
17 Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
他把谋士剥衣掳去, 又使审判官变成愚人。
18 Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
他放松君王的绑, 又用带子捆他们的腰。
19 Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
他把祭司剥衣掳去, 又使有能的人倾败。
20 Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
他废去忠信人的讲论, 又夺去老人的聪明。
21 Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
他使君王蒙羞被辱, 放松有力之人的腰带。
22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
他将深奥的事从黑暗中彰显, 使死荫显为光明。
23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
他使邦国兴旺而又毁灭; 他使邦国开广而又掳去。
24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
他将地上民中首领的聪明夺去, 使他们在荒废无路之地漂流;
25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
他们无光,在黑暗中摸索, 又使他们东倒西歪,像醉酒的人一样。

< Ayubu 12 >