< Yeremia 38 >

1 Shefatia mwana wa Matani, Gedalia mwana wa Pashuri, na Pashuri mwana wa Malkiya alisikia maneno ambayo Yeremia alikuwa akitanganza kwa wato wote. Alikuwa akisema,
Chefatia, fils de Matan, Ghedalia, fils de Pachhour, Youkhal, fils de Chélémia et Pachhour, fils de Malkia eurent connaissance des propos que tenait Jérémie au peuple réuni, à savoir:
2 “Yahwe asema hivi: Yeyote anayeishi kwenye mji huu atauwawa kwa upanga, njaa, na pigo. Lakini yeyote ambaye aendae kwa Wakaldayo ataishi. Atatoroka pamoja na maisha yake mwenyewe, na kuishi.
"Ainsi parle l’Eternel: Quiconque demeurera dans cette ville périra par le glaive, par la famine ou par la peste; mais celui qui en sortira pour se rendre aux Chaldéens aura la vie sauve, son existence sera sa part de butin: il vivra."
3 Yahwe asema hivi: Huu mji huu utapewa kwa mkono wa jeshi la mfalme wa Babeli, na ataukamata.”
Ainsi parle l’Eternel: "Cette ville tombera infailliblement au pouvoir de l’armée du roi de Babylone, qui la prendra de vive force."
4 Kwa hiyo maafisa walisema kwa mfalme, “Acha mtu huu afe, kwa kuwa kwa njia hii anadhofisha mikono ya wanaume wapiganaji waliobaki kwenye mji huu, na mikono ya watu wote. Anatanganza maneno haya, kwa kuwa huyu mtu hafanyi kwa usalama wa watu hawa, lakini kwa majanga.”
Les hauts fonctionnaires dirent alors au roi: "Que cet homme soit donc mis à mort! puisqu’aussi bien il jette le découragement parmi les gens de guerre, qui restent encore dans cette ville, et parmi toute la population, en leur adressant de pareils discours; assurément cet homme ne recherche point le salut de ce peuple, mais sa ruine."
5 Basi mfalme Sedekia alisema, “Tazama, yuko mkononi mwako kwa kuwa hakuna mfalme awezae kumpinga.”
Le roi Sédécias répondit: "Voici, il est entre vos mains, car le roi n’a aucun pouvoir sur vous."
6 Kisha walimchukua Yeremia na kumtupa kwenye kisima cha Malkiya, mwana wa mfalme. Kisima kilikuwa kwenye uwanja wa mlinzi. Walimshusha Yeremia chini kwa kamba. Hapakuwa na maji kwenye kisima, lakini kulikuwa na matope, na alizama chini ya matope.
Ils se saisirent donc de Jérémie, et le jetèrent dans la citerne de Malkia, fils du roi, située dans la cour de la geôle. Ce fut au moyen de cordes qu’ils descendirent Jérémie. Dans la citerne, il n’y avait pas d’eau, mais de la vase, et Jérémie enfonça dans cette vase.
7 Sasa Ebed Meleki Mkushi alikuwa mmoja wa watowashi katika nyumba ya mfalme. Alisikia kwamba walikuwa wamemuweka Yeremia kwenye kisima. Sasa mfalme alikuwa ameketi kwa mlango wa Benjamini.
Ebed-Mélec, l’Ethiopien, eunuque attaché à la maison du roi, ayant appris qu’on avait jeté Jérémie dans la citernele roi se tenait alors à la porte de Benjamin,
8 Basi Ebed Meleki alienda toka nyumba ya mfalme na kuzungumza na mfalme.
Ebed-Mélec sortit donc du palais royal et s’adressa au roi en ces termes:
9 Alisema, “Bwana wangu mfalme, hawa wanaume wamefanya uovu kwa namna walivyomtendea Yeremia nabii. Walimtupa kwenye kisima kwa ajili ya kufa kutokana na njaa, tangu hakuna chakula zaidi katika mji.”
"Seigneur roi, ces hommes-là ont mis le comble aux mauvais traitements infligés à Jérémie, en le jetant dans la citerne, où il mourra de faim sur place, le pain faisant défaut dans la ville."
