< Isaya 7 >

1 Siku zile wakati Ahazi mtoto wa Yothani mtoto wa Uzia, mfalme wa Yuda, Rezeni mfalme wa Amramu, na Peka mtoto wa Remaelia, mfalme wa Israeli, walienda Yerusalemu kupigana vita nao, lakini hawakuweza kushinda vita.
And it happened in the days of Ahaz, the son of Jotham, the son of Uzziah, the king of Judah, that Rezin, the king of Syria, and Pekah, the son of Remaliah, king of Israel, ascended to Jerusalem to battle against it. But they were not able to defeat it.
2 Ilitaarifiwa kwa nyumba ya Daudi kwamba Amramu amejiunga na Efraimu. Moyo wake na moyo watu wake ukatetemeka, kama vile miti ya misitu inavyopepea kwa upepo.
And they reported to the house of David, saying: “Syria has withdrawn to Ephraim.” And his heart was shaken, with the heart of his people, just as the trees of the forest are moved by the face of the wind.
3 Ndipo Yahwe akamwambia Isaya, ''Nenda nje na kijana wako, Sheari Jashubu ukaonane na Ahazi mwisho wa mfereji wa birika la juu, katika njia kuu ya uwanja Dobi.
And the Lord said to Isaiah: Go out to meet Ahaz, you and your son, Jashub, who was left behind, to the end of the aqueduct, at the upper pool, on the road to the fuller’s field.
4 Mwambie, 'awe makini, awe mtulivu, asiogope au vitisho kwa sababu ya mikia hii miwili ya vingi hivi vitokavyo moshi, kwa sababu ya hasira kubwa ya Resini na Amramu, na mtoto wa Remalia.
And you shall say to him: “See to it that you are silent. Do not be afraid. And have no dread in your heart over the two tails of these firebrands, nearly extinguished, which are the wrath of the fury of Rezin, king of Syria, and of the son of Remaliah.”
5 Amramu, Ephraimu, na mtoto wa Remaeli wamepanga mabaya juu yako; wamesema, '' njooni tuwavamie Yuda na kuwaogopesha,
For Syria has undertaken a plan against you, with the evil of Ephraim and the son of Remaliah, saying:
6 njooni tujipange na tumueweke mfalme wetu ndani ya Yuda, mtoto wa Tabaeli.''
“Let us ascend to Judah, and stir it up, and tear it away for ourselves, and appoint the son of Tabeel as a king in its midst.”
7 Bwana Yahwe asema, ''haitatokea; haitaonekana,
Thus says the Lord God: This shall not stand, and this shall not be.
8 maana kichwa cha Amramu ni Damaskasi, na kishwa cha Damaskasi ni Rezini. Ndani ya miaka sitini na tano, ndoto za Ephraimu zitasambaratishwa na hapatakuwa na watu.
For the head of Syria is Damascus, and the head of Damascus is Rezin; and within sixty-five years from now, Ephraim will cease to be a people.
9 Efraimu ni kichwa Samaria, na kishwa cha Samaria ni mtoto wa Remaria. Na kama hamtasimama imara katika imani yenu, hakika hamtakuwa salama''.
For the head of Ephraim is Samaria, and the head of Samaria is the son of Remaliah. If you will not believe, you will not continue.
10 Bwana akaongea tena na Ahazi,
And the Lord spoke further to Ahaz, saying:
11 ''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol h7585)
Ask for a sign for yourself from the Lord your God, from the depths below, even to the heights above. (Sheol h7585)
12 Lakini Ahazi anasema, sintomba wala kumjaribu Yahwe.''
And Ahaz said, “I will not ask, for I will not tempt the Lord.”
13 Hivyo Isaya akajibu, ''sikilizen, nyumba ya Daudi. Je haijatosha kwa watu kuujaribu uvumilivu wa watu? Je ni lazima kuujaribu uvumilivu wa Mungu?
And he said: “Then listen, O house of David. Is it such a small thing for you to trouble men, that you must also trouble my God?
14 Hivyo basi Mungu mwenyewe atawapa yeye mwenywe ishara: ona, mwanamke bikira atapata mimba na kumzaa mtoto, na atamwita Emanueli.
For this reason, the Lord himself will grant to you a sign. Behold, a virgin will conceive, and she will give birth to a son, and his name will be called Immanuel.
15 Atakula siagi na asali na wakati anapojua kuyakataa maovu na kuchagua mema.
He will eat butter and honey, so that he may know to reject evil and to choose good.
16 Maana kabla mtoto ajajua kuyakataa maovu na kuchagua mema, nchi ambayo wewe unawachukia wafalme itakuwa ukiwa.
But even before the boy knows to refuse evil and to choose good, the land that you detest will be abandoned by the face of her two kings.
17 Yahwe ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako siku hazijatimmia tangu Efraimu alipompokea Yuda- atamleta mfalme wa Asiria.''
The Lord will lead over you, and over your people, and over the house of your father, such days as have not occurred since the days of the separation of Ephraim from Judah by the king of the Assyrians.
18 Mda huo Yahwe atapuliza filimbikwa ajili ya kupaa kutoka mkondo wa umbali wa Misri, na maana nyuki kutoka nchi ya Asiria.
And this shall be in that day: the Lord will call for the fly, which is in the most distant parts of the rivers of Egypt, and for the swarm, which is in the land of Assur.
19 Zitakuja na kukaa chini ya korongo, ndani ya mapango ya miamba, kwenye vichaka vya miba, na kwenye malisho.
And they will arrive, and they all will rest in the torrents of the valleys, and in the caverns of the rocks, and in every thicket, and in every opening.
20 Katika mda huo Bwana atamnyoa kichwani kichwani na nywele za miguuni kwa wembe ulioazimwa mto Efrarate— mfalme wa Asiria - na vilevile utasafisha ndevu zote.
In that day, the Lord will shave with a razor the ones hired by those who are across the river, by the king of the Assyrians, from the head to the hairs of the feet, with the entire beard.
21 Siku hiyo, mtu atahifadhi ndama na na kondoo wawili,
And this shall be in that day: a man will raise a cow among oxen, and two sheep,
22 na kwasababu ya maziwa yatakayo patikana ni mengi, atakula siagi, maana kila atakaye bakia kwnye nchi atakula siagi na asali.
and, instead of an abundance of milk, he will eat butter. For all who are left behind in the midst of the land will eat butter and honey.
23 Mda huo, kutakuwa na maelfu ya mizabibu na thamani elfu za shekeli, hakutakuwa na kitu zaidi ya kuzalisha mbigiri na miiba.
And this shall be in that day: every place, where there were a thousand grapevines worth a thousand pieces of silver, will become thorns and briers.
24 Watu watenda pale kuwinda kwa upinde, kwa sababu nchi yote itazalisha mbigiri na miiba.
They will enter such places with arrows and bows. For briers and thorns will be throughout the entire land.
25 Watakaa mbali na vilima vitalimwa kwa jembe, kwa sababu ya hofu ya mbigiri na miiba, lakini hapo patakuwa mahali pa kuchungia ngo'mbe na kondoo
But as for all the mountains, which will be dug with a hoe, the terror of thorns and briers will not approach those places. And there will be pasture land for oxen, and a range for cattle.”

< Isaya 7 >