< Ayubu 11 >

1 Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
Então respondeu Sofar, o naamathita, e disse
2 “Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
Porventura não se dará resposta á multidão de palavras? E o homen fallador será justificado?
3 Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
A's tuas mentiras se hão de calar os homens? E zombarás tu sem que ninguem te envergonhe?
4 Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
Pois tu disseste: A minha doutrina é pura, e limpo sou aos teus olhos.
5 Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
Mas, na verdade, oxalá que Deus fallasse e abrisse os seus labios contra ti!
6 hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
E te fizesse saber os segredos da sabedoria, que ella é multiplice em efficacia; pelo que sabe que Deus exige de ti menos do que merece a tua iniquidade.
7 Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
Porventura alcançarás os caminhos de Deus? ou chegarás á perfeição do Todo-poderoso?
8 Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
Como as alturas dos céus é a sua sabedoria; que poderás tu fazer? mais profunda do que o inferno, que poderás tu saber? (Sheol h7585)
9 Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
Mais comprida é a sua medida do que a terra: e mais larga do que o mar.
10 kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
Se elle destruir, e encerrar, ou se recolher, quem o fará tornar para traz?
11 Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
Porque elle conhece aos homens vãos, e vê o vicio; e não o terá em consideração?
12 Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
Mas o homem vão é falto de entendimento; sim, o homem nasce como a cria do jumento montez.
13 Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
Se tu preparaste o teu coração, e estendeste as tuas mãos para elle!
14 ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
Se ha iniquidade na tua mão, lança-a para longe de ti e não deixes habitar a injustiça nas tuas tendas.
15 Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
Porque então o teu rosto levantarás sem macula: e estarás firme, e não temerás.
16 Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
Porque te esquecerás dos trabalhos, e te lembrarás d'elles como das aguas que já passaram
17 Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
E a tua vida mais clara se levantará do que o meio dia; ainda que seja trevas, será como a manhã.
18 Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
E terás confiança; porque haverá esperança; e buscarás e repousarás seguro.
19 Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
E deitar-te-has, e ninguem te espantará; muitos supplicarão o teu rosto.
20 Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.
Porém os olhos dos impios desfallecerão, e perecerá o seu refugio: e a sua esperança será o expirar da alma

< Ayubu 11 >