< Mwanzo 17 >

1 Wakati Abram alipokuwa na umri wa miaka tisini na tisa, Yahwe alimtokea Abram na akamwambia, “Mimi ni Mungu wa uwezo. Uende mbele yangu, na uwe mkamilifu.
Abram too sio nulu sio ma, LAMATUALAIN natudꞌu Aon neu e nae, “Au ia, Lamatualain fo Mana Koasa. Ho musi tungga mukundoo Au hihii Ngga, ma musodꞌa no ndo-tetuꞌ.
2 Kisha nitalithibitisha agano langu kati yangu mimi na wewe, na nitakuzidisha sana.
Au ae tao manggatee hehelu-fufuliꞌ Ngga, fo tao tititi-nonosi mara ramaheta.”
3 Abram akainama uso wake hadi chini ardhini na Mungu akazungumza naye, akisema,
Abram rena nala ma ana sendeꞌ lululangga na ma naloe langga na losa rae a. Lamatualain o olaꞌ nakandoo nae,
4 “Mimi, tazama, agano langu liko nawe. Utakuwa baba wa mataifa mengi.
“Au helu-fuli o nggo, taꞌo ia: Dei fo ho dadꞌi leo naeꞌ bei-baꞌi nara. Naa de, nara ma nda afiꞌ Abram sa (sosoa na ‘amaꞌ nenenahineꞌ’), te nara ma dadꞌi Abraham (sosoa na ‘nusaꞌ naeꞌ bei-baꞌi nara’).
5 Wala jina lako halitakuwa tena Abram, bali jina lako litakuwa Abraham - kwa kuwa ninakuchagua kuwa baba wa mataifa mengi.
6 Nitakufanya uwe na uzao mwingi zaidi, na nitakufanya mataifa, na wafalme watatoka kwako.
Dei fo Au tao tititi-nonosiꞌ mara ramahefu-ramabela. Au ufefela leo naeꞌ mia se, ma soꞌu maneꞌ naeꞌ mia tititi-nonosi naa ra.
7 Nitaimarisha agao langu kati yangu mimi na wewe na uzao wako baada yako, katika vizazi vyao vyote kwa agano la milele, nitakuwa Mungu kwako na kwa wazao wako baada yako.
Au toꞌu uhereꞌ hehelu Ngga o nggo ma tititi-nonosi mara. Hehelu-fufuliꞌ ia nda etu sa, huu Au ia, ho mo tititi-nonosi mara Lamatualain ma.
8 Nitakupa wewe, na wazao wako baada yako, nchi ambayo ulikuwa unaishi, nchi yote ya Kanaani, kuwa miliki ya milele, na nitakuwa Mungu wao.”
Basa rae Kanaꞌan ia, Au fee neu nggo mo tititi-nonosi mara. Oras ia, ho numban a sia ia. Dei fo tititi-nonosi mara soa rae Kanaꞌan ia losa doo na neu. Ma Au o dadꞌi sira Lamatualain na.
9 Kisha Mungu akamwambia Abraham, “nawe lazima ulishike agano langu, wewe pamoja na uzao wako baada yako kwa vizazi vyao.
Te ho mo tititi-nonosi mara musi toꞌu mihereꞌ hehelu-fufuliꞌ ia losa babasa na. Basa touꞌ ra musi sunat.
10 Hili ndilo agano langu, ambalo utalishika, kati yangu na wewe na wazao wako baada yako: Kila mwanaume wa kwenu lazima atahiriwe.
11 Lazima mtatahiriwa katika nyama ya govi la ngozi ya mbele, na hii itakuwa ishara ya agano kati yangu mimi na ninyi.
Ia naa, ho musi muu sunat basa touꞌ mia fai beꞌe faluꞌ ra. Ho bobꞌonggi ma, atahori mana tao ues ra, no ate fo hasa mia nusa feaꞌ, basa se musi sunat. Sunat ia, dadꞌi hita ruꞌa nggita bukti hehelu-fufuliꞌ na sia hei ao mara.
12 Kila mwanaume wa kwenu aliye na umri wa siku nane lazima atahiriwe, katika vizazi ya watu wenu. Hii ni pamoja na yule azaliwaye katika nyumba yako na yeye ambaye amenunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni yeyote ambaye si mmoja wa wazao wako.
13 Mtu ambaye amezaliwa katika nyumba yako na yule aliye nunuliwa kwa fedha yako lazima atahiriwe. Hivyo agano langu litakuwa katika mwili wenu kuwa agano la milele.
14 Mwanaume yeyote asiye tahiriwa katika mwili govi la ngozi yake ya mbele atatengwa na watu wake. Amevunja agano langu.”
Touꞌ bee nda sunat sa naa, ana nda masoꞌ sia Au hehelu-fufuli Ngga rala, ma nda dadꞌi Au atahori Ngga sa.”
