< Isaya 9 >

1 Viza itaondolewa kwa yeyote ambaye yuko kwenye dhiki. Katika kipindi cha awali aliifedhehesha nchi ya Zebuluni na nchi ya Naftali, lakini kipindi cha baadae ataifanya itukuke, njia ya kuelekea baharini, mbele ya Yordani na mataifa ya Galilaya.
Mrok jednak nie będzie taki, jak [był] w czasie jej ucisku, gdy [Bóg] dotknął ziemię Zebulona i ziemię Neftalego, ani [jak] potem, [gdy] trapił ją przy drodze morskiej za Jordanem, w Galilei pogan.
2 Watu wanotembeakatika giza wameona wameona mwanga mkubwa; wale waishio katika nchi ya uvuli wa mauti, mwanga umewaka juu yao.
Lud, który chodził w ciemności, ujrzał wielką światłość, a mieszkającym w ziemi cienia śmierci zajaśniała światłość.
3 Umeliongeza taifa; umeongeza furaha yao. Wamefurahia mbele yako kama furaha ya kipindi cha mavuno, kama watu wanavyofurahi kugawanya nyara.
Rozmnożyłeś ten naród, ale nie zwiększyłeś radości. Będą się jednak radować przed tobą, jak się radują w czasie żniwa, jak się radują przy podziale łupów;
4 Maana nira ya mzigo wake, boriti katika mabega yake, fimbo ya mkandamizaji, umesambaratisha ndoto kama siku ya Midiamu.
Gdyż złamałeś jarzmo jego ciężaru i laskę jego ramienia, pręt jego ciemięzcy, jak za dni Midianitów.
5 Kila buti likanyagalo gasia na vazi limekwisha kwenye damu itachomwa, mafuta kwa moto.
Każdej bitwie wojowników towarzyszą trzask i szaty zbroczone krwią, lecz tej – spalenie i ogień.
6 Kwetu mtoto amezaliwa, kwetu mtoto ametoka; na mtawala atakuwa kwenye mabega yake; na jina lake ataitwa mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa Amani.
Dziecko bowiem narodziło się nam, syn został nam dany. Na jego ramieniu spocznie władza, a nazwą go imieniem: Cudowny, Doradca, Bóg Mocny, Ojciec Wieczności, Książę Pokoju;
7 Enzi yake na amani yake haitakuwa na mwisho, maana anatawala katika kiti cha enzi cha Daudi, na juu ya ufalme wake, ataanzisha hukumu ya haki, tangu sasa na hata milele. Bidii ya Yahwenwa majeshi itafanya haya.
A rozszerzeniu jego władzy i pokoju nie będzie końca, [zasiądzie] na tronie Dawida i nad jego królestwem, aż je ustanowi i utwierdzi sądem i sprawiedliwością, odtąd i na wieki. Dokona tego gorliwość PANA zastępów.
8 Bwana alituma neno juu ya Yakobo, na ikaanguka juu ya Israeli,
Pan posłał słowo do Jakuba i spadło na Izraela.
9 Watu wote watajua, Hata Samaria na wakazi wote wa Samaria, wanaongea kwa kiburi na moyo wenye kiburi,
Pozna je cały lud, Efraim i mieszkańcy Samarii, którzy mówią w pysze i wyniosłości serca:
10 Matofali yameanguka, lakini tutajenga tena kwa jiwe la patasi; mkuyu umekatwa chini, lakini tutaotesha mierezi katika eneo lao.
Cegły rozsypały się, ale [my] będziemy budować ciosanym kamieniem. Wycięto sykomory, ale [my] zastąpimy [je] cedrami.
11 Hivyo basi Yahwe atamwinua juu yao Rezini, adui zake, atawakoroga adui zake,
PAN wywyższy wrogów Resina przeciwko niemu i zjednoczy jego nieprzyjaciół;
12 Waaramea upande wa mashariki, na wafilisti upande wa magharibi. Nao watamla Israeli kwa mdomo uliowazi. katika mambo yote haya hasira yake haijapungua; badala yake ameunyosha mkono wake nje.
Syryjczyków z przodu i Filistynów z tyłu; i pożrą Izraela całą paszczą. Mimo tego wszystkiego jego gniew nie ustał, ale jego ręka jest jeszcze wyciągnięta.
13 Lakini hawatageuka kwa yule anayewapiga wao, wala kumtafuta Yahwe wa majeshi.
Lud bowiem nie nawraca się do tego, który go bije, ani nie szuka PANA zastępów;
14 Hivyo basi yao atakata kichwa nakiwiwili cha Israeli, kuti na nyasi, katika siku moja.
Dlatego PAN odetnie Izraelowi głowę i ogon, gałąź i sitowie, w jednym dniu.
15 Viongozi na watu wenye vyeo na manabii wanaofundisha kuwa uongo ni mkia.
Starzec i dostojnik – to głowa, a prorok, który uczy kłamstwa – to ogon.
16 Wale wanaowaongoza watu hawa wanawaongoza vibaya, na wale wanaongozwa wameangamia.
Przywódcy tego ludu stali się bowiem zwodzicielami, a ci, którym przewodzą, giną.
17 Hivyo basi Bwana atafurahia juu ya vijana wadogo wala hatakuwa na huruma kwa yatima na wajane, maana kila mmoja hana Mungu na ni watenda dhambi, na kila mdomo unazungumza matendo mabaya. Mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake mkono wake umenyooka hata sasa.
Dlatego Pan nie ucieszy się z jego młodzieńców i nie zlituje się nad jego sierotami i wdowami. Wszyscy bowiem są obłudni i niegodziwi, a każde usta mówią sprośności. Mimo tego wszystkiego jego gniew nie ustał, ale jego ręka jest jeszcze wyciągnięta.
18 Matendo mabaya yataungua kama moto, moto hulao mbigili na miiba; itachoma hata vichaka vya mwitu, na safu ya moshi mkubwa upaa.
Niegodziwość bowiem płonie jak ogień, pożre głogi i ciernie, potem zapali się w gęstwinach lasu, skąd jak dym unoszą się.
19 Japo hasira ya Yahwe wa majeshi imeunguza, na watu ni kama mafuta kwenye moto. Hakuna mtu aliyemuacha ndugu yake.
Od gniewu PANA zastępów zaćmi się ziemia, a ten lud będzie jak strawa dla ognia. Nikt nie oszczędzi swego brata.
20 Watanyakuwa chakula katika mkono kulia lakini bado watasikia njaa; watakula chakula kwa mkono wa kushoto lakini hawataridhika. Kila mmoja atakula nyama ya mkono wake mwenyewe.
A porwie, co [znajduje się] po prawej stronie, ale nadal będzie głodny; zje, co z lewej, ale nie nasyci się. Każdy z nich będzie pożerać ciało swego ramienia;
21 Manase; kwa pamoja watavamia Yuda. Mambo yote haya, hasira yake haitapungua; badala yake, amenyoosha mkono wake hata sasa.
Manasses – Efraima, a Efraim – Manassesa, a obaj razem [będą] przeciwko Judzie. Mimo tego wszystkiego jego gniew nie ustał, ale jego ręka [jest] jeszcze wyciągnięta.

< Isaya 9 >