< Yeremia 32 >

1 Neno likaja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe katika mwaka wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza.
Słowo, które doszło do Jeremiasza od PANA w dziesiątym roku Sedekiasza, króla Judy, a [był] to osiemnasty rok Nabuchodonozora.
2 Katika wakati huo, jeshsi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka Yerusalemu, na Nehemia nabii alikuwwa amefungwa katika uwanja wa walinzi katika nyumba ya mfalme wa Yuda.
W tym czasie wojsko króla Babilonu obległo Jerozolimę, a prorok Jeremiasz był zamknięty na dziedzińcu więzienia, które [znajdowało się] w domu króla Judy.
3 Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga na kusema, “Kwa nini unatabiri na kusema, 'Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kuweka mji huu katika mikono ya mfalme wa Babeli, na atauteka.
Uwięził go bowiem Sedekiasz, król Judy, mówiąc: Czemu prorokujesz tymi słowami: Tak mówi PAN: Oto wydam to miasto w ręce króla Babilonu, a on je zdobędzie;
4 Sedekia mfalme wa Yuda hatapona kutoka kwenye mikono ya Wakaldayo, kwa maana hakika atatiwa katika mkono wa mfalme wa Babeli. Mdomo wake utazumzia kwenye mdomo wa mfalme, na macho yake yatayaona macho ya mfalme.
Sedekiasz zaś, król Judy, nie ujdzie z rąk Chaldejczyków, ale na pewno będzie wydany w ręce króla Babilonu i będzie z nim rozmawiał z ust do ust, i zobaczy go oko w oko;
5 Atampeleka Sedekia Babeli, na atabaki huko hadi nimuadhibu—hili ni tangazo la Yahwe. Ingawa unapigana dhidi ya Wakaldayo, hautafanikiwa.”
I uprowadzi Sedekiasza do Babilonu, i będzie tam, aż go nawiedzę, mówi PAN. A jeśli będziecie walczyć z Chaldejczykami, nie poszczęści się wam.
6 Yeremia akasema, “Neno la Yahwe likaja kwangu, likisema, Angalia, Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako anakuja kwako na atasema,
Wtedy Jeremiasz odpowiedział: Doszło do mnie słowo PANA mówiące:
7 “Linunue shamba langu ambalo liko katika Anathothi kwa ajili yako, kwa maana haki ya kununua ni yako.””
Oto Chanameel, syn Szalluma, twego stryja, przyjdzie do ciebie i powie: Kup sobie moje pole, które [jest] w Anatot, bo do ciebie należy prawo wykupu, aby [je] nabyć.
8 Kisha, kama Yahwe alivyotangaza, Hanameli, mwana wa mjomba wangu, akaja kwangu katika uwanja wa walinzi, na akasema kwangu, 'Linunue shamba langu kwa ajili yako ambalo liko Anathothi katika nchi ya Benyamini, kwa maana haki ya urithi ni ya kwako, na haki ya kulinunua ni yako. Linunue kwa ajili yako.' Kisha nilijua kuwa hili lilikuwa neno la Yahwe.
I Chanameel, syn mego stryja, przyszedł do mnie na dziedziniec więzienia zgodnie ze słowem PANA, i powiedział do mnie: Proszę, kup moje pole, które [jest] w Anatot, w ziemi Beniamina, bo do ciebie [należy] prawo dziedzictwa i wykupu; kup [je] sobie. Wtedy zrozumiałem, że [było to] słowo PANA.
9 Kwa hiyo nililinua shamba katika Anathothi kutoka kwa Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na nilipima fedha kwa ajili yake, shekeli kumi na saba katika uzito.
I kupiłem od Chanameela, syna mego stryja, pole, które było w Anatot, i odważyłem mu pieniądze – siedemnaście syklów srebra.
10 Kisha niliandika katika barua na kuitia muhuri, na kulikuwa na mashadi wakaishuhudia. Kisha nikampa fedha katika mizani.
Spisałem akt, zapieczętowałem go, ujawniłem wobec świadków i odważyłem pieniądze na wadze.
11 Kisha nikaichukua hati ya manunuzi ambayo ilikuwa imepigwa muhuri, kwa kuifuata amri na taratibu, na kama ilivyo ada.
Potem wziąłem akt kupna, zarówno ten zapieczętowany zgodnie z prawem i przepisami, jak i ten otwarty;
12 Ile barua nikampa Baruku mwana wa Neria wa Maaseya mbele ya Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na mashahidi waliotia sahihi kwenye barua iliyopigwa muhuri, na mbele ya Wayahudi wote waliokaa katika uwanja wa walinzi.
