< Ezra 7 >

1 Sasa baada ya hili, kipindi cha kutawala Artashasta mfalme wa Uajemi, Ezra akaja kutoka Babeli. Watangulizi wa Ezra walikuwa: Seraya, Azaria, Hilkia,
По сих же словесех, в царство Артаксеркса царя Персскаго, взыде Ездра сын Сареа, сына Азариева, сына Хелкиева,
2 Shalumu, Sadoki, Ahitubu,
сына Селлумля, сына Саддукова, сына Ахитовля,
3 Amaria, Azaria, Merayothi,
сына Самариева, сына Есриева, сына Мареофова,
4 Zerahia, Uzi, Buki,
сына Зараиева, сына Езеиева, сына Воккиева,
5 Abishaua, Fineasi, Eliazari ambaye ni mtoto wa Haruni kuhani mkuu.
сына Ависуева, сына Финеесова, сына Елеазарова, сына Аарона священника перваго:
6 Ezra akaja kutoka Babeli na alikuwa mtalaam mwandishi wa sheria ya Musa, ambayo Yahwe, Mungu wa Israel aliwapa. Mfalme akampatia kila kitu alichooomba kwa kuwa mkono wa Yahwe ulikuwa pamoja naye.
сей Ездра взыде от Вавилона и сей писец скор в законе Моисеове, егоже даде Господь Бог Израилю. И даде ему царь, яко рука Господа Бога его на нем бе во всех, яже искаше он.
7 Baadhi ya wazao wa Israel, na makuhani, walawi, waimbaji, walinzi, na wale waliochaguliwa kuhudumu katika Hekalu pia wakaenda Yerusalem katika mwaka wa saba wa mfalme Artashasta.
И взыдоша от сынов Израилевых и от священников и от левитов, и певцы и придверницы и нафиними во Иерусалим, в лето седмое Артаксеркса царя,
8 Naye akafika Yerusalem mwezi wa tano kama mwaka huo.
и приидоша во Иерусалим месяца пятаго: сие есть лето седмое царево:
9 Naye akaondoka Babeli siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza. Ilikuwa siku ya kwanza ya mwezi wa tano ambapo alifika Yerusalem, kwa kuwa mkono mzuri wa Mungu ulikuwa pamoja naye.
зане в первый день месяца перваго той нача восходити от Вавилона, и в первый день месяца пятаго приидоша во Иерусалим, яко рука Бога его блага на нем бе:
10 Ezra alikuwa ametoa moyo wake kusoma, kutenda, na kufundisha maagizo na sheria za Yahwe.
Ездра бо уготова сердце свое, да взыщет закона (Господня) и да творит и учит во Израили повелением и судбам.
11 Hii ndio amri ambayo mfalme Artashasta alimpa Ezra kuhani na mwandishi wa sheria za Yahwe na maagizo kwa Israeli.
И сие есть сказание послания еже даде царь Артаксеркс Ездре священнику, писцу книги словес заповедий Господних и повелений Его во Израили:
12 Mfalme wa wafalme Artashasta, kwa kuhani Ezra, mwandishi wa sheria za Mungu wa mbinguni.
Артаксеркс царь царей Ездре священнику, писцу закона Господа Бога небеснаго: да совершится слово и ответ:
13 Ninatoa amri kwamba mtu yeyote Israel katika ufalme wangu pamoja na makuhani na walawi ambao wanatamani kwenda Yerusalem, wanaweza kwenda pamoja na wewe.
от мене повелено есть, да кийждо, иже имать усердие благо во царстве моем от людий Израилевых и от священников и от левитов поити во Иерусалим, с тобою да идет:
14 Mimi mfalme na washauri wangu saba, tunawatuma wote kwenda kufahamu kuhusu Yuda na Yerusalem kuhusiana na sheria ya Mungu, ambayo iko mkononi mwako.
от лица царева и седми советников его послан еси, да посетиши Иудею и Иерусалим в законе Бога их, сущем в руку твоею,
15 Itakupasa kuleta Dhahabu na fedha ambazo walitoa kwa ajili ya Mungu wa Israel, ambaye makazi yake ni Yerusalem.
и да отнесеши в дом Господень сребро и злато, еже царь и советницы его со усердием даша Богу Израилеву, Иже во Иерусалиме обитает,
16 Fedha iliyotolewa kwa hiari na Dhahabu yote iliyotolewa Babeli pamoja na matoleo ya hiari waliotoa watu na makuhani kwa ajili ya nyumba ya Mungu katika Yerusalem.
