< Ayubu 11 >

1 Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
Wtedy Sofar z Naamy odpowiedział:
2 “Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
Czy nie należy odpowiedzieć na takie mnóstwo słów? Czy człowiek gadatliwy ma być usprawiedliwiony?
3 Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
Czy ludzie mają milczeć na twoje kłamstwa? A gdy kpisz, nikt cię nie zawstydzi?
4 Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
Powiedziałeś bowiem: Moja nauka jest czysta, jestem czysty w twoich oczach.
5 Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
O gdyby Bóg zechciał przemówić i otworzyć usta przeciwko tobie;
6 hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
Gdyby objawił tajemnice mądrości – że zasługujesz na dwa razy większą [karę]. Poznaj więc, ile Bóg ci przebaczył za twoją nieprawość.
7 Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
Czy wybadasz tajemnice Boga? Czy zgłębisz doskonałość Wszechmocnego?
8 Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
Są wyżej niż niebiosa, co [możesz z tym] uczynić? Głębsze niż piekło, czy [możesz je] poznać? (Sheol h7585)
9 Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
Ich miara jest dłuższa niż ziemia i szersza niż morze.
10 kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
Jeśli wycina, zamyka albo gromadzi, któż go powstrzyma?
11 Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
On bowiem zna marność ludzi i widzi niegodziwość. Czy miałby na to nie zważać?
12 Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
Człowiek nierozumny może nabyć rozumu, choć człowiek rodzi się jak źrebię dzikiego osła.
13 Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
Jeśli przygotujesz swoje serce i wyciągniesz do niego swoje ręce;
14 ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
Jeśli w twoich rękach [jest] nieprawość, oddal ją i nie pozwól, aby niegodziwość mieszkała w twoich przybytkach.
15 Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
Wtedy podniesiesz swoje oblicze bez zmazy, będziesz stały i nie będziesz się bał.
16 Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
Zapomnisz bowiem o swojej udręce i wspomnisz ją tak jak wody, które przepłynęły.
17 Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
I [twoje] życie będzie [jaśniejsze] niż południe; twoja ciemność będzie jak poranek.
18 Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
Będziesz ufał, mając nadzieję; będziesz kopać dokoła i odpoczniesz bezpiecznie.
19 Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
Położysz się i nikt cię nie przestraszy; wielu uniży się [przed] twoim obliczem.
20 Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.
Ale oczy niegodziwych przygasną i nie będzie dla nich ucieczki, a ich nadzieja [będzie jak] wyzionięcie ducha.

< Ayubu 11 >