I oddałem ten akt kupna Baruchowi, synowi Neriasza, syna Machsejasza, na oczach Chanameela, [syna] mego stryja, i na oczach świadków, którzy podpisali ten akt kupna, i na oczach wszystkich Żydów, którzy siedzieli na dziedzińcu więzienia.
13 Kwa hiyo nikampa amri Baruku mbele yao. Nilisema,
I nakazałem Baruchowi w ich obecności, mówiąc:
14 Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Chukua nyaraka hizi, vyote hati hii ya manunuzi iliyopigwa muhuri na nakala zisizopigwa muhuri za manunuzi, na uziweke katika chungu cha udongo ili vidumu kwa muda mrefu.
Tak mówi PAN zastępów, Bóg Izraela: Weź te akty, zarówno zapieczętowany akt kupna, jak [i] ten otwarty, i włóż je do naczynia glinianego, aby przetrwały wiele lat.
15 Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nyumba, mashamba, na mashamba ya mizabibu vitanunuliwa tena katika nchi hii.
Tak bowiem mówi PAN zastępów, Bóg Izraela: Znowu będzie się kupowało domy, pola i winnice w tej ziemi.
16 Baada ya kumpa Baruki mwana wa Neria ile hati ya manunuzi, nikaomba kwa Yahwe nikasema,
A po przekazaniu aktu kupna Baruchowi, synowi Neriasza, modliłem się do PANA tymi słowami:
17 Ole, Bwana Yahwe! Angalia! Wewe peke yako umezitengeneza mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulioinuka. Hakuna kitu ambacho ukisema kwako ni kigumu sana kukifanya.
Ach, Panie BOŻE! Oto uczyniłeś niebo i ziemię swoją wielką mocą i wyciągniętym ramieniem i nie ma dla ciebie rzeczy zbyt trudnej.
18 Wewe huonesha agano la uaminifu kwa maelfu na kumimina makosa ya wanadamu katika mapaja ya watoto wao baada yao. Wewe ni Mungu mkuu na mwenye nguvu.
Okazujesz miłosierdzie tysiącom i odpłacasz nieprawość ojców w zanadrze ich synów po nich. Bóg wielki i potężny, PAN zastępów – to twoje imię;
19 Wewe ni mkuu katika hekima na una nguvu katika matendo, kwa maana macho yako yanaona njia zote za watu, ili kumlipa kila mtu stahiki ya matendo yake.
Wielki w radzie i potężny w dziele, ponieważ twoje oczy są otwarte na wszystkie drogi synów ludzkich, by oddać każdemu według jego dróg i według owoców jego uczynków.
20 Ulifanya ishara na maajabu katika nchi ya Misiri. Hata leo hapa Israeli na kati ya wanadamu wengine wote, umelifanya jina lako kuwa maarufu.
Czyniłeś znaki i cuda w ziemi Egiptu aż do dziś, zarówno w Izraelu, jak i [wśród] innych ludzi, i uczyniłeś sobie imię, jak to [jest] dzisiaj.
21 Kwa maana uliwanunua watu wako Israeli kwa ishira na maajabu, kwa mkono hodari, kwa mkono ulioinuka, na kwa hofu kuu.
Wyprowadziłeś swój lud Izraela z ziemi Egiptu wśród znaków i cudów potężną ręką i wyciągniętym ramieniem, i wśród wielkiego strachu;
22 Kisha uliwapa nchi hii—ambayo uliapa kwa babu zao kwamba utawapa—nchi itiririkayo maziwa na asali.
I dałeś im tę ziemię, którą przysiągłeś dać ich ojcom, ziemię opływającą mlekiem i miodem.
23 Hivyo walingia na kuimiliki. Lakini hawakuitii sauti yako wala kuishi kwa kuitii sheria yako. Hawakufanya chochote ulichowaamuru kufanya, kwa hiyo umeleta juu yao majanga haya yote.
A gdy weszli i posiedli ją, nie usłuchali twojego głosu i nie postępowali według twojego prawa; nie wypełnili nic z tego wszystkiego, co im rozkazałeś wypełnić. Dlatego sprawiłeś, że spotkało ich to całe nieszczęście.
