< Ezra 2 >

1 Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
Und dies sind die Kinder der Landschaft Juda, welche aus der Gefangenschaft der Weggeführten, die Nebukadnezar, der König von Babel, nach Babel weggeführt hatte, hinaufzogen, und die nach Jerusalem und Juda zurückkehrten, ein jeder in seine Stadt,
2 Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
welche kamen mit Serubbabel, Jeschua, Nehemia, Seraja, Reelaja, Mordokai, Bilschan, Mispar, Bigwai, Rechum, Baana. Zahl der Männer des Volkes Israel:
3 Waporoshi: 2, 172
Die Söhne Parhosch', zweitausend einhundertzweiundsiebzig.
4 Wana wa Shefatia: 372
Die Söhne Schephatjas, dreihundertzweiundsiebzig;
5 Wana wa Ara: 775.
die Söhne Arachs, siebenhundertfünfundsiebzig;
6 Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
die Söhne Pachath-Moabs, von den Söhnen Jeschuas und Joabs, zweitausend achthundertzwölf;
7 Wana wa Eliamu: 1, 254.
die Söhne Elams, tausend zweihundertvierundfünfzig;
8 Wana wa Zatu: 945.
die Söhne Sattus, neunhundertfünfundvierzig;
9 Wana wa Zakai: 760.
die Söhne Sakkais, siebenhundertsechzig;
10 Wana wa Binui: 642.
die Söhne Banis, sechshundertzweiundvierzig;
11 Wana wa Bebai: 623.
die Söhne Bebais, sechshundertdreiundzwanzig;
12 Wana wa Azgadi: 1, 222.
die Söhne Asgads, tausend zweihundertzweiundzwanzig;
13 Wana wa Adonikamu: 666.
die Söhne Adonikams, sechshundertsechsundsechzig;
14 Wana wa Bigwai: 2, 056.
die Söhne Bigwais, zweitausend sechsundfünfzig;
15 Wana wa Adini: 454.
die Söhne Adins, vierhundertvierundfünfzig;
16 Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
die Söhne Aters, von Jehiskia, achtundneunzig;
17 Wana wa Besai: 323.
die Söhne Bezais, dreihundertdreiundzwanzig;
18 Wana wa Harifu: 112.
die Söhne Jorahs, hundertzwölf;
19 Wanaume wa Hashimu: 223.
die Söhne Haschums, zweihundertdreiundzwanzig;
20 Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
die Söhne Gibbars, fünfundneunzig;
21 Wanaume wa Bethlehemu: 123.
die Söhne Bethlehems, hundertdreiundzwanzig;
22 Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
die Männer von Netopha, sechsundfünfzig;
23 Wanaume wa Anathothi: 128.
die Männer von Anathoth, hundertachtundzwanzig;
24 Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
die Söhne Asmaweths, zweiundvierzig;
25 Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
die Söhne Kirjath-Arims, Kephiras und Beeroths, siebenhundertdreiundvierzig;
26 Wanaume wa Rama na Geba: 621.
die Söhne Ramas und Gebas, sechshunderteinundzwanzig;
27 Wanaume wa Mikmashi: 122.
die Männer von Mikmas, hundertzweiundzwanzig;
28 Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
die Männer von Bethel und Ai, zweihundertdreiundzwanzig;
29 Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
die Söhne Nebos, zweiundfünfzig;
30 Wanaume wa Magbishi: 156.
die Söhne Magbisch', hundertsechsundfünfzig;
31 Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
die Söhne des anderen Elam, tausend zweihundertvierundfünfzig;
32 nne. Wanaume wa Harimu: 320.
die Söhne Harims, dreihundertzwanzig;
33 Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
die Söhne Lods, Hadids und Onos, siebenhundertfünfundzwanzig;
34 Wanaume wa Yeriko: 345.
die Söhne Jerechos, dreihundertfünfundvierzig;
35 Wanaume wa Senaa: 3, 630.
die Söhne Senaas, dreitausend sechshundertdreißig.
36 Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
Die Priester: die Söhne Jedajas, vom Hause Jeschua, neunhundertdreiundsiebzig;
37 Wana wa Imeri: 1, 052.
die Söhne Immers, tausend zweiundfünfzig;
38 Wana wa Pashuri: 1, 247.
die Söhne Paschchurs, tausend zweihundertsiebenundvierzig;
39 Wana wa Harimu: 1, 017.
die Söhne Harims, tausend und siebzehn.