10 Kisha mfalme alitoa amri kwa Ebed Meleki Mkushi. Alisema, “Chukua amri ya watu thelasini kutoka hapa na mtoe Yeremia nabii nje ya kisima kabla hajafa.”
Le roi donna alors l’ordre suivant à Ebed-Mélec, l’Ethiopien: "Emmène avec toi d’ici une trentaine d’hommes et retire le prophète Jérémie de la citerne avant qu’il succombe."
11 Basi Ebed Meleki alichukua amri ya watu hao na akaenda nyumba ya mfalme, kwenye ghala la nguo chini ya nyumba. Toka hapo alichukua vitambaa na nguo zilizochanika na kuyashusha chini kwa kamba kwa Yeremia ndani ya kisima.
Ebed-Mélec prit ces hommes sous sa direction; il se rendit au palais du roi, pénétra dans une salle sise sous le Trésor, et en emporta de vieux haillons et des lambeaux de vêtements usés. Puis il les lança, avec des cordes, à Jérémie, dans la citerne.
12 Ebed Meleki Mkushi alisema kwa Yeremia, “Weka matambara na nguo zilizoraruka chini ya mikono yako na juu ya kamba.” Basi Yeremia alifanya hivyo.
Ebed-Mélec, l’Ethiopien, dit à Jérémie: "Attache-toi ces vieux haillons et ces vêtements usés sous les aisselles en dessous des cordes", ce que fit Jérémie.
13 Kisha walimvuta Yeremia kwa kamba. Kwa njia hii walimtoa kutoka kisimani. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja wa mlinzi.
De la sorte on hissa Jérémie au moyen des cordes et on le fit remonter de la citerne. Et Jérémie demeura dès lors dans la cour de la geôle.
14 Kisha Mfalme Sedekia alituma neno na kumleta Yeremia nabii kwake, kwenye lango la tatu la nyumba ya Yahwe. Mfalme alisema kwa Yeremia, “Nataka nikuulize kitu. Usinizuilie jibu mimi.”
Le roi Sédécias envoya chercher le prophète Jérémie, qu’il se fit amener dans la troisième avenue de la maison de l’Eternel, et là le roi dit à Jérémie: "J’Ai à te demander quelque chose; ne me dissimule rien."
15 Yeremia alisema kwa Sedekia, “Kama nakujibu, hautaniuawa kwa hakika? Na kama nakupa ushauri, hautanisikiliza mimi.”
Jérémie répondit à Sédécias: "Si je te parle franchement, tu me feras mourir, et si je te donne un conseil, tu ne m’écouteras pas!"
16 Lakini Mfalme Sedekia aliapa kwa Yeremia kwa siri na kusema, “Kama Yahwe aishivyo, yeye aliyetufanya sisi, Sitakuuwa au kukuweka kwenye mkono wa watu wale wanaotafuta maisha yako.”
Le roi Sédécias jura alors à Jérémie dans leur entretien secret, en disant: "Par le Dieu vivant qui nous a donné ce souffle de vie, je ne te ferai pas mourir ni ne te livrerai aux mains de ces gens qui en veulent à tes jours!".
17 Kwa hiyo Yeremia alisema kwa Sedekia, “Yahwe, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama kwa kweli utatoka kwenda kwa maafisa wa mfalme wa Babeli basi utaishi, and mji huu hautachomwa. Wewe na familia yako mtaishi.
Aussitôt Jérémie dit à Sédécias: "Ainsi parle l’Eternel, Dieu-Cebaot, Dieu d’Israël: Si tu te décides à te rendre aux officiers du roi de Babylone, ta vie sera sauve, cette ville ne deviendra pas la proie des flammes, tu vivras, toi et ta famille.
18 Lakini kama hautaenda kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, basi mji huu utachukuliwa kwa mkono wa Wakaldayo. Watauchoma, na hautakwepa kutoka mkono wao.”
Mais si tu ne te rends pas aux officiers du roi de Babylone, cette ville sera livrée aux mains des Chaldéens, qui la détruiront par le feu. Quant à toi, tu ne leur échapperas point."
