< Mwanzo 10 >

1 Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
Teć są rodzaje synów Noego, Sema, Chama i Jafeta, którym się narodziło synów po potopie.
2 Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
Synowie Jafetowi Gomer, i Magog, i Madai, i Jawan, i Tubal, i Mesech, i Tyras.
3 Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
A synowie Gomerowi: Aschenaz, i Ryfat, i Togorma.
4 Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
A synowie Jawanowi: Elisa, i Tarsis, Cytym, i Dodanim.
5 Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
Od tych rozdzielone są wyspy narodów po swych ziemiach; każdy według języka swego, i według pokolenia swego, w narodziech swoich.
6 Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
A synowie Chamowi: Chus, i Micraim, i Put, i Chanaan.
7 Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
Synowie zaś Chusowi: Seba, i Hewila, i Sabta, i Regma, i Sabtacha. A synowie Regmy: Seba i Dedan.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
A Chus spłodził Nemroda, który począł być możnym na ziemi.
9 Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
Ten był możnym myśliwcem przed obliczem Pańskiem; przetoż się mówi: Jako Nemrod możny myśliwiec przed Panem.
10 Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
A początek królestwa jego był Babel, i Erech, i Achad, i Chalne w ziemi Senaar.
11 Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
Z tej ziemi wyszedł Assur, i zbudował Niniwe, i Rechobot miasto, i Chale.
12 na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
Także Resen, między Niniwe i między Chale; to miasto jest wielkie.
13 Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
Micraim też spłodził Ludyma, i Hananima, i Laubima, i Neftuhyma.
14 Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
I Patrusyma, i Chasluchyma, ( z których poszli Filistynowie, ) i Kaftoryma.
15 Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
Chanaan też spłodził Sydona pierworodnego swego, i Heta.
16 pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
I Jebusa, i Amorra, i Gergesa.
17 Mhivi, Mwarki, Msini,
I Hewa, i Archa, i Syma.
18 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
I Arada, i Samara, i Chamata, skąd się potem rozrodziły domy Chananejczyków.
19 Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
A granice Chananejskie były od Sydonu idąc do Gerary, aż do Gazy, aż wnijdziesz do Sodomy i Gomorry, i Adamy, i Seboima, aż do Lazy.
20 Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
Ci są synowie Chamowi w familijach swych, w językach swych, w ziemiach swych, w narodziech swych.
21 Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
A Semowi, ojcu wszystkich synów Heberowych, bratu Jafeta starszego, urodzili się synowie.
22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
Synowie Semowi: Elam i Assur, i Arfachsad, i Lud, i Aram.
23 Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Synowie zaś Aramowi: Hus, i Hul, i Geter, i Mesech.
24 Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
Arfachsad zaś spłodził Selecha, a Selech spłodził Hebera.
25 Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
A Heberowi urodzili się dwa synowie: imię jednemu Faleg, iż za dni jego rozdzielona jest ziemia; a imię brata jego Jektan.
26 Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Jektan też spłodził Elmodada, i Salefa, i Hasarmota, i Jarecha.
27 Hadoram, Uzali, Dikla,
I Adorama, i Uzala, i Dekla.
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
I Hebala, i Abymaela, i Sebaja.
29 Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
I Ofira, i Hewila, i Jobaba: ci wszyscy są synowie Jektanowi.
30 Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
A było mieszkanie ich od Mescha idąc, do góry Sefar na wschód słońca.
31 Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
Cić są synowie Semowi w domach swych, w językach swych, w ziemiach swych, w narodziech swych.
32 Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.
Teć są domy synów Noego, według pokolenia ich, i w narodziech ich, i od nich rozdzielone są narody na ziemi po potopie.

< Mwanzo 10 >