< Mwanzo 10 >

1 Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
Detta är berättelsen om Noas söners släkt. De voro Sem, Ham och Jafet; och åt dem föddes söner efter floden.
2 Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
Jafets söner voro Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mesek och Tiras.
3 Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
Gomers söner voro Askenas, Rifat och Togarma.
4 Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
Javans söner voro Elisa och Tarsis, kittéerna och dodanéerna.
5 Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
Från dessa hava inbyggarna i hedningarnas Havsländer utbrett sig i sina länder, var efter sitt tungomål, efter sina släkter, i sina folk.
6 Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
Hams söner voro Kus, Misraim, Put och Kanaan.
7 Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
Kus' söner voro Seba, Havila, Sabta, Raema och Sabteka. Raemas söner voro Saba och Dedan.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
Men Kus födde Nimrod; han var den förste som upprättade ett välde på jorden.
9 Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
Han var ock en väldig jägare inför HERREN; därför plägar man säga: "En väldig jägare inför HERREN såsom Nimrod."
10 Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
Och hans rike hade sin begynnelse i Babel, Erek, Ackad och Kalne, i Sinears land.
11 Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
Från det landet drog han sedan ut till Assyrien och byggde Nineve, Rehobot-Ir och Kela,
12 na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
och därtill Resen mellan Nineve och Kela; detta är "den stora staden".
13 Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
Och Misraim födde ludéerna, anaméerna, lehabéerna, naftuhéerna,
14 Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
patroséerna, kasluhéerna, från vilka filistéerna hava utgått, och kaftoréerna.
15 Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
Och Kanaan födde Sidon, som var hans förstfödde, och Het,
16 pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
så ock jebuséerna, amoréerna, girgaséerna,
17 Mhivi, Mwarki, Msini,
hivéerna, arkéerna, sinéerna,
18 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
arvadéerna, semaréerna och hamatéerna. Sedan utgrenade sig kananéernas släkter allt vidare,
19 Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
så att kananéernas område sträckte sig från Sidon fram emot Gerar ända till Gasa, och fram emot Sodom, Gomorra, Adma och Seboim ända till Lesa.
20 Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
Dessa voro Hams söner, efter deras släkter och tungomål, i deras länder och folk.
21 Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
Söner föddes ock åt Sem, Jafets äldre broder, som blev stamfader för alla Ebers söner.
22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
Sems söner voro Elam, Assur, Arpaksad, Lud och Aram.
23 Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Arams söner voro Us, Hul, Geter och Mas.
24 Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
Arpaksad födde Sela, och Sela födde Eber.
25 Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
Men åt Eber föddes två söner; den ene hette Peleg, ty i hans tid blev jorden fördelad; och hans broder hette Joktan.
26 Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Och Joktan födde Almodad, Selef, Hasarmavet, Jera,
27 Hadoram, Uzali, Dikla,
Hadoram, Usal, Dikla,
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obal, Abimael, Saba,
29 Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Ofir, Havila och Jobab; alla dessa voro Joktans söner.
30 Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
Och de hade sina boningsorter från Mesa fram emot Sefar, emot Östra berget.
31 Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
Dessa voro Sems söner, efter deras släkter och tungomål, i deras länder, efter deras folk.
32 Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.
Dessa voro Noas söners släkter, efter deras ättföljd, i deras folk. Och från dem hava folken efter floden utbrett sig på jorden.

< Mwanzo 10 >