19 Mfalme Sedekia alisema kwa Yeremia, “Lakini ninaogopa watu wa Yuda waliotoka jangwani kwenda kwa Wakaldayo, kwa sababu nitapewa katika mkono wao, kwa kunifanyia vibaya.”
Le roi Sédécias dit à Jérémie: "Je crains les Judéens qui ont passé aux Chaldéens. Peut-être me livrera-t-on entre leurs mains et subirai-je leurs outrages."
20 Yeremia alisema, “Hawatakutoa kwao. Tii ujumbe toka kwa Yahwe ambao ninakuambia, ili kusudi mambo yataenda vizuri kwako, na ili kusudi utaishi.
Jérémie répliqua: "On ne te livrera pas! Ecoute donc la voix de l’Eternel concernant ce que je te dis: tu t’en trouveras bien et ta vie sera sauve.
21 Lakini kama unakataa kutoka, hivi ndivyo Yahwe amenionesha mimi.
Mais si tu refuses de te rendre, voici la conséquence que m’a fait voir l’Eternel:
22 Tazama! Wanawake wote walioachwa kwenye nyumba yako, mfalme wa Yuda, ataletwa kwa maafisa wa mfalme wa Babeli. Hawa wanawake watasema kwako, “Umedaganywa na rafiki zako; wamekuharibu. Miguu yako sasa imezama kwenye matope, na rafiki zako watakimbia.'
Toutes les femmes qui sont restées dans le palais du roi de Juda seront amenées aux officiers du roi de Babylone, tandis qu’elles s’écrieront: "Ils t’ont leurré et triomphé de toi, les hommes qui possédaient ton amitié. Maintenant que tes pieds sont enfoncés dans la fange, ils se sont éloignés de toi."
23 Kwa kuwa wake zenu wote na watoto wataletwa kwa Wakaldayo, na wewe mwenyewe hautatoroka nchi yao. Utashikwa na mkono wa mfalme wa Babeli, na mji huu utachomwa.”
Oui, tes femmes et tes fils, tous, on les conduira auprès des Chaldéens, et toi-même ne leur échapperas point. Tu seras livré au pouvoir du roi de Babylone, et cette ville deviendra la proie des flammes."
24 Kisha Sedekia alisema kwa Yeremia, “Usimjulishe yeyote kuhusu maneno haya, ili kwamba usije kufa.
Sédécias dit à Jérémie: "Que personne ne sache rien de ces propos, sans cela tu es un homme mort!
25 Kama maafisa wanasikia kwamba nimeongea na wewe- kama wanakuja na kusema kwako, 'Tuambia umezungumza nini pamoja na mfalme. Usitufiche, au tutakuuwa. Na tuambie nini mfalme amesema kwako'-
Et si les officiers apprennent que j’ai eu un entretien avec toi et qu’ils viennent te trouver et te dire: Répète-nous donc ce que tu as dit au roi; ne nous dissimule rien, si tu ne veux que nous te fassions périr. Et qu’est-ce que le roi t’a dit de son côté?
26 kisha unapaswa kusema nao, “Nilishawishiana pamoja na mfalme asirudi kwangu kwa nyumba ya Yonathan nitakufa humo.”
Tu leur répondras: J’Ai supplié instamment le roi de ne pas. me faire réintégrer la maison de Jonathan, où je succomberais."
27 Kisha maafisa wote walikuja kwa Yeremia na kumuuliza, basi aliwajibu kama mfalme alivyomuelekeza. Basi waliacha kuongea pamoja naye, kwa sababu hawakusikia mazungumzo kati ya Yeremia na mfalme.
Tous les officiers abordèrent en effet Jérémie pour l’interroger; mais il leur répondit dans les termes mêmes que le roi avait prescrits. Ils le laissèrent en repos, car rien n’avait transpiré.
28 Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja wa mlinzi mpaka siku ile Yerusalem ilipotekwa.
Et Jérémie demeura dans la cour de la geôle jusqu’au jour où Jérusalem fut prise. Et voici ce qui arriva après la prise de Jérusalem.

< Yeremia 38 >