< Isaya 38 >

1 Siku zile Hezekia alikuwa anaumwa karibia na kufa. Hivyo Isaya mtoto wa Amozi, nabii alikuja kwake na kumwambia, ''Yahwe amesema, 'panga mambo yako maana utakufa, hautaishi.'
Ke pacl se inge Tokosra Hezekiah el masak ac apkuran in misa. Mwet palu Isaiah, wen natul Amoz, el som nu yorol ac fahk nu sel, “LEUM GOD El fahk mu kom in akoela ma nukewa in wo, mweyen kom ac tia kwela. Kom ac misa.”
2 'Halafu Hezekia akaugeukia ukuta na akamuomba Yahwe.
Hezekiah el forang nu pe sinka uh ac pre:
3 Na akasema, ''samahani Yahwe, kumbuka jinsi nilivyoenenda kwa uaminifu mbele zako kwa moyo wangu wote, na jinsi nilivyofanya matendo mema katika macho yako.'' Na Hezekia akalia kwa sauti.
“LEUM GOD, esam lah nga kulansupwekom ke inse pwaye ac suwohs, ac pacl nukewa nga srike na nga in oru ma lungse lom.” Na el mutawauk in tung arulana upa.
4 Basi neno la Yawe likamjia Isaya, na kusema,
Na LEUM GOD El sap Isaiah elan
5 ''Nenda ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ''Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi babu yenu, amesema: Nimeyasikiliza maombi yako, na nimeyaona machozi yako. Ona ninakaribia kuongeza miaka kumi na tano katika maisha yako.
folokla nu yorol Hezekiah ac fahk nu sel, “Nga, LEUM GOD lal David, papa matu tomom, lohng pre lom ac liye sroninmotom. Nga ac fah lela nu sum in sifilpa moul ke yac singoul limekosr.
6 Na nitakukomboa wewe pamoja mji huu kutoka kwenye mkono wamfalme wa Asiria, na nitaulinda huu mji.
Nga fah molikomla ac siti Jerusalem lukel Tokosra Fulat lun Assyria, ac nga fah karinganangna siti se inge.”
7 Na hii itakuwa alama kwako kutoka kwangu, Yahwe, kwamba nitafanya nilichokisema:
Isaiah el topuk ac fahk, “LEUM GOD El ac sot sie akul nu sum in akpwayei lah El ac liyaung wulela lal.
8 Angalia, nitasababisha kimvuli katika nyumba ya Ahazi kwenda nyuma hautua kumi.'' hivvyo basi kivuli kilirudi nyuma hatua kumi juu ya nyumba iliyopanda juu.
Ke nien fan se ma musaiyukla sel Tokosra Ahaz, LEUM GOD El ac oru lulin faht uh in foloki fahluk singoul.” Na lul sac foloki ke fahluk singoul.
9 Haya ndiyo maandishi ya maombi ya Hezekia mfalme wa Yuda, alipokuwa anaumwa halafu akapona:
Tukun Hezekiah el kwela liki mas lal, el simusla on in kaksak soko inge:
10 ''Nimesema kwamba nusu ya maisha yangu nitapita katika mlango wa kuzimu; Nilitumwa pale miaka yangu yote. (Sheol h7585)
Nga pangon mu nga ac som nu in facl sin mwet misa Ke pacl se nga sun kuiyen moul luk, Ac tiana aksafyela moul luk. (Sheol h7585)
11 Nikasema sitamuona tena Yahwe, Yahwe kaika nchi ninayoishi; sitaangalia watu tena au wenyeji wa dunia hii.
Nga tuh nunku mu in facl sin mwet moul inge Nga fah tiana sifilpa liye LEUM GOD Ku kutena mwet moul.
12 Maisha yangu yameondolea na kupelekwa mbali na mimi kama hema la mchungaji; Niliyakunja maisha yangu juu kama mfumaji; ameniondoa katika kifungo; kati ya mchana na usiku ameyakomesha maisha yangu.
Moul luk uh utukla likiyu, Oana sie lohm nuknuk ma tuleyuki, Oana sie nuknuk ma laslasla liki mwe tol nuknuk. Nga nunku mu God El aksafyela moul luk.
13 Nililia mpaka asubuhi; kama simba anaivunja mifupa yangu. Kati ya usiku na mchana ameyakomesha maisha yangu.
Nga tung fong nufon se ke ngal, Oana lion soko in koteya sri keik. Nga nunku mu God El aksafyela moul luk.
14 Kama mbayuwayu ndivyo nilivyolia; nililia kama njiwa; macho yangu yalichoka kuangalia juu. Bwana ninateseka; nisaidie mimi.
Pusrek munasla ac srikeni, Ac nga sasao oana sie wule. Atronmutuk totola ke nga nget nu inkusrao. LEUM GOD, moliyula liki mwe lokoalok inge nukewa.
15 Niseme nini? wote wameongea na mimi na amefanya hivyo; Nitatembea taratibu miaka yangu yote maana ninayashinda kwa huzuni.
Mea nga ku in fahk? LEUM GOD pa oru ma inge. Insiuk keoklana, ac nga tia ku in motul.
16 Bwana, mateso uliyoyatuma ni mazuri kwangu; ikiwezekana nirudishiwe tena maisha yangu; umeyahifadhi maisha maisha yangu na afya yangu.
LEUM GOD, nga ac moul nu sum, nu sum mukena; Akeyeyula ac lela nu sik in moul.
17 Ni kwa faida yangu kwamba nimwpitia huzuni kama hii. Umenikomboa kutoka kwenye shimo la uharibifu; maana umetupa dhambi zangu nyuma yako.
Keok luk fah ekla nu ke inse misla. Kom molela moul luk liki mwe sensen nukewa; Kom sisla ma koluk luk nukewa.
18 Maana kuzimu hapata kushukuru wewe; kifo hakikusifu wewe; wale wote waendao ndani ya shimo hawana matumaini ya uaminifu wako. (Sheol h7585)
Wangin sie mwet in facl sin mwet misa ku in kaksakin kom; Mwet misa tia ku in lulalfongi ke oaru lom. (Sheol h7585)
19 Mtu anayeishi, mtu anayeishi, ndiye anayekushukuru wewe, kama ninavyofanya leo; baba atawjulisha watoto uaminifu wako.
Mwet moul pa kaksakin kom, Oana ke nga kaksakin kom inge. Papa uh fahk nu sin tulik natulos lupan oaru lom.
20 Yahwe anakarbia kunikomboa mimi, na tutasherekea kwa mziki siku zote za maisha yetu katika nyumba ya Yahwe.''
LEUM GOD, kom akkeyeyula. Kut fah srital ke harp ac onkakin kom; Kut fah alullul ke on in kaksak in Tempul lom ke lusen moul lasr.
21 Sasa Isaya alisema, ''Waacheni wachukue donge mitini na kuliweka kweye jipu naye atapona.
Na Isaiah el fahk nu sel tokosra elan apisya ono se orekla ke fokinsak fig nu ke faf kacl ah, na el ac fah kwela.
22 ''Hezekia pia alisema, ''Je ni ishara gan ya kwamba nitaiende juu katika nyumba ya Yahwe?''
Na Tokosra Hezekiah el siyuk, “Akul fuka se ac akpwayei lah nga ac ku in sifilpa som nu in Tempul?”

< Isaya 38 >