40 Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
Die Leviten: die Söhne Jeschuas und Kadmiels, von den Söhnen Hodawjas, vierundsiebzig. -
41 nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
Die Sänger: die Söhne Asaphs, hundertachtundzwanzig. -
42 Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
Die Söhne der Torhüter: die Söhne Schallums, die Söhne Aters, die Söhne Talmons, die Söhne Akkubs, die Söhne Hatitas, die Söhne Schobais, allesamt hundertneununddreißig.
43 Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
Die Nethinim: die Söhne Zichas, die Söhne Hasuphas, die Söhne Tabbaoths,
44 Keros, Siaha, Padoni.
die Söhne Keros', die Söhne Siahas, die Söhne Padons,
45 Lebana, Hagaba, Akubu,
die Söhne Lebanas, die Söhne Hagabas, die Söhne Akkubs,
46 Hagabu, Salmai, Hanani
die Söhne Hagabs, die Söhne Schalmais, die Söhne Hanans,
47 Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
die Söhne Giddels, die Söhne Gachars, die Söhne Reajas,
48 Resini, Nekoda, Gazamu,
die Söhne Rezins, die Söhne Nekodas, die Söhne Gassams,
49 Uza, Pasea, Besai,
die Söhne Ussas, die Söhne Paseachs, die Söhne Besais,
50 Asna, Meunimu, Nefusimu:
die Söhne Asnas, die Söhne der Meunim, die Söhne der Nephisim,
51 Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
die Söhne Bakbuks, die Söhne Hakuphas, die Söhne Harchurs,
52 Basluthi, Mehida, Barsha:
die Söhne Bazluths, die Söhne Mechidas, die Söhne Harschas,
53 Barkosi, Sisera, Tema:
die Söhne Barkos', die Söhne Siseras, die Söhne Tamachs,
54 Nesia, Tefa
die Söhne Neziachs, die Söhne Hatiphas.
55 Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
Die Söhne der Knechte Salomos: die Söhne Sotais, die Söhne Sophereths, die Söhne Perudas,
56 Yaala, Darkoni, Gideli,
die Söhne Jaalas, die Söhne Darkons, die Söhne Giddels,
57 Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
die Söhne Schephatjas, die Söhne Hattils, die Söhne Pokereths-Hazzebaim, die Söhne Amis.
58 Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
Alle Nethinim und Söhne der Knechte Salomos: dreihundertzweiundneunzig.
59 Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
Und diese sind es, die aus Tel-Melach, Tel-Harscha, Kerub, Addan, Immer hinaufzogen; aber sie konnten ihr Vaterhaus und ihre Abkunft nicht angeben, ob sie aus Israel wären:
60 pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
die Söhne Delajas, die Söhne Tobijas, die Söhne Nekodas, sechshundertzweiundfünfzig.
61 Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
Und von den Söhnen der Priester: die Söhne Habajas, die Söhne Hakkoz', die Söhne Barsillais, der ein Weib von den Töchtern Barsillais, des Gileaditers, genommen hatte und nach ihrem Namen genannt wurde.
62 Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
Diese suchten ihr Geschlechtsregisterverzeichnis, aber es wurde nicht gefunden; und sie wurden von dem Priestertum als unrein ausgeschlossen.
63 Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
Und der Tirsatha sprach zu ihnen, daß sie von dem Hochheiligen nicht essen dürften, bis ein Priester für die Urim und die Thummim aufstände.
64 Jumla ya kundi 42, 360,
Die ganze Versammlung insgesamt war zweiundvierzigtausend dreihundertsechzig,
65 ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
außer ihren Knechten und ihren Mägden; dieser waren siebentausend dreihundertsiebenunddreißig. Und sie hatten noch zweihundert Sänger und Sängerinnen.
66 Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
Ihrer Rosse waren siebenhundertsechsunddreißig, ihrer Maultiere zweihundertfünfundvierzig,
67 Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
ihrer Kamele vierhundertfünfunddreißig, der Esel sechstausend siebenhundertzwanzig.
68 Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
Und als sie zum Hause Jehovas in Jerusalem kamen, gaben einige von den Häuptern der Väter freiwillig für das Haus Gottes, um es an seiner Stätte aufzurichten.
69 Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
Nach ihrem Vermögen gaben sie für den Schatz des Werkes: an Gold einundsechzigtausend Dariken und an Silber fünftausend Minen, und hundert Priesterleibröcke.
70 Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.
Und die Priester und die Leviten und die aus dem Volke und die Sänger und die Torhüter und die Nethinim wohnten in ihren Städten; und ganz Israel wohnte in seinen Städten.

< Ezra 2 >