< Mwanzo 19 >

1 Malaika wawili wakaja Sodoma jioni, wakati ambao Lutu alikuwa amekaa langoni mwa Sodoma. Lutu akawaona, akainuka kuwalaki, na akainama uso wake chini ardhini.
Ke lipufan luo ah tuku nu Sodom in eku sac, Lot el muta ke mutunpot in siti uh. Ke pacl se na el liyaltalak, el tuyak in paingultal. El pasrla ye mutaltal
2 Akasema, Tafadhari Bwana zangu, nawasihi mgeuke mwende kwenye nyumba ya mtumishi wenu, mlale pale usiku na muoshe miguu yenu. Kisha muamke asubuhi na mapema muondoke.” Nao wakasema, “Hapana, usiku tutalala mjini.”
ac fahk, “Mwet kacto, nunak munas fahsru wiyu nu lohm ah. Komtal ku in ohlla niomtal ac mongla yorosr ofong. Lututang komtal fah sa tukakek ac fahsr nu yen komtal ac som nu we.” Tusruktu eltal topuk ac fahk, “Tari, kut ac mongla na pe inkanek uh ofong.”
3 Lakini akawasihi sana, mwishowe wakaondoka pamoja nae, na wakaingia katika nyumba yake. Akaandaa chakula na kuoka mkate usiotiwa chachu, wakala.
El kwafeltal nwe ke na eltal tari welul som nu lohm sel. Lot el elyai mwet kulansap lal in munanla kutu flao ac akoo sie mongo na yuyu nu sin mwet fahsr inge. Ke akoeyukla tari, na elos mongoi.
4 Lakini kabla hawaja lala, wanaume wa mji, wa Sodoma, vijana kwa wazee wakaizunguka nyumba, wanaume wote kutoka kila kona ya mji.
Meet liki mwet fahsr luo inge motulla, mukul in acn Sodom nukewa tuku raunela lohm sac — kewana mwet fusr ac mwet matu.
5 Wakamwita Lutu, na kumwambia, “Wale wanaume walioingia kwako usiku wakowapi? watoe hapa nje waje kwetu, ili tuweze kulala nao.”
Elos pangyak nu sel Lot ac siyuk, “Pia mukul luo ma tuku in mongla yurum ofong uh? Usaltalu nu yorosr! Kut ke ona yoroltal.”
6 Lutu akatoka nje na akafunga mlango.
Lot el illa nu likinuma, ac kaleang srungul ah.
7 Akasema, “Nawasihi, ndugu zangu, msitende uovu.
El fahk nu selos, “Nunak munas, nga kwafe suwos, nimet oru kain ouiya koluk se inge!
8 Tazama, nina mabinti wawili ambao hawajawahi kulala na mwanaume yeyote. Nawaomba tafadhari niwalete kwenu, na muwafanyie lolote muonalo kuwa jema machoni penu. Msitende lolote kwa wanaume hawa, kwa kuwa wamekuja chini ya kivuli cha dari yangu.”
Liye, oasr acn luo nutik su soenna etu mwet. Lela ngan usaltalu nu yuruwos, ac kowos ku in oru kutena ma kowos lungse oru nu seltal. Tusruktu nimet kowos oru kutena ma nu sin mukul luo inge. Eltal mwet fahsr nu in lohm sik, ac nga enenu in liyaltalang.”
9 Wakasema, “Ondoka hapa!” Wakasema pia, huyu alikuja kukaa hapa kama mgeni, na sasa amekuwa mwamuzi! Sasa tutakushugulilia vibaya wewe kuliko wao.” Wakamsonga sana huyo mtu, huyo Lutu, na wakakaribia kuvunja mlango.
Na elos fahk, “Tiok liki kut! Kom mwetsac se! Su kom an in fahk nu sesr ma kut in oru? Tiok! Kom fin tia som, kut ac oru in upa nu sum lukeltal.” Elos sinukunulla Lot ac kilukyang in kunausla srungul ah.
10 Lakini wale wanaume wakamkamata Lutu na kumweka ndani na wakafunga mlango.
Tusruktu mukul luo ah saplakla ololak Lot nu in lohm ah, ac kaleang srungul ah.
11 Kisha wale wageni wa Lutu wakawapiga kwa upofu wale wanaume waliokuwa nje ya nyumba, vijana na wazee kwa pamoja, kiasi kwamba wakachoka wakati wakiutafuta mlango.
Na eltal konela mutun mwet nukewa likinuma, oru elos in tia ku in konauk mutunoa uh.
12 Basi wale watu wakamwambia Lutu, Je una mtu mwingine yeyote hapa? wakwe zako, wanao na mabinti zako, na yeyote mwingine katika huu mji, ukawatoe hapa.