15 Mungu akamwambia Abraham, “kwa habari ya Sarai mkeo, usimuite tena Sarai. Badala yake jina lake litakuwa Sara.
Basa de, Lamatualain olaꞌ nakandoo nae, “Mia faiꞌ ia, ho afiꞌ moꞌe sao ma, mae Sarai, te maeꞌ a Sara.
16 Nitambariki, na nitakupatia mtoto wa kiume kwake. Nitambariki, na atakuwa mama wa mataifa. Wafalme wa watu wa mataifa watapatikana kutokana na yeye.
Dei fo Au fee papala-babꞌanggiꞌ naeꞌ neu Sara, fo ana bonggi fee nggo ana touꞌ esa. Tebꞌe! Dei fo Sara dadꞌi leo naeꞌ bei-baꞌi nara. Au o soꞌu maneꞌ naeꞌ mia tititi-nonosi na.”
17 Kisha Abraham akainama uso wake hadi ardhini, na akacheka, akasema moyoni mwake, Je yawezekana mtoto azaliwe kwa mwanaume ambaye ana umri wa miaka miamoja? na Je Sara, ambaye ana umri wa miaka tisini anaweza kuzaa mwana?”
Boe ma Abraham sendeꞌ lululangga na, ma beꞌutee losa rae a. Te ana mali sia rala na, ma duꞌa nae, “Tou lasi naeꞌ too natun esa onaꞌ au ia, feꞌe hambu anaꞌ? Ma Sara o lasi naeꞌ too sio nulu naa, feꞌe nae bꞌonggi ena?”
18 Abraham akamwambia Mungu, “Lau Ishmaeli angeweza kuishi kabla yako!”
De ana nafadꞌe Lamatualain nae, “Lamatualain. Hela fo Ismael hambu au hata-heto ngga o, nda saa saꞌ boe.”
19 Mungu akasema, Hapana, Sarai mkeo atakuzalia mtoto wa kiume na utamwita jina lake Isaka. Nita imarisha agano langu na yeye kama agano la milele pamoja na uzao wake baada yake.
Te Lamatualain nataa nae, “Hokoꞌ! Mete te sao ma Sara bꞌonggi ana touꞌ esa. Ho musi babꞌae naran, Isak. Au hehelu-fufuli Ngga tudꞌa neu e, no tititi-nonosi nara, losa doo na neu.
20 Na kwa habari ya Ishmaeli nimekusikia. Tazama, ninambariki, na nitamfanya kuwa na uzao na kumzidisha maradufu. Atakuwa baba wa viongozi kumi na mbili wa makabila, na nitamfanya kuwa taifa kuu.
Te Au o rena saa fo moꞌe fee Ismael. Naa de, Au o fee papala-babꞌanggiꞌ neu e, ma tao umuhefu-umubela tititi-nonosi nara boe. Dei fo hambu maneleo sanahulu rua mia tititi-nonosi nara. Ma tititi-nonosi nara dadꞌi leo esa manaseliꞌ.
21 Lakini agano langu nitalifanya imara na Isaka, ambaye Sarai atazaa kwako majira haya mwakani.”
Onaꞌ mae taꞌo naa o, Au hehelu-fufuli Ngga ia fee neu ana ma Isak. To mana nemaꞌ ia, nandaa no leleꞌ ia, Sara bꞌonggi e.”
22 Alipo kuwa amemaliza kuzungumza naye, Mungu akaondoka kwa Abraham.
Olaꞌ basa taꞌo naa ma, Lamatualain lao hela Abraham.
23 Kisha Abraham akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote ambao walizaliwa katika nyumba yake, na wote ambao walinunuliwa kwa fedha yake, kila mwanaume miongoni mwa watu wa nyumba ya Abraham, walitahiriwa mwili wa magovi ya ngozi ya mbele katika siku iyo hiyo, kama Mungu alivyo kuwa amesema.
Faiꞌ naa boe, Abraham tungga Lamatualain parenda Na, de ana sunat. Ana o sunat Ismael no basa touꞌ mana sia ume na ma basa ate touꞌ ra boe. Leleꞌ naa, Abraham too sio nulu sio, ma Ismael too sanahulu telu.
24 Abraham alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa katika mwili wa govi la ngozi yake ya mbele.
25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka kumi na tatu alipotahiriwa katika mwili wa govi la ngozi yake ya mbele.
26 Siku ile ile ambayo wote wawili Abraham na Ishmael mwanawe walipotahiriwa, ndipo
27 wanaume wote wa nyumba yake walitahiriwa pia, hawa ni pamoja na wale waliozaliwa katika nyumba ile na wale walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni.

< Mwanzo 17 >