< Isaya 34 >

1 Njooni karibu enyi mataifa, sikilizeni na muwe makini, enyi watu! Dunia na vyote vijazavyo vinatakiwa kusikiliza, dunia na vyote vitokavyo,
Приступите, языцы, и услышите, князи: да слышит земля и живущии на ней, вселенная и людие, иже на ней.
2 Maana Yahwe ana hasira na mataifa yote, ana hasira dhidi ya majeshi yao; amewaangamiza wao kabisa, ameawakabidhi kwa wachinjaji.
Зане ярость Господня на вся языки и гнев на число их, еже погубити их и предати я на заклание.
3 Miili ya watu wao waliokufa itatupwa nje. Harufu ya miili iliyokffa itakuwa kila mahali; na mlilima italowekwa kwa damu yao.
И язвении их повергнутся и мертвецы, и взыдет их смрад, и намокнут горы кровию их:
4 Nyota zote angani zitafifia, na anga litakunjwa kama kitabu; na nyota zake zitafifia mbali, kama tawi linavyonyauka kwenye mzabibu, kama tunda lilokomaa kwenye mti.
и истают вся силы небесныя, и свиется небо аки свиток, и вся звезды спадут яко листвие с лозы, и якоже спадает листвие смоковницы.
5 Maana pale upanga wangu utakapokunywa na kushiba mbinguni; tazama, maana sasa utakuja chini huko Edomu, kwa watu ambao nimewaweka mbali na adhabu.
Упися мечь Мой на небеси: се, на Идумею снидет и на люди пагубныя с судом.
6 Upanga wa Yahwe unadondosha matone ya damu na kufunikwa kwa mafuta, matone ya damu ya kondoo na mbuzi, yamefunikwa kwa figo za kondoo. Maana Yahwe ametoa sadaka katika Bozra na mauwaji katika nchi ya Edomu.
Мечь Господень наполнися крове, растолсте туком, от крове козлов и агнцев и от тука козлов и овнов: яко жертва Господеви в Восоре, и заклание велие во Идумеи.
7 Ng'ombe wa porini watachinjwa pamoja na wao, fahali wakubwa na fahali wadogo. Nchi yao italewa kwa damu, na mavumbi yake yatafanjwa kuwa mafuta na mafuta yaliyonona.
И падут с ними сильнии, и овны и юнцы, и упиется земля от крове и от тука их насытится:
8 Maana itakuwa ni siku ya kisasi kwa Yahwe na mwaka ambao anawalipa kwa sababu ya Sayuni.
день бо суда Господня, и лето воздаяния суда Сионя.
9 Mifereji ya Edomu itageuka kuwa lami, na mavumbi yake yatakuwa kiberiti na nchi itakuwa kama lami inayoungua.
И обратятся дебри его в смолу, и земля его в жупел,
10 Itaungua usiku na mchana; moshi wake utatoka daima; na patakuwa nyika kizazi hata kizazi; na hakuna hata mmoja atakayepita hapo milele na milele.
и будет земля его горящи яко смола днем и нощию, и не угаснет в вечное время, и взыдет дым ея высоце, в роды своя опустеет.
11 Lakini ndege na wanyama porini wataishi pale; bundi na kunguru watatengeneza viota vyao pale. Atanjoosha juu yake futi kamba ya uharibifu na pima maji ya uharibifu.
И во время много птицы и ежеве, совы и вранове возгнездятся в нем: и возложат нань уже землемерно пустыни, и онокентаври вселятся в нем.
12 Wenye vyeo hawatakuwa na kitu kilichobakia kuita ufalme, na wakuu wote watakuwa si kitu.
Князи его не будут: царие бо и вельможи его будут в пагубу.
13 Miiba itaota katika maeneo yao, viwavi na mbigiri vitakuwa katika ngome zao. Yatakuwa makao ya mbweha, makazi ya mbuni.
И возникнут во градех их терновая древеса и во твердынех его, и будут селения сирином и селища струфионом:
14 Wanyama wa porini na fisi watakusanyika pale, na mbuzi wa porini watalia wao kwa wao. Nyakati za usiku wanyama watakaa pale na watajitafutia wenywe mahali pa kupumzikia.
и срящутся беси со онокентавры и возопиют друг ко другу, ту почиют онокентаври, обретше себе покоища:
15 Bundi watatengeneza viota vyao, na kutotolea mayai yao, kila mmoja na mwenzake.
тамо возгнездится ежь, и сохранит земля дети его со утверждением: тамо елени сретошася и увидеша лица друг друга.
16 Kutafuta kupitia kitabu cha Yahwe; hakuna hata kimoja ambacho hakitakuwepo. Hakuna kitakacho kosa mwenzake; maana mdoma wake umeamuru hivyo, roho yake imewakusanya wao.
Числом преидоша, и един и них не погибе, друг друга не взыска, яко Господь заповеда им, и дух Его собра я.
17 Atapiga kura katika eneo lao, na mkono wake umewapima kwa kamba. Wataimiliki daima; kutoka kizazi hata kizazi wataishi pale.
И Той вержет им жребия, и рука Его раздели пастися: в вечное время наследите, в роды родов почиют в нем.

< Isaya 34 >