24 Angalia! Urefu wa maboma haya umefika hadi kwenye mji ili kuuteka. Kwa sababu ya upanga, njaa, na tauni, mji umetiwa kwenye mikono ya Wakaldayo wanaopigana dhidi yake. Kwa maana ulichosema kitatokea sasa kinatokea, na ona, unatazama.
Oto wały usypano przeciwko miastu, aby je zdobyć, miasto jest wydane w ręce Chaldejczyków, którzy walczą przeciw niemu, przez miecz, głód i zarazę. Stało się, jak powiedziałeś, sam to widzisz.
25 Kisha wewe mwenyewe uliniambia, “Nunua shamba kwa fedha kwa ajili yako na mashahidi wameshuhudia, ingawa mji huu unatiwa mikononi mwa Wakaldayo.””
Ty jednak, Panie BOŻE, powiedziałeś mi: Kup sobie to pole za pieniądze i ujawnij to wobec świadków, choć miasto jest już wydane w ręce Chaldejczyków.
26 Neno la Mungu likaja kwa Yeremia, likisema,
I doszło słowo PANA do Jeremiasza mówiące:
27 “Angalia! Mimi ni Yahwe, Mungu wa wanadamu wote. Kuna kitu cho chote kigumu sana kwangu kukifanya?
Oto jestem PANEM, Bogiem wszelkiego ciała. Czy jakakolwiek rzecz jest dla mnie zbyt trudna?
28 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi, 'Ona, niko karibu kuutia mji huu kwenye mikono ya Wakaldayo na Nebukadreza, mfalme wa Babeli. Atauteka.
Dlatego tak mówi PAN: Oto wydaję to miasto w ręce Chaldejczyków i w ręce Nabuchodonozora, króla Babilonu, i on je zdobędzie.
29 Wakaldayo wanaopigana dhidi ya mji huu watakuja na kuwasha moto kwenye mji huu na kuunguza, pamoja na nyumba juu ya paa la watu waliomwabudu Baali na kumimina dhabihu kwa miungu wengine ili kunikasirisha.
A Chaldejczycy, którzy walczą przeciwko temu miastu, wejdą i podłożą ogień pod to miasto, i spalą je wraz z domami, na których dachach palili kadzidło Baalowi i wylewali ofiary z płynów innym bogom, aby mnie pobudzić do gniewu.
30 Kwa maana watu wa Israeli na Yuda hakika wamekuwa watu wanaofanya maovu mbele ya macho yangu tangu ujana wao. Watu wa Israeli hakika wameniudhi kwa matendo ya mikono yao—hili ni tangazo la Yahwe.
Synowie Izraela bowiem i synowie Judy od swojej młodości czynią tylko to, co jest złe w moich oczach. Tak, synowie Izraela tylko drażnili mnie dziełami swoich rąk, mówi PAN.
31 Yahwe anatangaza kwamba mji huu umekuwa sababu ya hasira yangu na ghadhabu yangu tangu siku walipoujenga. Umekuwa hivyo hata leo. Kwa hiyo nitaundoa mbele ya uso wangu
To miasto bowiem jest powodem mojej zapalczywości i gniewu od dnia, kiedy je zbudowali, aż do dzisiaj, tak że usunę je sprzed mego oblicza;
32 kwa sababu ya uovu wote wa watu wa Israeli na Yuda, mambo waliyofanya ili kunichukiza—wao, wafalme wao, wana wa wafalme, makuhani, manabii, na kila mtu katika Yuda na wakaaji wa Yerusalemu.
Z powodu wszelkiego zła synów Izraela i synów Judy, które popełniali, by pobudzić mnie do gniewu, oni, ich królowie i książęta, ich kapłani i prorocy, Judejczycy i mieszkańcy Jerozolimy.
33 Wamenigeuzia migongo yao badala ya nyuso zao, ingawa niliwafundisha kwa furaha. Nilijitahidi kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyenisikiliza ili kupokea marekebisho.
Obrócili się do mnie tyłem, a nie twarzą, i chociaż ich nauczałem z wczesnym wstawaniem i nauczaniem, oni jednak nie słuchali, aby przyjąć pouczenie.
34 Walisimamisha sanamu zao za ajabu katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kunitia unajisi.
Umieścili swoje obrzydliwości w domu, nad którym jest nazwane moje imię, by go zbezcześcić.