и все злато и сребро, еже аще обрящеши во всей области Вавилонстей, с добровольным даянием людским и священников, волею приносящих в дом Божий, иже во Иерусалиме:
17 Basi ununue vyote sadaka ya kondoo, beberu, kondoo, unga na kinywaji, uvitoe kwenye madhabahu ambayo ni nyumba ya Mungu wako katika Yerusalem.
и всякий доход той усердно впиши в книгу сию: телцы, овны, агнцы, и жертвы их и возлияния их: и принеси та на олтарь дому Бога вашего, иже есть во Иерусалиме:
18 Fanya hivyo pamoja na sehemu ya fedha na dhahabu, vyovyote utakavyoona inakupendeza wewe na ndugu zako, kumpendeza Mungu.
и аще что тебе и братии твоей благо возмнится от оставшагося сребра и злата сотворити, якоже угодно Богу вашему, сотворите:
19 Viweke vitu vilivyotolewa kwa hiari mbele yako kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu Yerusalem.
и сосуды, иже даны тебе в службу дому Божия, вдаждь пред Богом во Иерусалиме:
20 Kitu chochote kingine ambacho kinahitajika kwenye nyumba ya Mungu wako ambacho unahitaji, Gharama yake itatoka kwenye hazina yangu.
и прочыя потребы дому Бога твоего, еже аще возмнится тебе дати, да даси из домов сокровища царева
21 Mimi mfalme Artashasta, natoa amri kwa wotunza hazina wote mjini ngambo ya mto, chochote Ezra atakachoomba kwenu anapaswa kupewa chote,
и от мене аз Артаксеркс царь уставих повеление всем хранителем сокровищ, иже суть за рекою, да все, еже аще воспросит от вас Ездра священник и писец закона Бога небеснаго, готово да будет:
22 hata zaidi ya talanta mia moja za fedha, vipimo mia vya ngano, bathi mia za divai na bathi mia za mafuta, pia na chumvi isiyo na kikomo.
сребра даже до ста талант, и пшеницы даже до ста мер, и вина даже до ста бочек, и елеа даже до ста чванов, а соли без записания:
23 Chochote ambacho kimeamriwa kutoka kwa Mungu wa mbinguni, kifanye hicho kwa utukufu wa nyumba yake. Kwa nini hasira yake ije kwenye ufalme wangu na watoto wangu?
все, еже есть по воли Бога небеснаго, да будет в дому Бога небеснаго: вонмите, да не кто прострет руку на дом Бога небеснаго, да не когда будет гнев на царство царево и сынов его:
24 Tutawapa taarifa wao kuhusu ninyi kwamba wasiwatoze ushuru wowote au kodi kwa kuhani, mlawi, mwimbaji, mlinzi au kwa mtu aliyechaguliwa kwenye huduma ya Hekalu na mtumishi katika nyumba ya Mungu.
и вам знаемо творим сие, от всех священников и левитов, певцев, дверников, нафинимов и слуг дому Божия дань да не будет тебе, ниже имейте власти порабощати их:
25 Ezra, kwa hekima aliyokupa Mungu, inakulazimu kuteua waamuzi na mtu muelewa kuwahudumia watu katika mji ngambo ya mto na kusaidia yeyote anayejua sheria za Mungu wako. Pia inakubidi ufundishe wale ambao hawajui sheria.
ты же, Ездра, по премудрости Бога твоего, яже в руце твоей, постави книжники и судии, да судят вся люди, иже суть за рекою, всем знающым закон Бога твоего, и не ведающему ведати сотворите:
26 Toa adhabu kwa yeyote asiyetii sheria ya Mungu au sheria ya mfalme, ikiwezekana kwa kifo, kuhamishwa, kuchukuliwa mali zake au kufungwa.
и всяк, иже не сотворит закона Бога твоего и закона царева усердно, суд да будет сотворен на него, аще в смерть, или в наказание, или во отщетение живота, или в темницу.
27 Atukuzwe, Yahwe, Mungu wa watangulizi wetu, ambaye aliweka ndani ya moyo wa mfalme ili kutuza Nyumba ya Yahwe Yerusalem,
Благословен Господь Бог отец наших, иже даде сице в сердце царево, да прославит дом Господень, иже во Иерусалиме,
28 ambaye akaendeleza agano kwangu kwa uaminifu mbele ya mfalme, na washauri wake na wakuu wake wenye mamlaka, nilitiwa nguvu na mikono ya Yahwe, Mungu wangu, nami nikawakusanya viongozi kutoka Israel kwenda pamoja nami.
и на мя уклони милосердие пред очима царя и советников его и всех князей царевых сильных: и аз укреплен бых, яко рука Божия благая на мне, и собрах от Израиля князей взыти со мною.

< Ezra 7 >