Mukul luo ac fahk nu sel Lot, “Fin oasr kutena mwet lom saya yenu — wen, ku acn, ku wen talupom, ku kutena mwet lom su muta in siti uh — usalosla liki acn se inge,
13 Kwa kuwa tunakaribia kuiangamiza sehemu hii, kwa sababu mashitaka dhidi yake mbele ya Yahwe yamezidi kiasi kwamba ametutuma kuuangamiza.”
mweyen kut ac kunausla siti se inge. LEUM GOD El lohng tukak na koluk lain mwet in acn se inge, oru El supwekutme in kunausla acn Sodom.”
14 Lutu akatoka na akazungumza na wakwe zake, wanaume ambao walikuwa wamewaposa binti zake, akawambia, “Ondokeni upesi mahali hapa, kwa kuwa Yahwe anakaribia kuuangamiza mji.” Lakini kwa wakwe zake alionekana kuwa anawatania.
Na Lot el som nu yurin mukul luo ma acn natul ah akola in payuk se, ac fahk, “Tal sulaklak som liki acn se inge. LEUM GOD El ac kunausla acn uh.” Tusruktu eltal nunku mu el aksruksruk.
15 Alfajiri, malaika wakamsihi Lutu, wakisema, ondoka, mtwae mkeo na binti zako wawili ambao wako hapa, ili kwamba usipotelee katika adhabu ya mji huu.”
Toang na in lotu se tok ah, lipufan luo ah srike in elyaelak Lot. Eltal fahk, “Aksaye! Eis mutan kiom ac acn luo nutum an ac som, tuh kowos in tia misa ke siti uh ac kunausyukla.”
16 Lakini akakawia-kawia. Kwa hiyo watu wale wakamshika mkono wake, na mkono wa mkewe, na mikono ya binti zake wawili, kwa sababu Yahwe alimhurumia. Wakawatoa nje, na kuwaweka nje ya mji.
Lot el wetokla, tusruktu LEUM GOD El pakomutal. Ke ma inge mwet luo ah sruokya paol Lot ac mutan kial ac acn luo natul, ac kololosla nu likin siti uh.
17 Wakisha kuwatoa nje mmoja wa wale watu akasema, “jiponye nafsi yako! usitazame nyuma, au usikae mahali popote kwenye hili bonde. Toroka uende milimani ili kwamba usije ukatoweshwa mbali.”
Na sie sin lipufan ah fahk, “Kasrusr, suk moul lomtal! Nikmet tapulla ac nikmet tui infalfal uh. Kaing nu fin inging uh, tuh kowos in tia misa.”
18 Lutu akawambia, “Hapana, tafadhali bwana zangu!
A Lot el fahk, “Mo, nunak munas, tari tia angan.
19 Mtumishi wenu amepata kibali machoni pako, na umenionesha wema ulio mkuu kwa kuokoa maisha yangu, lakini sitaweza kutorokea milimani, kwa sababu mabaya yataniwahi na nitakufa.
Yohk tari ma kom oru wo nu sik, ac lungkulang lom molela moul luk. Tusruktu inging uh arulana loesla nu inge. Mwe ongoiya ma ac sikyak inge ac ukweyuwi ac uniyuwi meet liki nga ku in sun acn we.
20 Tazama, ule mji pale uko karibu nijisalimishe pale, na ni mdogo. Tafadhari niacheni nikimbilie pale ( Je Siyo mdogo ule?), na maisha yangu yataokolewa.”
Kom liye siti srisrik se ingo? Fototo na. Lela nga in som nu we. Finne acn na srisrik se, nga ac ku in moulla we.”
21 Akamwambia, “Sawa, nimekubali ombi hili pia, kwamba sitaangamiza mji ambaoumeutaja.
El topuk, “Kwal aok, nga insese. Nga ac tia kunausla siti srisrik sacn.
22 Harakisha! toroka uende pale, kwa kuwa sitafanya chochote mpaka ufike pale.” kwa hiyo mji ule ukaitwa Soari.
Sulaklak! Kasrusr! Nga tia ku in oru kutena ma nwe ke na kom sun acn we.” Ke sripen Lot el pangon srik siti sac, pwanang pangpang acn we Zoar.
23 Jua lilikuwa limekwisha chomoza juu ya nchi wakati Lutu alipofika Soari.
Faht ah takak ke pacl se Lot el sun acn Zoar.