35 Wakazijenga sehemu za juu katika Bonde la Beni Hinomu ili kuwatia katika moto wana wao na binti zao kwa ajili ya Moleki. Mimi sikuwaagiza. Sikuweka akilini mwangu kamwe kwamba watafanya mambo maovu na kwa hiyo kuwasabisha Yuda watende dhambi.
Zbudowali wyżyny Baala w dolinie syna Hinnom, by przeprowadzić swoich synów i swoje córki [przez ogień] ku [czci] Molocha, czego im nie nakazałem, nie przyszło mi nawet na myśl, by czynić tę obrzydliwość i Judę przywodzić do grzechu.
36 Kwa hiyo sasa, Mimi, Yahwe, Mungu wa Israeli, kuhusu mji huu ninasema hivi, 'mji ambao mnasema, 'Umetiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli kwa upanga, njaa, na pigo.'
Dlatego teraz tak mówi PAN, Bóg Izraela, o tym mieście, o którym wy mówicie: Zostanie wydane w ręce króla Babilonu przez miecz, głód i zarazę:
37 Ona, niko karibu kuwakusanya kutoka kila nchi nilikowapeleka katika hasira yangu, ghadhabu, hasira kuu. Niko karibu kuwarudisha kwenye sehemu hii na kuwawezesha kuishi katika usalama.
Oto zgromadzę ich ze wszystkich ziem, do których ich wygnałem w swoim gniewie, w swoim oburzeniu i w wielkiej zapalczywości i przyprowadzę ich z powrotem na to miejsce, i sprawię, że będą mieszkać bezpiecznie.
38 Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
I będą moim ludem, a ja będę ich Bogiem.
39 Nitawapa moyo mmjoa na na njia moja ya kuniheshimu kila siku ili kwamba yawepo mema kwa ajili yao na uzao wao baada yao.
I dam im jedno serce i jedną drogę, aby bali się mnie przez wszystkie dni, dla dobra ich samych i ich dzieci po nich.
40 Kisha nitafanya pamoja nao agano la milele, ili nisiache kufanya mema kwa ajili yao. nitajiwekea heshima katika mioyo yao, ili kwamba wasiniache.
I zawrę z nimi wieczne przymierze, że się od nich nie odwrócę i nie przestanę im dobrze czynić, lecz włożę w ich serca moją bojaźń, aby nie odstępowali ode mnie.
41 Kisha nitajifurahisha katika kufanya mema kwao. Kwa uaminifu nitawapanda katika anchi hii kwa moyo wangu wote na maisha yangu yoye.
I będę się radował z nich, aby wyświadczyć im dobro, i osadzę ich z pewnością w tej ziemi z całego swego serca i całą swoją duszą.
42 Kwa amaana Yahwe anasema hivi, 'Kama tu nilivyoyaleta majanga haya makubwa yote juu ya watu hawa, hivyo hivyo nitaleta juu yao mambo mema niliyosema kwamba nitafanya kwa ajili yao.
Tak bowiem mówi PAN: Jak sprowadziłem na ten lud całe to nieszczęście, tak sprowadzę na niego całe dobro, które mu obiecałem.
43 Basi mashamba yatanunuliwa katika nchi hii, ambayo mnaisema, “Hii ni nchi iliyoharibiwa, isiyo na mwanadamu wala mnyama. Imetiwa mikononi mwa Wakaldayo”
Wtedy będzie się kupować pola w tej ziemi, o której mówicie: Jest tak spustoszona, że nie ma w niej ani człowieka, ani zwierzęcia, jest wydana w ręce Chaldejczyków.
44 Watanunua mashamba kwa fedha na kuandika katika barua zilizopigwa muhuri. Watawakusanya mashahidi katika nchi ya Benyamini, wote kuzunguka Yerusalemu na miji ya Yuda katika miji ya nchi yenye vilima, na katika nchi tambarare, na katika miji ya Negebu. Kwa maana nitawarejesha wafungwa wao—hili ni tangazo la Yahwe.”'
Będą kupować pola za pieniądze i spisywać akty, zapieczętowywać je [i] ujawniać wobec świadków w ziemi Beniamina, w okolicach Jerozolimy, w miastach Judy, w miastach górskich, w miastach dolin i w miastach na południu. Odwrócę bowiem ich niewolę, mówi PAN.

< Yeremia 32 >