< Mwanzo 5 >

1 Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
यह आदम का नसबनामा है। जिस दिन ख़ुदा ने आदम को पैदा किया; तो उसे अपनी शबीह पर बनाया।
2 Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
मर्द और औरत उनको पैदा किया और उनको बरकत दी, और जिस दिन वह पैदा हुए उनका नाम आदम रख्खा।
3 Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
और आदम एक सौ तीस साल का था जब उसकी सूरत — ओ — शबीह का एक बेटा उसके यहाँ पैदा हुआ; और उसने उसका नाम सेत रख्खा।
4 Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
और सेत की पैदाइश के बाद आदम आठ सौ साल ज़िन्दा रहा, और उससे बेटे और बेटियाँ पैदा हुई।
5 Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
और आदम की कुल उम्र नौ सौ तीस साल की हुई, तब वह मरा।
6 Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
और सेत एक सौ पाँच साल का था जब उससे अनूस पैदा हुआ।
7 Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
और अनूस की पैदाइश के बाद सेत आठ सौ सात साल ज़िन्दा रहा, और उससे बेटे और बेटियाँ पैदा हुई।
8 Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
और सेत की कुल उम्र नौ सौ बारह साल की हुई, तब वह मरा।
9 Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
और अनूस नव्वे साल का था जब उससे क़ीनान पैदा हुआ।
10 Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
और क़ीनान की पैदाइश के बाद अनूस आठ सौ पन्द्रह साल ज़िन्दा रहा, और उससे बेटे और बेटियाँ पैदा हुई।
11 Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
और अनूस की कुल उम्र नौ सौ पाँच साल की हुई, तब वह मरा।
12 Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
और क़ीनान सत्तर साल का था जब उससे महललेल पैदा हुआ।
13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
और महललेल की पैदाइश के बाद क़ीनान आठ सौ चालीस साल ज़िन्दा रहाऔर उससे बेटे और बेटियाँ पैदा हुई।
14 Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
और क़ीनान की कुल उम्र नौ सौ दस साल की हुई, तब वह मरा।
15 Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
और महललेल पैंसठ साल का था जब उससे यारिद पैदा हुआ।
16 Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
और यारिद की पैदाइश के बाद महललेल आठ सौ तीस साल ज़िन्दा रहा, और उससे बेटे और बेटियाँ पैदा हुई।
17 Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
और महललेल की कुल उम्र आठ सौ पचानवे साल की हुई, तब वह मरा।
18 Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
और यारिद एक सौ बासठ साल का था जब उससे हनूक पैदा हुआ।
19 Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
और हनूक की पैदाइश के बाद यारिद आठ सौ साल ज़िन्दा रहा, और उससे बेटे और बेटियाँ पैदा हुई।
20 Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
और यारिद की कुल उम्र नौ सौ बासठ साल की हुई, तब वह मरा।
21 Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
और हनूक पैंसठ साल का था उससे मतुसिलह पैदा हुआ।
22 Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
और मतूसिलह की पैदाइश के बाद हनूक तीन सौ साल तक ख़ुदा के साथ — साथ चलता रहा, और उससे बेटे और बेटियाँ पैदा हुई।
23 Henoko aliishi miaka 365.
और हनूक की कुल उम्र तीन सौ पैंसठ साल की हुई।
24 Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
और हनूक ख़ुदा के साथ — साथ चलता रहा, और वह ग़ायब हो गया क्यूँकि ख़ुदा ने उसे उठा लिया।
25 Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
और मतूसिलह एक सौ सतासी साल का था जब उससे लमक पैदा हुआ।
26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
और लमक की पैदाइश के बाद मतूसिलह सात सौ बयासी साल ज़िन्दा रहा, और उससे बेटे और बेटियाँ पैदा हुई।
27 Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
और मतूसिलह की कुल उम्र नौ सौ उनहत्तर साल की हुई, तब वह मरा।
28 Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
और लमक एक सौ बयासी साल का था जब उससे एक बेटा पैदा हुआ।
29 Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
और उसने उसका नाम नूह रख्खा और कहा, कि यह हमारे हाथों की मेहनत और मशक़्क़त से जो ज़मीन की वजह से है जिस पर ख़ुदा ने ला'नत की है, हमें आराम देगा।
30 Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
और नूह की पैदाइश के बाद लमक पाँच सौ पंचानवे साल ज़िन्दा रहा, और उससे बेटे और बेटियाँ पैदा हुई।
31 Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
और लमक की कुल उम्र सात सौ सत्तर साल की हुई, तब वह मरा।
32 Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.
और नूह पाँच सौ साल का था, जब उससे सिम, हाम और याफ़त, पैदा हुए।

< Mwanzo 5 >