24 Kisha Yahwe akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka kwa Yahwe mbinguni.
In kitin pacl ah na LEUM GOD El ukuiya sulfur firir oana af uh nu fin acn Sodom ac Gomorrah
25 Akaharibu miji ile, na bonde lote, na vyote vilivyomo katika miji, na mimea iliyo chipua juu ya ardhi.
ac kunausla acn we, oayapa infalfal uh nufon, wi mwet nukewa we ac ma nukewa ma kapak fin acn we.
26 Lakini mke wa Lutu aliye kuwa nyuma yake, akatazama nyuma, na akawa nguzo ya chumvi.
Tusruktu mutan kial Lot ah tapulla, ac el ekla nu ke sru in sohl soko.
27 Abraham akaamuka asubuhi na mapema akaenda mahali alipokuwa amesimama mbele ya Yahwe.
Toang na ke lotu toko ah, Abraham el sulaklak na som nu yen se el tuh tu ye mutun LEUM GOD we.
28 Akatazama chini kuelekea Sodoma na Gomora na kuelekea katika nchi yote bondeni. Akaona na tazama, moshi ulikuwauki ukienda juu kutoka chini kama moshi wa tanuru.
El ngeta nu fin acn Sodom ac Gomorrah, ac nu infalfal sac nufon, ac liye kulasr fosryak liki acn we, oana fofosr ke sie funyu lulap.
29 Wakati Mungu alipoharibu miji ya bondeni, Mungu akamkumbuka Abraham. Akamtoa Lutu kutoka katika maangamizi alipoangamiza miji ambayo katika hiyo Lutu aliishi.
Tusruktu ke God El kunausla siti nukewa infalfal sac yen Lot el muta we, El nunku kacl Abraham, ac lela tuh Lot elan painmoulla.
30 Lakini Lutu akapanda juu kutoka Soari na kwenda kuishi katika milima akiwa pamoja na binti zake wawili, kwa sababu aliogopa kuishi Soari. Kwa hiyo akaishi pangoni, yeye na binti zake wawili.
Ac ke sripen Lot el tuh sangeng in muta in acn Zoar, el ac acn luo natul utyak nu fin inging uh ac muta in luf se we.
31 Yule wa kwanza akamwambia yule mdogo, “Baba yetu ni mzee, na hakuna mwanaume mahali popote wa kulala na sisi kulingana na desturi ya dunia yote.
Mutan se ma matu seltal el fahk nu sin tamtael lal, “Papa tumasr el munaslana, a wangin mukul fin faclu nufon in payuk sesr kut in ku in orek tulik.
32 Njoo na tumnyweshe baba yetu mvinyo na tulale naye ili kwamba tuendeleze uzao wa baba yetu.”
Tari, kut kitalya papa elan sruhila, na kut ona yorol ac orek tulik kacl.”
33 Kwa hiyo wakamnywesha baba yako mvinyo usiku ule. Kisha yule wa kwanza akaingia na akalala na baba yake; Baba yake hakujua ni wakati gani alikuja kulala, wala wakati alipo amka.
In fong sac eltal kitalya ke wain, ac acn matu sac ona yorol. Tusruktu Lot el tiana etu mweyen el arulana sruhila.
34 Siku iliyo fuata yule wa kwanza akamwambia mdogowake, “Sikiliza, usiku wa jana nililala na baba yangu. Na tumnyweshe mvinyo usiku wa leo pia, na uingie ukalale naye. Ili kwamba tuendeleze uzao wa baba yetu.”
Len tok ah, acn matu sac fahk nu sin tamtael lal, “Nga motulla yorol fong. Ofong kut sifilpa orala elan sruhila, na kom ona yorol. Na ac fah oasr fokin papa tumasr uh yorosr kewa.”
35 Kwa hiyo wakamnywesha baba yao mvinyo usiku ule pia, na yule mdogo akaenda na akalala naye. Baba yake hakujua ni wakati gani alilala, wala wakati alipoamka.
Ouinge in fong sac eltal sifilpa orala el sruhila, ac tamtael fusr sac ona yorol. Lot el tia pacna etu, mweyen el arulana sruhila.
36 Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
Eltal oru ouinge, na acn luo natul Lot kewana pututuyak sin papa tumaltal ah.
37 Wa kwanza akazaa mwana wa kiume, na akamwita jina lake Moabu. Akawa ndiye baba wa wamoabu hata leo.
Oasr wen se nutin tamtael matu sac, ac el sang inel Moab. El pa papa tumun mwet Moab nwe misenge.
38 Nayule mdogo naye akazaa mwana wa kiume, na akamwita Benami. Huyu ndiye baba wa watu wa Waamoni hata leo.
Tamtael fusr sac oasr pac wen se natul, su el sang inel Benammi. El pa papa tumun mwet Ammon nwe misenge.

< Mwanzo 19 >